Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Saudia amempa onyo marekani asithubutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Saudia amempa onyo marekani asithubutu
Mnabishana wenyewe kwa wenyeweUtawala wa Saudi Arabia na Utawala wa Mazayani ni kitu kimoja, wanapiga porojo tu.
huna akili.Biden iko kitu ndicho anachokitaka,lengo kuu ni kuivuruga dunia mpaka ikija kutulia america iwe imesimama hapa ilipo na zile zinazoikimbuza kwa kasi ziporomoke,vita za kimkakati hizi
Kichwa majiYemen hajawahi shindwa vita na nchi yoyote ile duniani, ndio sababu America meli yake imepigwa hajarudisha kajidai Italian kwa time atakayo ona nzuri [emoji1] Muingereza meli yake imepigwa kanyamaza kimyaa, Israel vile vile wanamfahamu Myemen hao wamezaliwa wanaona silaha [emoji1]
Saud Arabia anaogopa Yemen asiwapige sababu kuna base za Ametica pale ndio sababu analalamika kujidai anampa warning America
Hata yesu unaomuabudu kama mungu wako, alifuga ndevu tena alivaa na kobaziWafuga ndevu mnajitia moyo tu
kuna kichwa hakina majiKichwa maji
Jibu kwa hoja wewe shoga,sijakulazimisha uamini ninachoaminihuna akili.
Huwa nacheka sana unavyojuwa kuwapa kile wapendacho kukisikia Pro Hamas wa JF [emoji23][emoji23]Saudia amempa onyo marekani asithubutu
Hivi haya maneno unayaandika ukiwa umelala nini?Yemen hajawahi shindwa vita na nchi yoyote ile duniani, ndio sababu America meli yake imepigwa hajarudisha kajidai Italipa kwa time atakayo ona nzuri [emoji1] Muingereza meli yake imepigwa kanyamaza kimyaa, Israel vile vile wanamfahamu Myemen hao wamezaliwa wanaona silaha [emoji1]
Saud Arabia anaogopa Yemen asiwapige sababu kuna base za Ametica pale ndio sababu analalamika kujidai anampa warning America
Mtu akiwasikiliza anaweza dhani nchi za kiarabu n kiislam ni masuper power kijeshi.Design ya enzi za zamani tunasililiza mpira radioniYemen hajawahi shindwa vita na nchi yoyote ile duniani, ndio sababu America meli yake imepigwa hajarudisha kajidai Italipa kwa time atakayo ona nzuri [emoji1] Muingereza meli yake imepigwa kanyamaza kimyaa, Israel vile vile wanamfahamu Myemen hao wamezaliwa wanaona silaha [emoji1]
Saud Arabia anaogopa Yemen asiwapige sababu kuna base za Ametica pale ndio sababu analalamika kujidai anampa warning America
Mimi nakuambia Yemen ni moto wa kuotea mbali, haijawahi shindwa vita waulize waingereza, wa turkey na msaudia jana hio Israel kapokea kichapo takatifu toka Yemen na Israel kakiri Yemen kaitoa Elite kwenye kuhudumia Israel hasa mambo ya bandari na Meli za mizigo na akisubutu kurudisha ataona nyota kwenye bahari sio kwenye mbingu 😄Mtu akiwasikiliza anaweza dhani nchi za kiarabu n kiislam ni masuper power kijeshi.Design ya enzi za zamani tunasililiza mpira radioni