Saudi Arabia yapiga marufuku adhana, Watoto kuswali misikitini pamoja na sauti za juu

Saudi Arabia yapiga marufuku adhana, Watoto kuswali misikitini pamoja na sauti za juu

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Wizara ya masuala ya kiislamu ya Saudia ilitangaza sheria mpya za Ramadhani ambazo zinawakera Waislamu wengi duniani kote.

Wizara ya hiyo ilitoa kanuni na vizuizi vya kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka wa 2023, miongozo hiyo ni pamoja na marufuku ya kutumia vipaza sauti, i'tikafu bila kibali, matangazo ya sala na iftari misikitini.

Waziri wa masuala ya Kiislamu nchini Saudia Dr. Abdullatif Al Alsheikh alitoa waraka kwenda matawi yote ya wizara ya haja ya kuandaa misikiti ya kuwahudumia waumini ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya wizara kuupokea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Aidha kuanzia mwaka huu 2023 sheria mpya ni pamoja na kupiga marufuku michango ya misikiti na marufuku ya milo ya futari baada ya jua kuchomoza misikitini.

Vilevile maombi yanatakiwa kuwa mafupi, watoto hawaruhusiwi kuswali misikitini, viwango vya sauti lazima viwekwe chini, na sala zisitangazwe.

Sheria hiyo mpya ni pamoja na kutorefusha maombi kushikamana na dua fulani. Inapendekezwa pia kusoma vitabu vya kusaidia kuhusu kikundi cha msikiti.

Iwapo kamera zitatumika msikitini, zisitumike kupiga picha za imamu au waabudu wakati wa swala.

Maombi hayapaswi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.


========

Wakina Tomaso mnaweza kusoma hapa moja kwa moja kutoka Saudia 👇🏾.

New rules in Mecca: Muslims get upset as there’ll be no prayer call, iftar
 
Wizara ya masuala ya kiislamu ya Saudia ilitangaza sheria mpya za Ramadhani ambazo zinawakera Waislamu wengi duniani kote.

Wizara ya hiyo ilitoa kanuni na vizuizi vya kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka wa 2023, miongozo hiyo ni pamoja na marufuku ya kutumia vipaza sauti, i'tikafu bila kibali, matangazo ya sala na iftari misikitini.

Waziri wa masuala ya Kiislamu nchini Saudia Dr. Abdullatif Al Alsheikh alitoa waraka kwenda matawi yote ya wizara ya haja ya kuandaa misikiti ya kuwahudumia waumini ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya wizara kuupokea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Aidha kuanzia mwaka huu 2023 sheria mpya ni pamoja na kupiga marufuku michango ya misikiti na marufuku ya milo ya futari baada ya jua kuchomoza misikitini.

Vilevile maombi yanatakiwa kuwa mafupi, watoto hawaruhusiwi kuswali misikitini, viwango vya sauti lazima viwekwe chini, na sala zisitangazwe.

Sheria hiyo mpya ni pamoja na kutorefusha maombi kushikamana na dua fulani. Inapendekezwa pia kusoma vitabu vya kusaidia kuhusu kikundi cha msikiti.

Iwapo kamera zitatumika msikitini, zisitumike kupiga picha za imamu au waabudu wakati wa swala.

Maombi hayapaswi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.


Wakina Tomaso mnaweza kusoma hapa moja kwa moja kutoka Saudia 👇🏾...
New rules in Mecca: Muslims get upset as there’ll be no prayer call, iftar
jamii yoyote iliyostaarabika haina makelele haya. mi nimekaa uarababuni adhana ila ya alfajiri nimesikia haizidi mara kumi na nimekaa miaka 4 ila sasa tanzania ni kama mashindano ya kuwapa watu karaha
 
Mji wa Neom unaanza maandalizi ya kumpokea Masih Dajal sisi wakristu humuita Mpinga Kristu...kama imebaki miaka 100 ni hiyohiyo...mambo yote haya yameandikwa kwenye kitabu chenu kitakatifu cha Quran...

Sisi wakristu tunajua kila step inayoendelea nyie wenzetu mnafunga macho...hapa duniani hamna movie...Reality Prevails...!
 
Huko ndiko aliko custodian wa dini ya haki.
Sasa njoo hapa Mwananyamala usikie vipaza sauti.
Hawa dada utamu wa mtaa wa minazini wangeshaacha kujiuza Kama hii swala swala ya vipaza sauti isiyo na kiwango ingefanya kazi.
 
Wizara ya masuala ya kiislamu ya Saudia ilitangaza sheria mpya za Ramadhani ambazo zinawakera Waislamu wengi duniani kote.

Wizara ya hiyo ilitoa kanuni na vizuizi vya kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka wa 2023, miongozo hiyo ni pamoja na marufuku ya kutumia vipaza sauti, i'tikafu bila kibali, matangazo ya sala na iftari misikitini.

Waziri wa masuala ya Kiislamu nchini Saudia Dr. Abdullatif Al Alsheikh alitoa waraka kwenda matawi yote ya wizara ya haja ya kuandaa misikiti ya kuwahudumia waumini ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya wizara kuupokea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Aidha kuanzia mwaka huu 2023 sheria mpya ni pamoja na kupiga marufuku michango ya misikiti na marufuku ya milo ya futari baada ya jua kuchomoza misikitini.

Vilevile maombi yanatakiwa kuwa mafupi, watoto hawaruhusiwi kuswali misikitini, viwango vya sauti lazima viwekwe chini, na sala zisitangazwe.

Sheria hiyo mpya ni pamoja na kutorefusha maombi kushikamana na dua fulani. Inapendekezwa pia kusoma vitabu vya kusaidia kuhusu kikundi cha msikiti.

Iwapo kamera zitatumika msikitini, zisitumike kupiga picha za imamu au waabudu wakati wa swala.

Maombi hayapaswi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.


Wakina Tomaso mnaweza kusoma hapa moja kwa moja kutoka Saudia 👇🏾...
New rules in Mecca: Muslims get upset as there’ll be no prayer call, iftar
F8E9ED0D-93B2-433A-B9D1-AD671DD56C10.jpeg
 
Hamna tatizo wala shida kwa hamna kipya maendeleo yapo na yanapita wanaweza kuwa na mifumo mizuri ya kunadi swala hamna shida.

Hata kipind cha nyuma ilikuwa ni kwa mdomo ila teknolojia ikaleta vipaza sauti ...So pia tutamove coz uislamu unaenda na sayansi na teknolojia .

Mbona hata wanawake Kuna sehemu haswali kabisa misikitini yaani hamna sehemu za wanawake kabisa.

Watoto kawaida kuepuka usumbufu pia itakuwa wawe na umri wa kujitambua angalau kama alivyotueleza mtume kwamba ni miaka Saba .

Kingine hata masjid kwenu ni marufuku kufanya ishu tofauti yaani sijui kula ndani ya msikitini kifupi kuheshimu eneo la ibada ni sheria tumeweka miaka mingi sana.

So hamna tatizo na hata kama pakiwa na magonjwa ya mlipuko eneo hilo watu wasiingie wala wàsitoke kuepuka ugonjwa usisambae kama ilivyopigwa marufuku hijjah mwaka juzi ...So hamna shida tunafuata miongozo ile ile.
 
Huko ndiko aliko custodian wa dini ya haki.
Sasa njoo hapa Mwananyamala usikie vipaza sauti.
Hawa dada utamu wa mtaa wa minazini wangeshaacha kujiuza Kama hii swala swala ya vipaza sauti isiyo na kiwango ingefanya kazi.
Unataka kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako wakati kwako Kuna gunzi limetuna kwenye jicho huo Ni unafiq...

Anza kuwaambia wasabato,walokole na waroma wenzio waondoe makengele na masabufa wanayokesha nayo...kutupigia kelele
 
Povuuu!! Hivi kwann huwa mnapenda kuwakana ndugu zenu wakitenda tofauti?
Saudi Arabia ni nchi kibaraka wa marekani hilo halina shaka wanachoshindwa na hatoweza ni kubadili Qur an.

Unyama mpaka huyo mzee asaudiy anapewa nchi Kuna mambo yamefanyika.

Kumbuka hata mauaji ya yule mwandishi pale ikulu Jamal khashong Kuna uislamu unaruhusu huuu ujinga?

Usiwe na chuki sisi tunafuata Qur an sio Saudi Arabia !!


Usieneze chuki wala hatutaki kupambanisha na nyie .

"Nyie mna dini yenu na sisi tuna dini yetu" hapa tunawaambia washirikina na mayahudi
 
Povuuu!! Hivi kwann huwa mnapenda kuwakana ndugu zenu wakitenda tofauti?
Tofautisha Kati ya dola ya kifalme na dola ya kiiislamu....hakuna imamu kwenye msikiti wowote ambaye anaweza kukataza waislamu kukaa itiqaaf labda kuwa na sababu za kiusalama au kiafya..


Kuhusu michango ya iftar hyo inategemea Kama wapo wenye uwezo waliojitolea kufturisha yupo sahihi kupiga marufuku.
 
Back
Top Bottom