Saudi Arabia yapiga marufuku adhana, Watoto kuswali misikitini pamoja na sauti za juu

Saudi Arabia yapiga marufuku adhana, Watoto kuswali misikitini pamoja na sauti za juu

Saudi Arabia ni nchi kibaraka wa marekani hilo halina shaka wanachoshindwa na hatoweza ni kubadili Qur an.

Unyama mpaka huyo mzee asaudiy anapewa nchi Kuna mambo yamefanyika.

Kumbuka hata mauaji ya yule mwandishi pale ikulu Jamal khashong Kuna uislamu unaruhusu huuu ujinga?

Usiwe na chuki sisi tunafuata Qur an sio Saudi Arabia !!


Usieneze chuki wala hatutaki kupambanisha na nyie .

"Nyie mna dini yenu na sisi tuna dini yetu" hapa tunawaambia washirikina na mayahudi
Mwingine huyo taarifa inatolewa wewe unaita chuki! Mnamatatizo sana nyie.
 
Watakuwa wamefanya vizuri natamani nchi zingine ziige huu utaratibu
 
Tofautisha Kati ya dola ya kifalme na dola ya kiiislamu....hakuna imamu kwenye msikiti wowote ambaye anaweza kukataza waislamu kukaa itiqaaf labda kuwa na sababu za kiusalama au kiafya..


Kuhusu michango ya iftar hyo inategemea Kama wapo wenye uwezo waliojitolea kufturisha yupo sahihi kupiga marufuku.
Eti hakuna!!wewe upo kwenye mioyo ya maimam wote?.
 
Mwingine huyo taarifa inatolewa wewe unaita chuki! Mnamatatizo sana nyie.
Sasa Kuna taarifa gani hapo ! Si Yale Yale au sema hujui sheria za msikitini 🤣🤣..Hakuna kilichobadili.


Ni kwamba sheria lazima wazitangaze maana Ramadan Kuna kuwa na wale wanaoswali Ramadan mpaka Ramadn wanaongezeka na hawajui kitu

Zunguka misikiti yote uone mabango hii kwa ajili ya wagni
 
jamii yoyote iliyostaarabika haina makelele haya. mi nimekaa uarababuni adhana ila ya alfajiri nimesikia haizidi mara kumi na nimekaa miaka 4 ila sasa tanzania ni kama mashindano ya kuwapa watu karaha
Una mapepo wewe alisikika shekhe kutoka Kilwa kivinje
 
Baadhi ya sheria zinatungwa kutokana na eneo husika kwa wakati husika ..sheria zinaendana na sehemu husika.

Tuje lengo la kufuturisha hii lengo ni kwa wale wasiojiweza na sio Ramadan tu Bali hata siku za kawaida ...

Je kwenda kufuturisha msikitini ni sahihi kama kufikia lengo ambalo ni wale wasiojiweza?

👇👇

Almost sehemu nyingi wanapinga maana utakuta wanajifuturisha wenye uwezo wale wale kama kujifurahisha ila mpo nje la lengo ....Hata iftar zinazoandaliwa mpaka wanatangaza kweny media kubwa unakuta wanaojumuika ni watu na pesa zao ila hamna fukara ...kwa maana hyo hatujafikia lengo zaidi ya kufanya "Ria"
.

Ili tufikie lengo better kuwa na Ramadhani package na kwenda kutoa katika vituo vya mayatima na maeneo ya mafukara wakajipikie hata wenyewe..
 
Saudi Arabia ni nchi kibaraka wa marekani hilo halina shaka wanachoshindwa na hatoweza ni kubadili Qur an.

Unyama mpaka huyo mzee asaudiy anapewa nchi Kuna mambo yamefanyika.

Kumbuka hata mauaji ya yule mwandishi pale ikulu Jamal khashong Kuna uislamu unaruhusu huuu ujinga?

Usiwe na chuki sisi tunafuata Qur an sio Saudi Arabia !!


Usieneze chuki wala hatutaki kupambanisha na nyie .

"Nyie mna dini yenu na sisi tuna dini yetu" hapa tunawaambia washirikina na mayahudi
Angalia mataifa yanayoongoza kwa fujo kuuana mara kukatana vichwa mara makundi ya kigaidi ni ya kiislam. Sijui kuna nn kipo tofauti hapo. Alaf unauliza eti dini yenu inawezaje tuhusu haya
 
So hamna tatizo na ... hamna shida tunafuata miongozo ile ile.
SWALI; Hizo sharia mnaweza kuzitumia hata hapa afrika mashariki kama Tanzania hususani Zanzibari?

Yaani mtaa mmoja una misikitini mitano na yote wakati wa adhana inapiga kelele, unadhani inawezekana kusitisha au kupunguza hayo makelele ya spika ikabaki sauti kutoka msikiti mmoja?
 
Angalia mataifa yanayoongoza kwa fujo kuuana mara kukatana vichwa mara makundi ya kigaidi ni ya kiislam. Sijui kuna nn kipo tofauti hapo. Alaf unauliza eti dini yenu inawezaje tuhusu haya
Ni hayo mataifa sio uislamu!

Kwa nn unashambulia mtu kwa kuwa too general huoni kama ni kosa ...we umekuja eti mataifa .

Tuje hapa bongo maana wewe ni mweusi kama mim hayo mataifa hayatuhusu


je kwa Tanzania ni kanda ipi inaongoza kwa mauaji?
 
Back
Top Bottom