Kama?Na sisi tutajenga barabara bila miji
Uchokozi huu.vp kweny mji wataruhusu mbuzi katoliki?
Hapo mwisho ndio umesema nini sasa?
Bangi sana weweNa sisi tutajenga barabara bila miji
Finally there you are😆😆😆😆Qmmqee anyway nlitaka kukomenti ila umegongo nyunfo utosini mitaa ya lumumbaNa sisi tutajenga barabara bila miji
🤣Uchokozi huu.
Weee huko angani zitajaa yeboyebo za njano tu...maana wasukuma wanapenda yeboyebo kuliko kitu kingine chochoteSsisi acha tukomae na hospital za rufaa na VETA CHATO, then tutajenga mji angani usio na wachagga.watajaa wasukuma tu.
Fitna ya NAJDLengo ni kuvutia watalii na uwekezaji nje ya mafuta kama ilivyo kwa Emirates. Ndiyo maana kidogo kidogo wanalegeza sheria pia.
Nywanoko, iburagageSsisi acha tukomae na hospital za rufaa na VETA CHATO, then tutajenga mji angani usio na wachagga.watajaa wasukuma tu.
same to uNywanoko, iburagage