Kwani nyinyi Pop kawaahidi nini kupigwa nao?? Naona hiyo 72 imekuuma sana,kama vile ukiwa mbele ya Gays na unaongelea kuowa uone watakavoumia.Kujuta sababu ya kuwakosa mabikra 72 au? Muulize mwenzio Osama kama ameona hata paja tu la bikira mmoja huko aliko
Wewe naona unawatafutia watu njia ya kwenda 🔥 Hiyo dini ya waarabu haitakuingiza peponi. Never.Makafir hata enzi za Mtume walikuwepo lkn haikuzuia uislamu kufika hadi Ulaya na Africa. Kama wewe ni mkiristo jitahidi sana ukifa ufe ukiwa muislam vyenginevyo utajuta kwanini ulibaki ktk ukiristo wako
Kwa hiyo, hii ndiyo unautangaza uislam kwa matusi?
Kila nikiisoma hii statement naajikuta nikirudi nyuma mita milioni 1
Qr. 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: Mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha
Kama wewe ni muislamu. Ndg yangu jitahidi sana tena sana ufe katika Kristo Yesu. Kwa maana hakuna wokovu kwa mtume awaye yote wala nabii awaye yote, bali wokovu wapatikana kwa Yesu. Tena huyo ndiye atakaye wahukumu wanadamu wote siku ya mwisho. Muhamadi atahukumiwa na Yesu maana ni mfalme. 2 Timoth 4:1. Yohana 5:22. Pia soma maneno ya Bwana Yesu mwenyewe MATHAYO 25:31-41. Kama wewe ulimkataa Yesu moto wa jehanamu unakuhusu pamoja na mtume wako unayemwombea daily.Makafir hata enzi za Mtume walikuwepo lkn haikuzuia uislamu kufika hadi Ulaya na Africa. Kama wewe ni mkiristo jitahidi sana ukifa ufe ukiwa muislam vyenginevyo utajuta kwanini ulibaki ktk ukiristo wako
Huwa sielewi kwwanini hija zinafanyika SA badala ya Jerusalem wanakosema ndiko kuna msikiti mkubwa wa historiaRaia wa Iran hawaruhusiwi kwenda kuhiji Saudi, hawatapata fursa ya kwenda kupiga shetani mawe......
Kwa mujibu wa amri ya Allah sio matamanio ya binaadamHuwa sielewi kwwanini hija zinafanyika SA badala ya Jerusalem wanakosema ndiko kuna msikiti mkubwa wa historia
Ukinisaidia kuelewa zaidi nitashukuruKwa mujibu wa amri ya Allah sio matamanio ya binaadam
“... Na Mwenyezi Mungu amewawajibishia watu wafanye Hija katika Nyumba hiyo (Al-Ka’aba), yule awezaye kufunga safari kwenda huko. Na atakayekanusha (asiende na hali ya kuwa ana uwezo) basi Mwenyezi Mungu si muhitaji anayewahitajia walimwengu ”(3:9 7).Ukinisaidia kuelewa zaidi nitashukuru
🙏“... Na Mwenyezi Mungu amewawajibishia watu wafanye Hija katika Nyumba hiyo (Al-Ka’aba), yule awezaye kufunga safari kwenda huko. Na atakayekanusha (asiende na hali ya kuwa ana uwezo) basi Mwenyezi Mungu si muhitaji anayewahitajia walimwengu ”(3:9 7).
Unataka kuelewa nini boss kuhusiana na hija?Ukinisaidia kuelewa zaidi nitashukuru
Kwanini ifanyike tu SAUnataka kuelewa nini boss kuhusiana na hija?
Hija ni sehem ya nguzo pia ya uislam kwenye zile nguzo tanoKwanini ifanyike tu SA
Maagizo yalitoka wapi
Historia nzima ya hija kufanyika SA tu na siyo Jerusalem
Twende taratibu,kwani ni kweli kuna ahadi ya kufanya ngono na mabikra 72 kwenye maandiko yenu matakatifu? TUANZIE HAPA KWANZAKwani nyinyi Pop kawaahidi nini kupigwa nao?? Naona hiyo 72 imekuuma sana,kama vile ukiwa mbele ya Gays na unaongelea kuowa uone watakavoumia.
Teh! Ngoja ninyamaze tu.....ila kifupi hiyo biashara siwezi kufanya.Haujawahi kumpiga shetani mawe.Hautakutana na mabikira 72.
Yaan Mungu ninaemjua Mimi akaniandalie bikira na pombe kweli huyo atakuwa sioMakafir hata enzi za Mtume walikuwepo lkn haikuzuia uislamu kufika hadi Ulaya na Africa. Kama wewe ni mkiristo jitahidi sana ukifa ufe ukiwa muislam vyenginevyo utajuta kwanini ulibaki ktk ukiristo wako
Duuh! kumbe wafuasi wa allah wote motoni. Pia allah mwenyewe naye motoni.Kwa hiyo, hii ndiyo unautangaza uislam kwa matusi?
Kila nikiisoma hii statement naajikuta nikirudi nyuma mita milioni 1
Qr. 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: Mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha