Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Dini imekusaidiaje kukuletea ugali hapo nyumbani?Makafir hata enzi za Mtume walikuwepo lkn haikuzuia uislamu kufika hadi Ulaya na Africa. Kama wewe ni mkiristo jitahidi sana ukifa ufe ukiwa muislam vyenginevyo utajuta kwanini ulibaki ktk ukiristo wako
Hujui? Kama mwalim wa somo la dini?Dini imekusaidiaje kukuletea ugali hapo nyumbani?
Hawa magraduate wa MUM wana fruatrations za kukosa ajira.Misemo ya wenye hekima: "usipambane na mtu ambaye hana kitu cha kupoteza kwa kuwa atakusaidia kupoteza ulichonacho". Kwaheri.
Kama mkiristo anamwita muislam ni kafiri muislam atacheka sana. Maana anamjua kafiri naniNa unasemaje pale ukristo unapomwita mtu asiye mkristo kama wewe kuwa wewe ni kafiri ingawa sisi hatukuiti wewe kafiri. Yuda 1:4
Pope alisema ninyi mnaoliwa msitengwe na Kanisa bali mbarikiwe, maana kitendo cha kuwa hai tu ni baraka kutoka kwa Mungu ili mjitafakari. Pia, Sababu ni kupitia baraka ndiyo mnaweza akili zikawafunguka na kuiona kweli.Kwani nyinyi Pop kawaahidi nini kupigwa nao?? Naona hiyo 72 imekuuma sana,kama vile ukiwa mbele ya Gays na unaongelea kuowa uone watakavoumia.
Dini ni miradi ya watu, tujitahidi tusiwe watumwaHujui? Kama mwalim wa somo la dini?
Labda ukiristo lkn uislam sio hivyoDini ni miradi ya watu, tujitahidi tusiwe watumwa
Wa st Joseph wameingia uchungajiHawa magraduate wa MUM wana fruatrations za kukosa ajira.
Mudy alikuwa anachemka Sana wayahudi wapi wanasema uzeir ni mwana mungu“Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu.
Wewe myahudi? Au mfuasi wa shetani kanisa la usabato?Mudy alikuwa anachemka Sana wayahudi wapi wanasema uzeir ni mwana mungu
Kachemka , hakuna myahudi anasema uzeir ni mwana wa munguWewe myahudi?
Ila wairan Shia wanathamini sana hija yao ya Najaf Iraq kuliko SaudiHii ni nini tena, siasa za ushawishi zinaingia katika kuvuruga hijja nguzo muhimu kwa watu wa imani. Uharamia wa vikaragosi vya Iran katika bahari nyekundu na pia wale mgambo karagosi ktk vita Mashariki ya Kati inayofadhiliwa na Iran, hivyo idara za usalama za nchini Saudia haiwezi kuichukulia kwa wepesi katika hali ikiyopo sasa.
Inakumbusha maandiko katika intaneti na maktaba ya machapisho ya magazeti, nchi hasimu za India na Pakistani wakati wa World Cup ya mchezo wa Kriketi ikifanyika India.
View: https://m.youtube.com/watch?v=RqZP-QZ9lx8
Nguli ulinzi na usalama wasema huu ni wakati wa tahadhari kubwa katika dunia ya sasa
View: https://m.youtube.com/watch?v=oKhCiq77GNw
Idara ya Usalama wa taifa wa India walipata taarifa kuwa katika kundi kubwa la mashabiki maelfu kwa maelfu wa kriketi kutoka Pakistani kungekuwemo dazani ya majajusi wa kiPakistani ambao wasingerejea nyumbani na kubaki kwa kificho nchini India baadaye kutumika kuhujumu nchi ya India.
Picha toka maktaba Mahujaji wa Iran katika hijja zilizopita
View attachment 2862165
Waacha wee, MAASHALLAH Allah AKBARKwani nyinyi Pop kawaahidi nini kupigwa nao?? Naona hiyo 72 imekuuma sana,kama vile ukiwa mbele ya Gays na unaongelea kuowa uone watakavoumia.
Baada ya kicheko hatimaye ukweli utabaki vilevile kama ilivyoandikwa.Kama mkiristo anamwita muislam ni kafiri muislam atacheka sana. Maana anamjua kafiri nani
Yaani ni shida mkuu.Hawa magraduate wa MUM wana fruatrations za kukosa ajira.
Asara ya kukosa mabikila 70??Ukifa ukiwa mkiristo unahasara kubwa