Saudi Arabia yawapiga pini mahujaji wa Iran

Makafir hata enzi za Mtume walikuwepo lkn haikuzuia uislamu kufika hadi Ulaya na Africa. Kama wewe ni mkiristo jitahidi sana ukifa ufe ukiwa muislam vyenginevyo utajuta kwanini ulibaki ktk ukiristo wako
Dini imekusaidiaje kukuletea ugali hapo nyumbani?
 
Na unasemaje pale ukristo unapomwita mtu asiye mkristo kama wewe kuwa wewe ni kafiri ingawa sisi hatukuiti wewe kafiri. Yuda 1:4
Kama mkiristo anamwita muislam ni kafiri muislam atacheka sana. Maana anamjua kafiri nani
 
Kwani nyinyi Pop kawaahidi nini kupigwa nao?? Naona hiyo 72 imekuuma sana,kama vile ukiwa mbele ya Gays na unaongelea kuowa uone watakavoumia.
Pope alisema ninyi mnaoliwa msitengwe na Kanisa bali mbarikiwe, maana kitendo cha kuwa hai tu ni baraka kutoka kwa Mungu ili mjitafakari. Pia, Sababu ni kupitia baraka ndiyo mnaweza akili zikawafunguka na kuiona kweli.
 
Ila wairan Shia wanathamini sana hija yao ya Najaf Iraq kuliko Saudi
 
Sijui ni matatizo ya lugha au ujinga.Kilichozungumzwa kwenye hii habari aliyeileta huyu taghuti ni Umrah sio Hija.
Na tatizo ni permit za ndege kutua Saudi Arabia na hata waziri aliyehojiwa kwenye hii habari amesema ni tatizo dogo.Huyu muabudu sanamu aliyeileta hajui hata habari aliyoileta inazungumzia nini.
Shule mlikwenda kufundishwa ujinga.Umrah ni ibada inayofanyika muda wote isipokuwa kipindi cha Hija.
 
Kwa kipindi hiki ambacho Israel iko kwenye vita na Iran, huenda pale IDF inaweza ikapiga kwenye al Kaaba jambo ambalo linaweza kuleta taharuki dunia nzima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…