Saudi Prince Al-Waleed and his Wife

Saudi Prince Al-Waleed and his Wife

Pombe wanagonga vibaya mno.

Ila wewe ukionekana sasa
Kwenye hayo makasri yao wana wine, scotch , whisky za gharama, wanazigonga sana na fegi, na wanapiga madem kinoma.

Juzi kati 1st Jan usiku kuna mwanangu mmoja msaudia alikuja na wenzie nadhani wa oman jumla kama 6, salam aleyku za kutosha, nikawaambia kama pombe hamnywi shauri zenu mi napiga vyombo leo nakaribisha 2024 msiniletee kiwingu na us3nge wenu pombe ni haram.

Nikawaambia mi hata nyoka nakula usije niletea ufala eti najisi, wakawa wanacheka.

Aisee kumbe kuna waarabu kama wanne wanatandika vikali, yule mmoja alishusha konyagi 3 zile ndogo, nikasema astaghfirullah. Wale wengine beer, nikawateremshia absolute vodka wakasema shukran jazylaan, nkawaambia karibuni Tanzania.
 
Kama kwenu Kuna waarabu fuatilia hili. Na hakuna ustaarabu Duniani unao entertain mke zaidi ya mmoja... Mfalme Mohammed VI wa Morocco ambaye ni damu Moja na mtume ana mke mmoja .. Watakuambia tu Petro alikua na wake 900 kipindi hicho anayekuambia ana mke mmoja au Hana kabisa. Baadaye unakua na mawazo ya kuoa wenzio Wana mawazo juu ya rasirimali zako. Fungua macho tizama mbele
Ni Kweli ni uzazi wa Muhammad AU story Tu 😂 za kutungwa
 
Sasa huoni yupo na mumewe hapo?

Hapo unaposema yupo na Mumewe walikuwa kwenye harusi ya prince william na amevaa brand ya kafiri Louis Vuton,,,,, nyinyi miloletewa dini ndio mnateseka na ma Hijab na Maburka , mnacomplicate maisha huku wenye dini yao wameshaachana nayo.. nakuongezea picha zake
SAUDDDS.jpg

picha zingine hizi hapa nakuwekea

je na hapo mbona kichwa wazi mbele ya wanaume wengine ?
 
Kwenye hayo makasri yao wana wine, scotch , whisky za gharama, wanazigonga sana na fegi, na wanapiga madem kinoma.

Juzi kati 1st Jan usiku kuna mwanangu mmoja msaudia alikuja na wenzie nadhani wa oman jumla kama 6, salam aleyku za kutosha, nikawaambia kama pombe hamnywi shauri zenu mi napiga vyombo leo nakaribisha 2024 msiniletee kiwingu na us3nge wenu pombe ni haram.

Nikawaambia mi hata nyoka nakula usije niletea ufala eti najisi, wakawa wanacheka.

Aisee kumbe kuna waarabu kama wanne wanatandika vikali, yule mmoja alishusha konyagi 3 zile ndogo, nikasema astaghfirullah. Wale wengine beer, nikawateremshia absolute vodka wakasema shukran jazylaan, nkawaambia karibuni Tanzania.
Hahaaa
 
Ni
Ok sawa. Katika kusoma kwangu nilibahatika kusoma na waarabu na pia walikua marafiki zangu. Sasa nilikua nikienda kwao namkuta baba na mama pekee na ndugu zao wengine. Kuna muda nikamuuliza huyo rafiki yangu, kwanini Mzee wake ana mke mmoja naye ni muislam pure. Jamaa akanijibu kua, ni nchi chache sana za kiarabu Zinaruhusu kumiliki mke zaidi ya mmoja.
Ni kweli kumiliki zaidi ya mke mmoja ni Unyanyasaji kwa wanawake.
 
 
Waislam wanafiki. Hijabu na Burqa ni kwa makapuku kama Dada FaizaFoxy. ona hapa chini huyo ni Mfalme wa Jordan ambaye wanadai ni kizazi Cha Moja kwa Moja kutokea kwa Mtume Mohammad; no Hijabu no what. Aidha, huko Thailand nyakati za mfungo Ramadan huwa kunajaa wanaume wa Kiarabu wanaokwenda kula Raha na visichana vya Kithailand
View attachment 2877918
Kila mtu siku ya kiama ataulizwa juu ya matendo yake na lililobora mtu kunyaangalia matendo yake kwanza kabla ya kuanza akujadili ya mwengine, President au King kuwa mtu muasi na muovu siyo sababu ya mtu kufuata dini na kumuiga na hiyo list ndogo Mimi hata Gamal Nasser ,Anuar Saadat na viongozi wengine maarufu wa kiarabu familia zao zinaishi Kimagharibi sana lakini hilo halibadilishi Sheria ya Uislamu.
 
Hapo unaposema yupo na Mumewe walikuwa kwenye harusi ya prince william na amevaa brand ya kafiri Louis Vuton,,,,, nyinyi miloletewa dini ndio mnateseka na ma Hijab na Maburka , mnacomplicate maisha huku wenye dini yao wameshaachana nayo.. nakuongezea picha zake
View attachment 2877935
picha zingine hizi hapa nakuwekea

je na hapo mbona kichwa wazi mbele ya wanaume wengine ?
Hao wahuni tu.
 
Wapo nje ndio maana cameraman kawazoom aka shot, Saudia wahuni tu hao , hadi pombe viongozi wanakunywa tena wanazitandika vizuri.
Saudia wanakunywa pombe ,hao viongozi wamefnya mauaji ya wazi ili kulindwa na Marekani ndio wanafanya ujinga na kuruhusu mambo kiboa tena yapo nyuma yao.


Viongozi wa saudia nchi wameipata kwa mazabe ya Marekani ili kuutoa uislamu pale ,bahati nzuri hata waislamu wanajua wale sio waislamu halisi kuanzia hanasa kwa kutumia mali za ummah....Wao viongozi wa kidini wanaofuata dini ila sio hao wakina prince
 
Hapo unaposema yupo na Mumewe walikuwa kwenye harusi ya prince william na amevaa brand ya kafiri Louis Vuton,,,,, nyinyi miloletewa dini ndio mnateseka na ma Hijab na Maburka , mnacomplicate maisha huku wenye dini yao wameshaachana nayo.. nakuongezea picha zake
View attachment 2877935
picha zingine hizi hapa nakuwekea

je na hapo mbona kichwa wazi mbele ya wanaume wengine ?
Kwani kuwa muarabu ndio kuwa muislamu?😅😅 Hao ni watawlaa hawana uhusiano na uislamu hata kuswali sidhani kama wanaswali ule ukoo mzima wa mfalme pale

Please niletee picha ya mke wa imam wa mecca yule sudais ,nion mkewe akiwa kichwa wazi...


Unasema kutembea na mke nje hivyo je hujui hao ndio walimuua jamal khashongy na cctv camera zimeonyesha kabisa !? Hao ni majambazi kabisa pale wanalindwa na mzungu ..


Uislamu saudia sio kote hata Mtume alipata resistance kutokw katika uongozi wa nchi hiyo ya saudi ..

Kule Israel mpaka ndio chimbuko la ukristo ila majority sio wakristo ,hata kusambaza ukristo ni kosa la jinai mbona watu hawapigi kelele?😅😅😅.


Mtume alikuwa jamii ya waarabu ila sio kila muarabu ni muislamu tena nusu kwa nusu.... Viongozi wa saudia pamoja na mtawala hawana uhusiano wa moja kwa moja na uislamu labda sehemu ya Mecca ..Ni kama vile Vatican ilivyojimega kutoka kwa Italy sio viongozi wa Italy wote ni wakristo.😂


Msikitini wa Mecca una uongozi wake ambao ni waislamu tupu ..
 
Back
Top Bottom