Saudi Prince Al-Waleed and his Wife

Saudi Prince Al-Waleed and his Wife

Kwani kuwa muarabu ndio kuwa muislamu?😅😅 Hao ni watawlaa hawana uhusiano na uislamu hata kuswali sidhani kama wanaswali ule ukoo mzima wa mfalme pale

Please niletee picha ya mke wa imam wa mecca yule sudais ,nion mkewe akiwa kichwa wazi...


Unasema kutembea na mke nje hivyo je hujui hao ndio walimuua jamal khashongy na cctv camera zimeonyesha kabisa !? Hao ni majambazi kabisa pale wanalindwa na mzungu ..


Uislamu saudia sio kote hata Mtume alipata resistance kutokw katika uongozi wa nchi hiyo ya saudi ..

Kule Israel mpaka ndio chimbuko la ukristo ila majority sio wakristo ,hata kusambaza ukristo ni kosa la jinai mbona watu hawapigi kelele?😅😅😅.


Mtume alikuwa jamii ya waarabu ila sio kila muarabu ni muislamu tena nusu kwa nusu.... Viongozi wa saudia pamoja na mtawala hawana uhusiano wa moja kwa moja na uislamu labda sehemu ya Mecca ..Ni kama vile Vatican ilivyojimega kutoka kwa Italy sio viongozi wa Italy wote ni wakristo.😂


Msikitini wa Mecca una uongozi wake ambao ni waislamu tupu ..
Kwamba viongozi wa "nchi inayoongozwa kwa misingi ya Kiislamu" wao sio Waislamu !??

Hivi hata umesoma ulichokiandika ?! NYIE MAISLAMU NI MAJINGA NA MANAFIKI SANA.
 
Hapo unaposema yupo na Mumewe walikuwa kwenye harusi ya prince william na amevaa brand ya kafiri Louis Vuton,,,,, nyinyi miloletewa dini ndio mnateseka na ma Hijab na Maburka , mnacomplicate maisha huku wenye dini yao wameshaachana nayo.. nakuongezea picha zake
View attachment 2877935
picha zingine hizi hapa nakuwekea

je na hapo mbona kichwa wazi mbele ya wanaume wengine ?
Tuwaulize misukule ya udini hapa jf zezeta kibalagashea Malaria 2 bibi yetu (ambae pia ni bikra) FaizaFoxy
 
Kwamba viongozi wa "nchi inayoongozwa kwa misingi ya Kiislamu" wao sio Waislamu !??

Hivi hata umesoma ulichokiandika ?! NYIE MAISLAMU NI MAJINGA NA MANAFIKI SANA.
Currently sio waislamu ile ni katiba huyu mtawala kapewa kulinda maslahi ya Marekani..Hata Afghanistan ile kabla ya kupinduliwa hivi karibuni ilikuwa na katiba ya kiislamu ila viongozi sio waislam ni puppet wa Marekani.

Unatukana kwa sababu hakuna downfall😂😂ni ujinga wako wa kutokusoma shule na kufuata ushoga wa vatican.
 
Kuna ubaya gani hapo wamestirika au unataka wave vimini na nusu uchi kama Wagalatia ?
Ndio kuna ubaya, we unaona sawa Allah anatambua utamaduni wa kiarabu tuu, kuanzia lugha hadi mavazi, kwamba tamaduni za kiarabu ndio superior kuliko zingine.
Angalia video hii hapa chini alaf nambie kama hao wanawake na mavazi yao ya asili wamevaa uchi?


Wamevaa nusu uchi hao??
Hapo walipo Allah hawawatambui hadi wavai hayo manguo?
Haya sema nina chuki na uislamu kama kawaida yenu.
 
Saudia ndio taifa la kiarabu na kiislam linaloingiza utamaduni wa kimagharibi kwa kasi ya kuudhi iran kiasi kwamba wanaonekana kuinajisi ardhi takatifu kwa uislam uliko mji wa maka na madina. Iran imaaidi kiasi cha kutaka mkono upigwe waiteke maka isiendelee kunajisiwa na umagharibi
 
Ukifuatilia maisha wanayoishi waliotuletea hizi dini mbili, unapata kutambua kuwa mwazanzilishi wake ni mmoja
 
Umeona ni nje hapo? Mtu yupo garden hapo na mumewe ametupia vitu vya pesa nyingi kabisa, ajizongezonge nini?

Huoni mumewe ndiyo kavaa hijab?
Huo upuuzi ni kwa maskini, acha kuzuga. We Bibi wa Jambiani unaujua uislam kuliko huyo mwana mfalme wa Kiarabu?
 
Back
Top Bottom