Saudi Prince Al-Waleed and his Wife

Kwamba viongozi wa "nchi inayoongozwa kwa misingi ya Kiislamu" wao sio Waislamu !??

Hivi hata umesoma ulichokiandika ?! NYIE MAISLAMU NI MAJINGA NA MANAFIKI SANA.
 
Tuwaulize misukule ya udini hapa jf zezeta kibalagashea Malaria 2 bibi yetu (ambae pia ni bikra) FaizaFoxy
 
Kwamba viongozi wa "nchi inayoongozwa kwa misingi ya Kiislamu" wao sio Waislamu !??

Hivi hata umesoma ulichokiandika ?! NYIE MAISLAMU NI MAJINGA NA MANAFIKI SANA.
Currently sio waislamu ile ni katiba huyu mtawala kapewa kulinda maslahi ya Marekani..Hata Afghanistan ile kabla ya kupinduliwa hivi karibuni ilikuwa na katiba ya kiislamu ila viongozi sio waislam ni puppet wa Marekani.

Unatukana kwa sababu hakuna downfall😂😂ni ujinga wako wa kutokusoma shule na kufuata ushoga wa vatican.
 
Kuna ubaya gani hapo wamestirika au unataka wave vimini na nusu uchi kama Wagalatia ?
Ndio kuna ubaya, we unaona sawa Allah anatambua utamaduni wa kiarabu tuu, kuanzia lugha hadi mavazi, kwamba tamaduni za kiarabu ndio superior kuliko zingine.
Angalia video hii hapa chini alaf nambie kama hao wanawake na mavazi yao ya asili wamevaa uchi?

Your browser is not able to display this video.

Wamevaa nusu uchi hao??
Hapo walipo Allah hawawatambui hadi wavai hayo manguo?
Haya sema nina chuki na uislamu kama kawaida yenu.
 
Saudia ndio taifa la kiarabu na kiislam linaloingiza utamaduni wa kimagharibi kwa kasi ya kuudhi iran kiasi kwamba wanaonekana kuinajisi ardhi takatifu kwa uislam uliko mji wa maka na madina. Iran imaaidi kiasi cha kutaka mkono upigwe waiteke maka isiendelee kunajisiwa na umagharibi
 
Ukifuatilia maisha wanayoishi waliotuletea hizi dini mbili, unapata kutambua kuwa mwazanzilishi wake ni mmoja
 
Umeona ni nje hapo? Mtu yupo garden hapo na mumewe ametupia vitu vya pesa nyingi kabisa, ajizongezonge nini?

Huoni mumewe ndiyo kavaa hijab?
Huo upuuzi ni kwa maskini, acha kuzuga. We Bibi wa Jambiani unaujua uislam kuliko huyo mwana mfalme wa Kiarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…