JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
kiwango cha mwisho cha muda ulitarajia kiwe ngapi ili uamini?
kiwango cha mwisho cha muda ulitarajia kiwe ngapi ili uamini?
swali langu hujalijibuMkuu kama nilivosema mwanzo. Kwa maelezo yako ya 75 km kwa 6 minutes maana yake ni 750km/h.
750km/h ni impractical kwenye pikipiki. ukichukua weight ambayo matairi yanabeba + rolling resistance + friction, mtu akitembea kwa hiyo speed ndani ya muda usiozidi dakika 5 tairi zote zitakuwa zinawaka moto.
kilomita 75 kwa nusu saa, samahani hapa ulikua unazungumzia guta?
Kweli kabisa maana nchi yetu kwa sasa mkiwa na mpunga wa chui haruki imeshakuwa dhambiUtamponza bure huyo mtu,,angekuwa na hela tungejua tu..
Mkuu hizi ni hela au namba acha hizodaah mnamahesabu mazuri kwenye pesa za wenzenu
kwani hela hazina namba?Mkuu hizi ni hela au namba acha hizo
Hakuna pikipiki yenye uwezo wa kwenda speed hiyo hapa Tanzania, uko mambele hizo Kawasaki na Dodge ndo mojawapo ya zenye speed kubwa na hazifikii speed hiyo wakati zinakuwa kwenye lanes zilizonyooka kwa ajili ya testing. Hiyo pikipiki inayoenda 75km/6mins ameitoa Mars?swali langu hujalijibu
kiwango gani cha mwisho katika muda ambacho angekitumia kumaliza hizo km75 kwa mujibu wa calculations zako?
Mzee scania, iveco, Fiat basi zake ukiziweka ubungo utaona unaingiza hasara tuJuzi kati tukiwa katika maongezi na my Salty Dawg..
mara tukabadili ukurasa wa maongezi, tukaingia kwenye usafirishaji...
Looh. ndo ikawa mara ya kwanza sikia ilo jina na ikawa ndo mara kwanza kujua kwamba Scania wanatengeneza mabasi...
kwa mara ya pili nimekutana na jina ili hapa jukwaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi kati kanye west amepanda kwenye list ya wasanii matajiri baada ya kupeleka documents zake za mkwanja Forbes. Mm nashauri mzee bakhresa nae apeleke. Haiwezekani mo amzidi hela SSB wakati AZAM ni taasisi bora namba tano Africa nzima. Na product zake zinakubalika Africa nzima. Watu wa madini kama sauli pesa zao zinapoteaga kiajabu bora hata muuza samaki anaafadhari.uwezo wa kufikiri kwa watanzania wengine ?????????. Unamuona mtu yupo mgodini na ana mabasi ya Ulaya say 10, you just conclude kuwa huyo mtu ni tajiri!
Utajiri unaongelewa kwa NAMBA. Nikiwa na maana mngeniambia:
1. net worthy ya Sauli ni kiasi gani,
2. hayo mabasi amenunua cash au ni mkopo na kama ni mkopo upo secured na mali zipi za Sauli?
3. Onyesha basi hata after tax profit ya kampuni za/yake kwa miaka hata 5 ili tuwe na uhakika kwamba huyu bwana ni tajiri.
Nasema hivyo kwa sababu unaweza kuta Sauli hana hata basi moja la kwake, kwamba ile fleet ni ya wapiga deal, wanatakatisha pesa. Wapiga deal kama:
1. Lugola na Ande - proceeds za mgao wa deal lao
2. Chenge na yule jaji aliyekuwa AG - proceeds za mgao wa escrow
3. Bashite Proceeds ya kodi aliyokwepa kwenye makontenna ya samani alizoingiza kutoka Marekani
4. Mzee wa mjengoni aliyelipwa Tshs. 12b/= kwa ajili ya matibabu India nk.
Simdharau au kukakataa kwamba Sauli hawezi kumiliki huo ukwasi, ila nataka uonyeshe ushahidi.
Anakimbia kuliko hata boingKwamba aliendesha 750Km/hr speed
Yani alikimbia kuliko airbus za magufuli.
Humu tuko watu wazima mkuu. Tafadhali
[emoji28][emoji28]Kwa taarifa tu pale chunya pana madon wa madini zaidi ya sauli .. Sauli anaonekana ndo mjanja nyuma ya mabosi wa madini kwa kuwekeza kwenye Usafiri.. Ni mjanja sana jamaa,. alimfanyia ukanjanja mzungu mmoja kilichoendelea anakijua mwenyewe
INawezekana kweli akatumia mda huo, ila si piki piki hii tunayoiona labda anatumia viini macho aka miziziologyHakuna pikipiki yenye uwezo wa kwenda speed hiyo hapa Tanzania, uko mambele hizo Kawasaki na Dodge ndo mojawapo ya zenye speed kubwa na hazifikii speed hiyo wakati zinakuwa kwenye lanes zilizonyooka kwa ajili ya testing. Hiyo pikipiki inayoenda 75km/6mins ameitoa Mars?
Weka picha [emoji16][emoji16]Sauli mzee wa pikipiki na kabegi kake kekundu[emoji2960]