Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Dar Coach wao ni body builders tu....na wanatumia chassis yoyote utakayoenda nayo mteja. Ukienda na Scania sawa, ukiwa na Isuzu sawa, iwe Faw poa tu, iwe Nissan fresh tu.Hivi Dar coach ile unakuta basi imeandikwa body by dar coach ni kampuni ya bongo?, inamilikiwa na dar express?, nao si wanatumia scania?
Triple A ni ya Papaa King aka Papaa Kiinyi....alikuwa wa kawaida tu ,acha kuendekeza uongo.
Hiyo hotel hapo Triple A- mbona ya kawaida tu
Unapinga ulikuwepo?Acha uongo mkuu....
Tuchukulie dhahabu hii ilipatikana jana ambayo ni sawa na gram 5000
Gram 1 kwa bei ya jana soko la dunia ilikua 127,990 Tsh.
Tuchukulie hii dhahabu ilikua na Purity ya 100% (swala ambalo ni gumu lazilma iwe pungufu)
So
5000*100%*127,990=636,950,000Tsh.
Je hii fedha unailisha chunya kwa miezi au mwaka??
Umeongea uongo mwingi, Sauli ana mabasi manne tu ambayo ameyapata kwa taratibu tu.
Kila mwaka alikua anajikongoja na kununua kabasi kamoja na mwaka huu ametoa hiyo Scania DTF.
Kuhusu upya wa mabasi umeongea uongo, mabasi yake ni ya kuchongwa Kenya ( Yamechongwa na kampuni ya AVA ila najua mtoa mada kijiweni kwenu huwa mnadanganyana zile bus ni Gemilang original)
Huyo Sauli Mbunge wa Tukuyu siyo huyu anayeongelewaMwaka 2011 nililala kwenye hoteli yake landmark pale Tukuyu.
Hapa Tanzania kuna Watu wana mawe kuliko huyo SAULI , alafu usitupigie kelel na hivyo Vibasi Vitatu kuna Mtu anaitwa Shabiby Line, Kimbinyiko Int. Coach, Batco, Ratco, Zacharia Airbus, Super Feo, New Force, Tahmed Coach, Isamilo, Frester, Mtei Express, Marangu Coach, Mghamba, Zuberi, King Msukuma, Abood, Dar Express, Nbs, nk wana Magari mengi na hawapigi kelele kama SAULI. Promo zimezidi hata Idadi ya Magari!
Shukran nimeelewa mkuu umeeleza vizuri.Dar Coach wao ni body builders tu....na wanatumia chassis yoyote utakayoenda nayo mteja. Ukienda na Scania sawa, ukiwa na Isuzu sawa, iwe Faw poa tu, iwe Nissan fresh tu.
Wao wanachojali ni bei ya body aitakayo mteja. Ukiimudu wanakujengea body.
Dar Coach ni kampuni ya Bongo...inamilikiwa na Wahindi si Dar express. Walikuwepo kina Manji pia wakitengeneza body...Quality Group engineering(QG) siku hizi ni kama wame cease operations.
Wenye hela wote unawajua mkuu?Utamponza bure huyo mtu, angekuwa na hela tungejua tu..
Daahh maisha yenyewe hata 100yrs hatufikishiYatupasa nasi kutafuta hela ili nasi tusimuliwe Kama kina Sauli
Unafahamu gemilang wanatengeneza body kwa chassis za Mercedes Benz, man vovlo na scania ? Unafahmu kuwa hizi unazoziita gemilang za Ava Ni mabati tupu na kuwa huo mfumo haupo kwenye body za nje? , Umeshaziona hizo gemilang za Ava zikichoka zinakuwaje , Tashrif anayo moja uone jinsi zikichoka inavyokuwa mbaya ,Gemilang wanashirikiana na Scania kutengeneza hizi basi zao za huku East Africa. Chassis ni za F310 hiyo f95 siyo official name ya chassis za sasa za Scania....walishaachana na huo mfumo wa ku name products zao. Currently wana chassis za F360 ambazo zipo kwenye zile Tahmeed mpya zilizotengenezwa na Master Fabricators.
Pia ujue kuwa kampuni ya AVA ya Kenya wana assemble imported body parts toka Malaysia...Fabrication inafanyikia nje huko Malaysia kwao na Gemilang.
So AVA ya Kenya wanashirikiana na Scania East Africa ku assemble(not fabricating) Scania Gemilang.
Scania to ease public transport with new coach
I know all that mkuu...si mgeni kwenye tasnia hii. Gemilang anatengeneza body Scania anatengeneza Chassis. Ni sawa na Marcopolo anayetengeneza buses kwenye chassis za kampuni tofauti tofauti.Unafahamu gemilang wanatengeneza body kwa chassis za Mercedes Benz, man vovlo na scania ? Unafahmu kuwa hizi unazoziita gemilang za Ava Ni mabati tupu na kuwa huo mfumo haupo kwenye body za nje? , Umeshaziona hizo gemilang za Ava zikichoka zinakuwaje , Tashrif anayo moja uone jinsi zikichoka inavyokuwa mbaya ,
F95 ilipotoka kwa Mara ya kwanza , huko Malaysia ilijengwa body na gemilang body builder, ilipopata umaarufu huko ikajulikana Kama scania gemilang,
Gemilang Ni trade mark ya kampuni inayojenga body , sio ya scania
Sent
Asante sana, umafahamu gemilang anatengeneza bodies kwa vovlo na man pia?I know all that mkuu...si mgeni kwenye tasnia hii. Gemilang anatengeneza body Scania anatengeneza Chassis. Ni sawa na Marcopolo anayetengeneza buses kwenye chassis za kampuni tofauti tofauti.
Je hili ni jina la kabila gani?Sauli Solomoni Mwalabhila
Siyo huyu mnyakyusa wa Tukuyu aliyeibukia madawa ya kulevya na sasa ana landmark hotel. Huyu ni mwingineUnamsemea Sauli Hendry Amon ninaemfahamu mimi au mwingine!! Mbona wa kawaida sana huyu chaah labda kwako anakushtua
Hivi OP hapa aliichukuliaje dhahabu yani?"Alimpa Mkapa dhahabu kilo 5 atengeneze cheni"... tuache utani, dhahabu kilo tano inalisha chunya nzima miezi kama sio miaka....