Sauli: Bilionea ambaye Wazungu/Wageni wanamtambua Waswahili hatujamfahamu kabisa

Sauli: Bilionea ambaye Wazungu/Wageni wanamtambua Waswahili hatujamfahamu kabisa

Hivi Dar coach ile unakuta basi imeandikwa body by dar coach ni kampuni ya bongo?, inamilikiwa na dar express?, nao si wanatumia scania?
Dar Coach wao ni body builders tu....na wanatumia chassis yoyote utakayoenda nayo mteja. Ukienda na Scania sawa, ukiwa na Isuzu sawa, iwe Faw poa tu, iwe Nissan fresh tu.

Wao wanachojali ni bei ya body aitakayo mteja. Ukiimudu wanakujengea body.

Dar Coach ni kampuni ya Bongo...inamilikiwa na Wahindi si Dar express. Walikuwepo kina Manji pia wakitengeneza body...Quality Group engineering(QG) siku hizi ni kama wame cease operations.
 
Hizi promo nasubiri mshindo,kuanzia kwenye Mabasi na sasa PR
 
Acha uongo mkuu....
Tuchukulie dhahabu hii ilipatikana jana ambayo ni sawa na gram 5000
Gram 1 kwa bei ya jana soko la dunia ilikua 127,990 Tsh.
Tuchukulie hii dhahabu ilikua na Purity ya 100% (swala ambalo ni gumu lazilma iwe pungufu)

So
5000*100%*127,990=636,950,000Tsh.
Je hii fedha unailisha chunya kwa miezi au mwaka??
Unapinga ulikuwepo?
 
Acha uongo na wewe, ameongeza gari moja DTF mwaka huu, alianza na DPC na DPN akongeza DRH then DTF kati ya hizo moja ni Mercedes Benz na tatu ni scania gemilang, hizo gari hazitengezwi Kenya mkuu, zinatoka Ng'ambo. Kwa route za southern highland scania gemilang anazo yeye na Rungwe express. Nyongeza tu Sauli ndio mabasi yanayokuwa yakwanza kuingia Mbeya Karibu kila siku.
Umeongea uongo mwingi, Sauli ana mabasi manne tu ambayo ameyapata kwa taratibu tu.

Kila mwaka alikua anajikongoja na kununua kabasi kamoja na mwaka huu ametoa hiyo Scania DTF.

Kuhusu upya wa mabasi umeongea uongo, mabasi yake ni ya kuchongwa Kenya ( Yamechongwa na kampuni ya AVA ila najua mtoa mada kijiweni kwenu huwa mnadanganyana zile bus ni Gemilang original)
 
Mbona kama umeumia sana? Hupaswi kuumia hivyo haya mambo madogo tu.🤣😁😁


Hapa Tanzania kuna Watu wana mawe kuliko huyo SAULI , alafu usitupigie kelel na hivyo Vibasi Vitatu kuna Mtu anaitwa Shabiby Line, Kimbinyiko Int. Coach, Batco, Ratco, Zacharia Airbus, Super Feo, New Force, Tahmed Coach, Isamilo, Frester, Mtei Express, Marangu Coach, Mghamba, Zuberi, King Msukuma, Abood, Dar Express, Nbs, nk wana Magari mengi na hawapigi kelele kama SAULI. Promo zimezidi hata Idadi ya Magari!
 
Dar Coach wao ni body builders tu....na wanatumia chassis yoyote utakayoenda nayo mteja. Ukienda na Scania sawa, ukiwa na Isuzu sawa, iwe Faw poa tu, iwe Nissan fresh tu.

Wao wanachojali ni bei ya body aitakayo mteja. Ukiimudu wanakujengea body.

Dar Coach ni kampuni ya Bongo...inamilikiwa na Wahindi si Dar express. Walikuwepo kina Manji pia wakitengeneza body...Quality Group engineering(QG) siku hizi ni kama wame cease operations.
Shukran nimeelewa mkuu umeeleza vizuri.
 
Gemilang wanashirikiana na Scania kutengeneza hizi basi zao za huku East Africa. Chassis ni za F310 hiyo f95 siyo official name ya chassis za sasa za Scania....walishaachana na huo mfumo wa ku name products zao. Currently wana chassis za F360 ambazo zipo kwenye zile Tahmeed mpya zilizotengenezwa na Master Fabricators.

Pia ujue kuwa kampuni ya AVA ya Kenya wana assemble imported body parts toka Malaysia...Fabrication inafanyikia nje huko Malaysia kwao na Gemilang.

So AVA ya Kenya wanashirikiana na Scania East Africa ku assemble(not fabricating) Scania Gemilang.

Scania to ease public transport with new coach
Unafahamu gemilang wanatengeneza body kwa chassis za Mercedes Benz, man vovlo na scania ? Unafahmu kuwa hizi unazoziita gemilang za Ava Ni mabati tupu na kuwa huo mfumo haupo kwenye body za nje? , Umeshaziona hizo gemilang za Ava zikichoka zinakuwaje , Tashrif anayo moja uone jinsi zikichoka inavyokuwa mbaya ,

F95 ilipotoka kwa Mara ya kwanza , huko Malaysia ilijengwa body na gemilang body builder, ilipopata umaarufu huko ikajulikana Kama scania gemilang,
Gemilang Ni trade mark ya kampuni inayojenga body , sio ya scania



Sent
 
Unafahamu gemilang wanatengeneza body kwa chassis za Mercedes Benz, man vovlo na scania ? Unafahmu kuwa hizi unazoziita gemilang za Ava Ni mabati tupu na kuwa huo mfumo haupo kwenye body za nje? , Umeshaziona hizo gemilang za Ava zikichoka zinakuwaje , Tashrif anayo moja uone jinsi zikichoka inavyokuwa mbaya ,

F95 ilipotoka kwa Mara ya kwanza , huko Malaysia ilijengwa body na gemilang body builder, ilipopata umaarufu huko ikajulikana Kama scania gemilang,
Gemilang Ni trade mark ya kampuni inayojenga body , sio ya scania



Sent
I know all that mkuu...si mgeni kwenye tasnia hii. Gemilang anatengeneza body Scania anatengeneza Chassis. Ni sawa na Marcopolo anayetengeneza buses kwenye chassis za kampuni tofauti tofauti.
 
I know all that mkuu...si mgeni kwenye tasnia hii. Gemilang anatengeneza body Scania anatengeneza Chassis. Ni sawa na Marcopolo anayetengeneza buses kwenye chassis za kampuni tofauti tofauti.
Asante sana, umafahamu gemilang anatengeneza bodies kwa vovlo na man pia?

Sent
 
Unamsemea Sauli Hendry Amon ninaemfahamu mimi au mwingine!! Mbona wa kawaida sana huyu chaah labda kwako anakushtua
Siyo huyu mnyakyusa wa Tukuyu aliyeibukia madawa ya kulevya na sasa ana landmark hotel. Huyu ni mwingine
 
Hao wakishapata pesa za kula ukurupukia kwenye mabus then mfereji ukitaka chali. Kumiliki mabus ambayo ushuka thamani unajiitaje bilionea, we we ni level ya machinga tu.
 
Back
Top Bottom