BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,064
- 2,312
Kwel kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utamponza bure huyo mtu, angekuwa na hela tungejua tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utamponza bure huyo mtu, angekuwa na hela tungejua tu..
Kwani KLM sikuizi zinaenda mbeya?Sauli na Kilimanjaro bamba to bamba kitonga/nzomveView attachment 1478873
Hivi Dar coach ile unakuta basi imeandikwa body by dar coach ni kampuni ya bongo?, inamilikiwa na dar express?, nao si wanatumia scania?Issue hapo ni kuwa hizo Gemilang zinakuwa assembled Kenya na kampuni hiyo ya AVA. Zinakuja kama body parts zikiwa fully completed toka Malaysia na hapo kenya wanaziunganisha tu.
Yaani kampuni ya Gemilang imeshirikiana na kampuni ya Kenya kufanya uwekezaji East Africa. So hizo ni Gemilang Original kama zile za Malaysia...maana hata huko Asia wanafata utaratibu ule ule wa kuunda body zao..
Yeye anasema hizo ni za kuchonga tu, hapana. Ni assembly...yaani unaunganisha kitu ambacho tayari kilishatengenezwa huko Malaysia.
Inaonesha hukunielewa! Dar lux alinunua bus body marcopolo, chasis asiastar na injini weichai.. je hiyo ni aina gani ya bus?Sikiliza ww. Dar Express alikua na Scania Irizar na nyingine kadhaa ambazo kazitengenezea body pale Dar Coach. Nazo hukuziona?
"Alimpa Mkapa dhahabu kilo 5 atengeneze cheni"... tuache utani, dhahabu kilo tano inalisha chunya nzima miezi kama sio miaka....
Acha uongo mkuu....
Tuchukulie dhahabu hii ilipatikana jana ambayo ni sawa na gram 5000
Gram 1 kwa bei ya jana soko la dunia ilikua 127,990 Tsh.
Tuchukulie hii dhahabu ilikua na Purity ya 100% (swala ambalo ni gumu lazilma iwe pungufu)
So
5000*100%*127,990=636,950,000Tsh.
Je hii fedha unailisha chunya kwa miezi au mwaka??
Nilijaribu kumpa picha kaka kuna wahindi mwezi wa 4 na 5 mwanzoni walikua wanapiga hadi 50k mkuu alafu wanakwambia kama hutaki sepa ...Hizo bei wauziana wazungu bab sokoni ni kama 90 mtoni ya kuchoma mpk 80
Nilijaribu kumpa picha kaka kuna wahindi mwezi wa 4 na 5 mwanzoni walikua wanapiga hadi 50k mkuu alafu wanakwambia kama hutaki sepa ...
Unafahamu kuwa Ava na master fabricant Ni makampuni mawili tofauti huko Kenya?Acha uongo hiyo AVA kaichonga master fabricant kampun ya Kenya ndio inachonga bus za asante rabi zote na sasa hivi kamchongea chuma itaanza root soon
Hujaona hiyo Saul Mpya DTF alikabidhiwa kutoka ofc za scania Dar kaangalie page ya Saul utaona hzo hazijachongwa na ndio sasa hivi inaongoza rout ya Mbeya Dar toka imekuja hiyo DTF inakanyaga mafuta balaaa na hyo Benz nayo haijachongwa ata ukiangalia service yake sio ya kitoto.
Saul kafuta utawala wa deer sahv wakina DPK wanamjua vzur
Hakuna gemilang east Africa ,Kama walivyo marcipolo irrizar and the likes hawa assemble bado zao hapa Africa.Issue hapo ni kuwa hizo Gemilang zinakuwa assembled Kenya na kampuni hiyo ya AVA. Zinakuja kama body parts zikiwa fully completed toka Malaysia na hapo kenya wanaziunganisha tu.
Yaani kampuni ya Gemilang imeshirikiana na kampuni ya Kenya kufanya uwekezaji East Africa. So hizo ni Gemilang Original kama zile za Malaysia...maana hata huko Asia wanafata utaratibu ule ule wa kuunda body zao..
Yeye anasema hizo ni za kuchonga tu, hapana. Ni assembly...yaani unaunganisha kitu ambacho tayari kilishatengenezwa huko Malaysia.
Dar coach ni kampuni ya dar , zamani kama sikosei ilikuwa inaitwa quality group, Yap walijenga Sana body zao kwenye chassis za scania japo sidhani Kama walikuwa na limitation kwenye brand zingine.Hivi Dar coach ile unakuta basi imeandikwa body by dar coach ni kampuni ya bongo?, inamilikiwa na dar express?, nao si wanatumia scania?
Zinapitiliza had tunduma kabisaKwani KLM sikuizi zinaenda mbeya?
😀 😀 hapo wajuba wanakuchimba ufalme wako, then, kifuatacho ni machozi na damu. Usicheze na wahuni wa mjini wewe.Tafuteni pesa acheni kupoteza muda kuni jadili hapa
Gemilang wanashirikiana na Scania kutengeneza hizi basi zao za huku East Africa. Chassis ni za F310 hiyo f95 siyo official name ya chassis za sasa za Scania....walishaachana na huo mfumo wa ku name products zao. Currently wana chassis za F360 ambazo zipo kwenye zile Tahmeed mpya zilizotengenezwa na Master Fabricators.Hakuna gemilang east Africa ,Kama walivyo marcipolo irrizar and the likes hawa assemble bado zao hapa Africa.
Hizo sauli, rungwe ,tashrif, Burdan , ambazo mtaani tunaziita gemilang zoote hizo zilikuja Kama chassis ya f95 na zikaundwa body na Ava , Mombasa, Tashrif yake ilishaanza kuchoka ukiingia ndani utaona jinsi mabati yalivyotamalaki kwenye body hizo.
Kitu pekee kinachoifanya basi hizo zionekane luxury ni uwezo wa engine na ile air suspension kweye diff na terias
Sent
Hii chumvi imezidi maji ya bahari km 75 kwa dakika 6.Kasi (speed)yake ni 750km/saa,kasi ya ndege hii.Sauli ni kijana mdogo ambaye anapenda sana maujiko, nakumbuka alikua anapenda sana kucheza pool table.
Sa ikitokea anacheza pool table halafu ukawa mpambe wake kumpa sifa basi pesa atayopata hapo kama akimfunga mpinzani yote anakupa wewe.
Wahuni walipogundua huo udhaifu wakawa kila kona wako naye, hua anapenda kutembea na katoto kake basi hapo wahuni wakawa wamepata tiketi.
Sauli akianza kucheza wahuni wanambeba mtoto wanajidai wanacheza naye, na ukimbeba mtoto utakuta anakupa 20k anasema kamnunulie juice mtoto halafu chenchi inayosalia yako.
Ikafika hatua wahuni wakawa wanagombea kumchukua mtoto, yani kila mtu anataka aonekane na sauli kamshika mtoto wake. Na jamaa alikua hana kwere haijalishi mmeshika wangapi alikua anahakikisha kila mmoja anamtembezea michuzi
Hata mpinzani wake kwenye pool alikua akikufunga na kukumaliza pesa zako hua anakurudishia na wale wadau waliokua pembeni yake wanamshangilia nao anawatembezea michuzi
Alikua anapenda sana mashindano ya piki piki sijui kwa saizi, kipindi kile nakumbuka alikua analipia kibali polisi kwa ajili ya kufanya battle ya pikipiki na jamaa mmoja alikua anaitwa konga
Analipiki piki lake hilo moja hatari yani umbali wa kilomita 75 ye alitumia dakika 6
Ana mengi ya kustaajabisha na mengi katika hayo ni ukijana sana halafu yuko social