Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

Hakuna sayansi inayokubaliana na hoja zako. Gari hata ikitembea kwa speed 5km/ hour itachakaa tu.

Kwani walioweka gari ifike 180 km/ hour walimaanisha nini?

ACHENI HOJA ZA KIJINGA. leta sababu zingine
Sijajua amefikiriaje mwenzetu lakini angepiga hesabu za kina, Je SAULI zilikuwa gari za aina gani zimetumika mda gani na Je yeye ndo alikuwa wa kwanza kuzitumia ? Kuchakaa ni inevitable atafute namna nyingine ya kuliweka hili.
 
Wenye mabasi wajifunze kwa Zuberi, miaka zaidi ya 20 kwenye njia ya Dar -Mwanza, wengi wamekuja kwa mbwembwe nyingi na wamemuacha mpaka leo.

Kwenye Malori kuna kampuni zinapiga pesa, watu wana mikataba mikubwa. Ingekuwa usafirishaji haulipi wasingenunua magari 100+.

Unaijua mikopo waliyo nayo?
 
Biashara ya mabasi ya abiria kwa Dunia ya leo si ya kushadadia ma mbio yasiyo na tija bali ni akili yenye wingi wa ubunifu ndaniye kwa mambo yatakayomvutia abiria taraji.

Mfano Sauli ni wazi alifilisiwa na madereva wake kwa kushadadia sifa za kijinga za mwendo kasi hali iliyosababisha mabasi mengi kuharibika na kwayo kutumia gharama kubwa kwenye matengenezo na mwisho kushindwa kujiendesha na wadai wakafilisi vyao.

Mwisho wa siku Sauli imebaki simulizi.

NB: Kisbo ana bahati ya kung'amua mapema kurejea kwenye ustaarabu vinginevyo naye ingeshabaki simulizi.
Toa ushahidi kuwa mwendo kasi ndio imesababisha magari yake kuharibika.
 
Hakuna sayansi inayokubaliana na hoja zako. Gari hata ikitembea kwa speed 5km/ hour itachakaa tu.

Kwani walioweka gari ifike 180 km/ hour walimaanisha nini?

ACHENI HOJA ZA KIJINGA. leta sababu zingine
Hyo km 180 per hour kwenye barabara gani mkuu? Ni pamoja na hizi zetu zenye matuta kila baada mita 500?
 
Biashara ya mabasi ya abiria kwa Dunia ya leo si ya kushadadia ma mbio yasiyo na tija bali ni akili yenye wingi wa ubunifu ndaniye kwa mambo yatakayomvutia abiria taraji.

Mfano Sauli ni wazi alifilisiwa na madereva wake kwa kushadadia sifa za kijinga za mwendo kasi hali iliyosababisha mabasi mengi kuharibika na kwayo kutumia gharama kubwa kwenye matengenezo na mwisho kushindwa kujiendesha na wadai wakafilisi vyao.

Mwisho wa siku Sauli imebaki simulizi.

NB: Kisbo ana bahati ya kung'amua mapema kurejea kwenye ustaarabu vinginevyo naye ingeshabaki simulizi.
sauli alikuwa anategemea pesa kidogo tu toka kwenye mabasi, biashara yake ilikuwa dhahabu na mabasi yake yale alikuwa anafanyia magendo ya kusafirisha dhahabu. hata asipopata abiria alikuwa hali hasara. ndio fununu.
 
Back
Top Bottom