Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
- Thread starter
-
- #21
Aisee!Unaweza kuwa sahihi mkuu, ila tu kwa taarifa yako Marehemu Sauli alikuwa kishaagiza unit 6 za yutong. Sema mipango ya Mungu si ya mwanadamu. Aendelee kupumzika alipojiandalia.
Sijajua amefikiriaje mwenzetu lakini angepiga hesabu za kina, Je SAULI zilikuwa gari za aina gani zimetumika mda gani na Je yeye ndo alikuwa wa kwanza kuzitumia ? Kuchakaa ni inevitable atafute namna nyingine ya kuliweka hili.Hakuna sayansi inayokubaliana na hoja zako. Gari hata ikitembea kwa speed 5km/ hour itachakaa tu.
Kwani walioweka gari ifike 180 km/ hour walimaanisha nini?
ACHENI HOJA ZA KIJINGA. leta sababu zingine
Sina hakika mkuuAisee!
Sasa huo mpango utaendelea kweli?
Pole sana mkuu.Ya kwako yalikua yanapita njia gani mkuu?Tutakuchangia uende India.Ila biashara za magari ni ugonjwa wa moyo kwa kweli
Sijawahi kufikia hizo level mkuuPole sana mkuu.Ya kwako yalikua yanapita njia gani mkuu?Tutakuchangia uende India.
Sasa,uligunduaje kama huleta magonjwa ya moyo kwa wamiliki mkuu?Sijawahi kufikia hizo level mkuu
Wenye mabasi wajifunze kwa Zuberi, miaka zaidi ya 20 kwenye njia ya Dar -Mwanza, wengi wamekuja kwa mbwembwe nyingi na wamemuacha mpaka leo.
Kwenye Malori kuna kampuni zinapiga pesa, watu wana mikataba mikubwa. Ingekuwa usafirishaji haulipi wasingenunua magari 100+.
ninayo ya kevel za kimasikini. ila nimeshangaa kujua kumbe hata level hizi bado madereva ni tatizoSasa,uligunduaje kama huleta magonjwa ya moyo kwa wamiliki mkuu?
Toa ushahidi kuwa mwendo kasi ndio imesababisha magari yake kuharibika.Biashara ya mabasi ya abiria kwa Dunia ya leo si ya kushadadia ma mbio yasiyo na tija bali ni akili yenye wingi wa ubunifu ndaniye kwa mambo yatakayomvutia abiria taraji.
Mfano Sauli ni wazi alifilisiwa na madereva wake kwa kushadadia sifa za kijinga za mwendo kasi hali iliyosababisha mabasi mengi kuharibika na kwayo kutumia gharama kubwa kwenye matengenezo na mwisho kushindwa kujiendesha na wadai wakafilisi vyao.
Mwisho wa siku Sauli imebaki simulizi.
NB: Kisbo ana bahati ya kung'amua mapema kurejea kwenye ustaarabu vinginevyo naye ingeshabaki simulizi.
Hyo km 180 per hour kwenye barabara gani mkuu? Ni pamoja na hizi zetu zenye matuta kila baada mita 500?Hakuna sayansi inayokubaliana na hoja zako. Gari hata ikitembea kwa speed 5km/ hour itachakaa tu.
Kwani walioweka gari ifike 180 km/ hour walimaanisha nini?
ACHENI HOJA ZA KIJINGA. leta sababu zingine
sauli alikuwa anategemea pesa kidogo tu toka kwenye mabasi, biashara yake ilikuwa dhahabu na mabasi yake yale alikuwa anafanyia magendo ya kusafirisha dhahabu. hata asipopata abiria alikuwa hali hasara. ndio fununu.Biashara ya mabasi ya abiria kwa Dunia ya leo si ya kushadadia ma mbio yasiyo na tija bali ni akili yenye wingi wa ubunifu ndaniye kwa mambo yatakayomvutia abiria taraji.
Mfano Sauli ni wazi alifilisiwa na madereva wake kwa kushadadia sifa za kijinga za mwendo kasi hali iliyosababisha mabasi mengi kuharibika na kwayo kutumia gharama kubwa kwenye matengenezo na mwisho kushindwa kujiendesha na wadai wakafilisi vyao.
Mwisho wa siku Sauli imebaki simulizi.
NB: Kisbo ana bahati ya kung'amua mapema kurejea kwenye ustaarabu vinginevyo naye ingeshabaki simulizi.
Hakuna Tajiri asiyekopa, na hakuna biashara kubwa ina break-even ndani ya mweziUnaijua mikopo waliyo nayo?
Soma kwa kuelewa siyo kujibu tu kama bata mwenye kideriHyo km 180 per hour kwenye barabara gani mkuu? Ni pamoja na hizi zetu zenye matuta kila baada mita 500?
hahahahahahahahaNdiyo ujinga huo.Sauli mwenyewe ulikua haumjui hadi amekufa.Leo hii umeshiba ntalali na michembe ndiyo unatunga habari kuleta JF.Wewe unakodisha hata baiskeli kibiashara?
Hatari sana.Ukijumlisha na kansolele.hahahahahahahaha
Eti ntalali, ume nikumbusha mbali mkuuu ππππ
Kuchakaa kwa gari na kuharibika kwa gari ni tofautiHakuna sayansi inayokubaliana na hoja zako. Gari hata ikitembea kwa speed 5km/ hour itachakaa tu.
Kwani walioweka gari ifike 180 km/ hour walimaanisha nini?
ACHENI HOJA ZA KIJINGA. leta sababu zingine
Wewe jamaa ni mtu wa Tabora au Kigoma hayo majina ntalali na kansolele(aina fulani ya uyoga) yanatumika hukoHatari sana.Ukijumlisha na kansolele.