Kama kuna Mzazi ambaye hujampeleka Mwanao kusoma SAUT Mwanza jua umepoteza bahati Kubwa na Ijutie sana.
hao wazungu dharau zao huzijui?
mliposema tuhamie Burundi Mimi sikwenda nilikuwapo tu hapa toka miaka ya sitini.Bro kama hujui jambo ni hekima kukaa kimya.
"Kutoa PhD kwa watu mbalimbali ambao siyo wanafunzi ni jambo ambalo halijaanza leo na lipo dunia nzima."
mliposema tuhamie Burundi Mimi sikwenda nilikuwapo tu hapa toka miaka ya sitini.
Hilo halina ubishiKama kuna Mzazi ambaye hujampeleka Mwanao kusoma SAUT Mwanza jua umepoteza bahati Kubwa na Ijutie sana.
Kama mzazi atakuwa anampeleka mwanae chuo kikuu kama vile alivyomwandikisha darasa la kwanza basi mzazi na mtoto wote kwa pamoja ni MAPOPOMA. Chuo kikuu cha SAUT huwa nakiheshimu sana ila kila ninapokumbuka kuwa kilimtunuku POPOMA GENTA degree nakishushia heshima hapohapo.Kama kuna Mzazi ambaye hujampeleka Mwanao kusoma SAUT Mwanza jua umepoteza bahati Kubwa na Ijutie sana.
nilitegemea hili,musukuma,babutale wametunukiwa hizo manila unalakuongeza hapo? nakusubiri.Rudi kwenu Burundi 🇧🇮. Kuwepo hapa tangu miaka ya 60 hakukufanyi kutokuwa mrundi. Au kukufanya kuwa mtanzania
Niko hapa mwalimu wa masautiLabda masauti bendi
Hata hizo PhD zisizo na maana kwani SAUT wanazo?Kama kuna Mzazi ambaye hujampeleka Mwanao kusoma SAUT Mwanza jua umepoteza bahati Kubwa na Ijutie sana.
Chuo hakijipendekezi lkn hakifuti ujinga Kwa vile hujabadilika chochote, na mfano mzuri utatukana hii postKama kuna Mzazi ambaye hujampeleka Mwanao kusoma SAUT Mwanza jua umepoteza bahati Kubwa na Ijutie sana.
Hapo hawajaweka kwa rank mkuu ni just orodha tuCHUO CH A15 NACHO UNAITA CHUO SI KAMA NURSERY TU
Hizo ni products za ardhi na udsm.kumbe wewe hujui hata kozi zinazotolewa na baadhi ya vyuo.Vyuo vinavyoanza na St. Ni shida, ni huko wanakotoka wahandisi waliosimamia maghorofa ya kariakoo yaliyopinda kiaina.
Mwanzo ulisema SAUT siyo Chuko Kikuu na baada ya kukupa Ushahidi wa kutoka TCU ili kukuonyesha Upumbavu wako sasa umebadilika na unahoji kwanini ni cha 15. Mbona huhoji kwanini pamoja na kuwa na Mabasha zako 15 ila bado tu hutosheki nao na unapenda bado Kupiga Miluzi tu?CHUO CH A15 NACHO UNAITA CHUO SI KAMA NURSERY TU
Kumbe ndiyo maana una Akili japo ukiwa unaishangilia Yanga SC yako unakuwa Mwehu ambaye Umetukuka zaidi tu.SAUT Mwanza chuo changu
Nimesoma hapo 2012-2015
Kama hukusoma SAUT Mwanza alikosoma / nilikosoma GENTAMYCINE basi count yourself a Lumpen Proletariat sawa?Kumbe Genta kasoma shule ya sekondari sauti.
Nilikuwa sijui.
Sasa kama ana Mabasha 200 kidogo unategemea Kweli awe na Akili?Hapo hawajaweka kwa rank mkuu ni just orodha tu