SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

Hilo baraza la seneti limejaa wakoloni watupu kwahiyo kama hao madaktari walishaajiriwa makazini ndio wanakuwa sio madaktari tena kwa ajili ya karatasi moja tu ya matokeo?
Huyo ndio muafrika ni zaidi ya shetani halafu ni chuo Cha mtakatifu fransi,nyie mnojiita watakatifu kumbe ni pe......p.....o
 
Hilo baraza la seneti limejaa wakoloni watupu kwahiyo kama hao madaktari walishaajiriwa makazini ndio wanakuwa sio madaktari tena kwa ajili ya karatasi moja tu ya matokeo?
Kwani hizo transcripts waliziiba? Na kama hawakuziiba; nani aliwapa? Yaani kuna watu wana bahati sana nchi sina mamlaka nao!

Yaani watu wanaaanza tena kuwachezea madakatari wetu wakati wao wapo serious kazini wanafanya kazi?
 
Kabisa, dunia haiko fair kabisa Ndugu daaaah [emoji25]

Lakini nani ajuaye isijekuwa ile kanuni ya "just make the problem then solve it" imetumika?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwa watu wanaopenda ku practice sheria wataanza kuwafuatilia popote pale walipoaj8riwa na kuwawekea mapingamizi ya kuendelea na ajira zao kwa kuwa hawana vyeti
 
Zuio huwekwa ili hukumu isitimilizwe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Ndugu Hakuna injunction kwenye rulling and judgment. Injunction ni kuomba kuweka zuio kwa Jambo lililoamuriwa na chombo ambacho sio Cha mahakama, ili mahakama isikilize shauri Hilo. Refer kesi ya akina mdee.
 
Kwa watu wanaopenda ku practice sheria wataanza kuwafuatilia popote pale walipoaj8riwa na kuwawekea mapingamizi ya kuendelea na ajira zao kwa kuwa hawana vyeti
Yeah. Hiki ndo alifanyaga Magu kipindi kile.
 
Kaendeshe barabarani bila leseni uone
elewa kwamba leseni haikuondolei ujuzi wa kuendesha gari. Huo ni utaratibu usio na maana. Ukute kuna shida barabarani dereva mwenye leseni kapata shida mi nisio na leseni niache kuendesha gari kuwahisha abiria ili kutatua tatiza kwa dharura? Ujuzi kwanza
 
Tuanze na yeye kumfutia vyeti vyake vyote hadi uprofessor na wengi kwenye bodi.
Maana wanivuruga mpango wote wamaisha....
 
Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…