SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

wahitimu 162 walikataa kimakusudi kurudisha nakala za masomo, 'Transcript' walizopewa bila ufahamu na uidhinishaji wa seneti ya chuo kikuu licha ya kukumbushwa kwa muda mrefu.
Kwanini wahitimu waligoma kurudisha kama hakuna shida? kama hakuna tatizo warudishe tu(Mlango wa kurudisha umeshafungwa)
ambazo walipewa bila baraza la senete la chuo kuwa na taarifa na kuziidhinisha.
Nadhani wahitimu wanajua namna walivyopata hizo nyaraka za matokeo, ni kama wabunge 19 wa CDM walivyoingia Bungeni.
 
Haiwezekani Mkuu.
Huwezi kusimamia matibabu kama huna kibali cha utabibu.
Na bahati mbaya ikutokea mambo yameenda kombo, labda surgery mgonjwa kafa na ulishiriki huku huna kibali , basi jiandae kujuta.
Namaanisha kusimamia biashara yake ya matibabu inayofanywa na wenye vyeti
 
Hili suala wale waliopata ajira rasmi serikalini ndo watauonaa motoo vizurii yanii KESHO MBALII MABOSS WATAANZA KUWASUMBUA wasipoenda mahakamani kupindua haya maamuzi kibarua ndo kimeota nyasii yani huu mwezi ndo mshahara wa mwisho watakula. Chuo kimezingua snaaa haya maamuzi ya kukurupuka mnoo
 
Hili suala wale waliopata ajira rasmi serikalini ndo watauonaa motoo vizurii yanii KESHO MBALII MABOSS WATAANZA KUWASUMBUA wasipoenda mahakamani kupindua haya maamuzi kibarua ndo kimeota nyasii yani huu mwezi ndo mshahara wa mwisho watakula. Chuo kimezingua snaaa haya maamuzi ya kukurupuka mnoo
Dah, halafu Hapo una mkopo bank dhamana ni nyumba yako.
 
Sioni km kuna shida. Tatizo wabongo kufuata utaratibu ilishakuwa haramu. Km kulifanyika kosa wakati wa kupewa hizo transcripts wanaona shida gani kuzirudisha.

Na swali la kujiuliza kwanini wakatae wote na sio baadhi. Kuna nini kwenye hizo transcripts. Huenda seneti imenusa sth fish kwenye hayo matokeo ndio maana wamelazimisha wazirejeshe.

Wanakataa kwa hoja ipi. Hivi km kungekuwa na tatizo labda la majina Yao ktk kuchapwa au kukosea moja au baadhi ya kozi walizosoma wasingerudisha. Kwani kurudisha kuna gharama gani ukizingatia siku hizi mambo ni kidijitali, yani ni kukisikani na kutuma tu hata km wako Ulaya. Labda km wote wamesha fariki. Vinginevyo Kuna kitu wanakijua ktk hayo matokeo ndiyo maana wote wamekataa kupeleka.

Vipi km wangekuwa wameambiwa na waajili wao wazipeleke wangekataa. Watumie usomi wao kuonesha ustaarabu.

Na ni nani alietoa hizo transcripts bila kuwa authorised. Kwa hiyo km wameajiriwa basi wameajiriwa na unauthorized documents. Na hao waliowaajiri kwanini hawakuangalia aunthenticity ya hizo transcripts. Kwa hiyo tunatibiwa na madaktari usu. Ebu wapeleke na atakaekataa ale jeuri yake. Janja janja ya nini km kweli wamesoma kwa akili zao. Wengine leo hata tukiambiwa cheti Cha la saba ingawa tumesoma enzi za Mwl Nyerere tunapeleka itakuwaje transcripts za juzi tu hizo.
 
Acha tuu mkuu sio poaa kabisaa... maamuzi ya ovyoo sana
Hii nchi ukishajua kuna mambo yako fulani fulani kwenye taasisi rasmi hayajakaa sawa wekeza muda na fedha zako kwenye sekta isiyo rasmi maana mda wowote watu wanapokea posho za kikao cha kukuondoa kwenye ramani na hawatojali litakalokukuta.
 
Back
Top Bottom