SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

Anapaswa awe na leseni. Zahanati hata kama ni ya kwako kama huna cheti huruhusiwi kufanya matibabu yoyote
Na kutengeneza kipato si lazima afanye matibabu. Anaweza kuwa hapo akisimamia wanaofanya matibabu na kwa sababu ana ujuzi hatodanganywa. Elimu yake bado inaitumia.
 
Jamani Jamani 🥲
Kwani hizo transcripts walijichukulia wenyewe?
Nyie kuweni na huruma na maisha ya watoto wa watu
Shule ya udaktari ilivyo ngumu[emoji119]kirahisi tu umfutie mtu elimu aliyoisotea kwa miaka 6[emoji15]!
Kwani wakati wanawapa hawakuona kama hazijaidhinishwa?
 
Utafanya kimazabe sana labda kwa kujiajiri huko pembezoni sana na ukiingia kwenye 18 za watu ur done. Kwani usajili wako utakuwa umesitishwa. Atakaekuajiri naye ??
Wakikugundua unakula permanent ban.Linabaki jina tu Doctor Y
 
Na tukubaliane si wote wenye hiyo akili/uwezo wa kutumia njia nyingine kujipatia kipato nnje ya formal ajira inayohitaji upresent cheti chako kwa mwajiri.Wapo watakao venture na kufanikiwa lakini ni wachache.Majority wataathirika
Ni kweli. Kama tu ambavyo si wote wenye vyeti wana ajira.
 
Ndiyo wametangaza hadharani sasa,assume ulikuwa umeajiriwa pale Kitengule Hospital si ajira ndiyo inakoma hapo hapo japo una maarifa yako kichwani? Nani ataendelea kukuajiri wakati huna cheti?
Inaonekana palikuwa na taratibu ambazo hazikuzaa matunda ndio maana chuo kimeamua kuja hadharani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Jamani Jamani 🥲
Kwani hizo transcripts walijichukulia wenyewe?
Nyie kuweni na huruma na maisha ya watoto wa watu
Shule ya udaktari ilivyo ngumu[emoji119]kirahisi tu umfutie mtu elimu aliyoisotea kwa miaka 6[emoji15]!
Kwani wakati wanawapa hawakuona kama hazijaidhinishwa?
Wengine wako kazini kabisa tena mwaka wa 4 sasa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Na kutengeneza kipato si lazima afanye matibabu. Anaweza kuwa hapo akisimamia wanaofanya matibabu na kwa sababu ana ujuzi hatodanganywa. Elimu yake bado inaitumia.
Ndiyo nasema si wote watafanikiwa kwa njia hiyo.80% walitegemea na wataendelea kutegemea kuajiriwa.Ujue Madaktati wengi wanapenda sana kufanya kazi na NGOs ambako kuna pesa bwerere za miradi ya Mama na mtoto,mara HIV,Maralia.Assume mtu alikuwa huko kwenye hiyo ajira hakuwahi hata kufikiria hili lingemtokea na hajawahi hata kupractize kutibu hospitalini.Mtu analazimika kurudi kwenye drawing table.
 
Unaweza kupata permanent ban na ibaki historia tu kuwa ulisoma Udaktari
sio unawezaa huyo aliekuajirii na wew leseni zinaingia mchangaa...!! hii nchi kama huna document hata uwe specialist huna jipya yanii.
 
Wengine wako kazini kabisa tena mwaka wa 4 sasa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wanawaonea watoto wa watu
Huu ni unyama wa wazi.


Kwani kosa hapo ni la nani?
Aliyetoa hiyo transcript au aliyepokea?
This is unfair..

Tena wakati wa kutoa na kupokea mnasainishana kabisaa kuonyesha hamdaiani Chochote.
 
Na kutengeneza kipato si lazima afanye matibabu. Anaweza kuwa hapo akisimamia wanaofanya matibabu na kwa sababu ana ujuzi hatodanganywa. Elimu yake bado inaitumia.
Haiwezekani Mkuu.
Huwezi kusimamia matibabu kama huna kibali cha utabibu.
Na bahati mbaya ikutokea mambo yameenda kombo, labda surgery mgonjwa kafa na ulishiriki huku huna kibali , basi jiandae kujuta.
 
Ndiyo nasema si wote watafanikiwa kwa njia hiyo.80% walitegemea na wataendelea kutegemea kuajiriwa.Ujue Madaktati wengi wanapenda sana kufanya kazi na NGOs ambako kuna pesa bwerere za miradi ya Mama na mtoto,mara HIV,Maralia.Assume mtu alikuwa huko kwenye hiyo ajira hakuwahi hata kufikiria hili lingemtokea na hajawahi hata kupractize kutibu hospitalini.Mtu analazimika kurudi kwenye drawing table.
Upo sawa. Unajua mm ninachosema, kama plan A imefeli, na watu wameamua kufunga mlango, fungua mwingine, usiende kufa. Fungua hata ng'o ya kusaidia watoto njiti utajua mbele kwa mbele potelea mbali.
 
Back
Top Bottom