Jamani Eeee; Rudisheni makaratasi ya watu mambo yaishe. Mkivutana nao hao watu, watawaharibia. Kubalini yaishe muendelee kutuwekea stethoscope kifuani na kutuchoma sindano. Ni hayo tu. 🏃♂️
Wamesema Shahada za madaktari 162 na majina yao yameoneshwa. Hao uliowataja hapo juu👆👆👆hawamo. Ww komaa na hali yako bro. usitafute wa kufa naye.Huo ni mwanzo tu, kuna PhD za kufutwa haraka iwesekanavyo.
1. Dr Abood
2. Dr musukuma
3. Dr Biteko
4. Dr. Gwajima Bishop
5. Dr Samia
6. Dr Hans M
6. Dr Jafo
Ongezeeni wengine
Chuo chochote duniani kina haki ya kukunyang’anya degree yao. Hata UDSM unaweza pokonywa wakigundua kuna makosa.Na lenyewe linatakiwa lifukuzwe kwakweli, kosa la miaka 8 iliyopita wanakuja kulitatua leo. Wanatuambia wametupa madaktari wasio na vigezo kututibu miaka 7 sasa.. Upande wa pili mtu alishasettle wanaenda kumtibulia..
Au senete itengue uprofesa wao, vihiyo hawa..
Usijidanganye mkuu. Digrii zao na hadhi yake zipo pale pale. Ni suala la muda tuu.kwahiyo jamaa hawana tofauti na la saba sasa?
mbona degree ya genta hawajaifuta? maana tuliosoma nae tunamjua
Basi hakuna madhara so madr wataendelea na kazi zao?Usijidanganye mkuu. Digrii zao na hadhi yake zipo pale pale. Ni suala la muda tuu.
Wakimkomalia huyo Prof. mahakamani atatengua kauli yake fasta. We subiri.
Madr wataendelea na kazi zao wakati suala lao linashughulikiwa. BTW Kwa mujibu wa Tangazo, haijawekwa kwamba wasitishiwe ajira zao. Hata hivyo hawajaAjiriwa na SAUT.basi hakuna madhara so madr wataendelea na kazi zao?
Mimi nilisomea huo Udokta? Usiniboe!Cc: GENTAMYCINE njoo uone uozo wa SAUT.
Chuo chochote duniani kina haki ya kukunyang’anya degree yao. Hata UDSM unaweza pokonywa wakigundua kuna makosa.
Wanasababisha kuwa kwa madaktari vishoka mitaani hivi vyuo vya uchochoroni vitazamwe upya.