GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Utaratibu wa kufuta cheti ukoje?Hata kufuta cheti Kuna utaratibu wake. Sio kufuta tu. Waende mahakamani waweke zuio kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu wa kufuta cheti ukoje?Hata kufuta cheti Kuna utaratibu wake. Sio kufuta tu. Waende mahakamani waweke zuio kwanza.
Hapana mkuu. Sio mwisho wa Udaktari wao. Hizo karatasi zinaweza kuwa zinatakiwa ili kuondoa utata fulani.
Soma charters za vyuo. Degree ni mali ya chuo husika. It can be revoked at anytime in case of justifiable abuse. Tafuta kisa cha waziri mmoja wa Ujerumani aliyevuliwa degree baada ya miaka kumi utaelewa.
Kwa nini waliwapa? Tuanzie hapo.Mimi hapa nafikiri walitaarifiwa warejeshe lakini wakakaida nafikiri hilo ndilo lililosumbua hasa mpaka wakaamu kuwaweka hadharani moja kwa moja
WalifutiwaHivi St Francis university bado wanatoa degree ya Medicine?
si ndio hapo kwa kweli mimi sijawaelewa kwa hiyo si seneti liwaidhinishe ili mambo yaendelee kama walifaulu mitihani yao?
Kama ndio mimi nawapeleka mahakamani
Umeongea la maanaMimi hapa nafikiri walitaarifiwa warejeshe lakini wakakaida nafikiri hilo ndilo lililosumbua hasa mpaka wakaamu kuwaweka hadharani moja kwa moja
Maamuzi yameshatoka. Hata wakirudisha haisaidii.Jamani Eeee; Rudisheni makaratasi ya watu mambo yaishe. Mkivutana nao hao watu, watawaharibia. Kubalini yaishe muendelee kutuwekea stethoscope kifuani na kutuchoma sindano. Ni hayo tu. 🏃♂️
Dr marehemHuo ni mwanzo tu, kuna PhD za kufutwa haraka iwesekanavyo.
1. Dr Abood
2. Dr musukuma
3. Dr Biteko
4. Dr. Gwajima Bishop
5. Dr Samia
6. Dr Hans M
6. Dr Jafo
Ongezeeni wengine
Ujue zuio huwa lachelewesha jambo tu. Ni sawa umevamia kiwanja cha mtu ukajenga akashinda kesi, ukaweka zuio, hiyo nyumba ataivunja tu ni swala la muda.Hata kufuta cheti Kuna utaratibu wake. Sio kufuta tu. Waende mahakamani waweke zuio kwanza.
basi hakuna madhara so madr wataendelea na kazi zao?
Pesa hairudi. Ni wajibu wa muhusika kutii masharti na miiko iliyowekwa.
Hilo ni mojawapo tu ya abuses. Abuses ziko nyingi mkuu.No yule waziri alifanya plagiarism kwenye research ya mtu mwingine.
Ujue zuio huwa lachelewesha jambo tu.
Ni sawa umevamia kiwanja cha mtu ukajenga akashinda kesi, ukaweka zuio, hiyo nyumba ataivunja tu ni swala la muda
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yaani wakishamaliza kukufutia hiyo degree yako ya mchongo tunakuvua na tuzo ya jukwaa la michezo maana vyote umevipata kwa ujanja ujanjaRubbish.
Rubbish.Yani wakishamaliza kukufutia hiyo degree yako ya mchongo tunakuvua na tuzo ya jukwaa la michezo maana vyote umevipata kwa ujanja ujanja
Kwahiyo waliwaambia toka mwaka 2015 halafu wakawapa wengine tena mpaka 2019.Nafkiri tunahukumu bila kujua (hata Mimi sijui) ila nahisi hawajaonewa coz tangu 2015 unaambiwa rudisha hutaki maana yake umekaidi, na hizi award za masomo hazimilikiwi na mtu zinamilikiwa na taasisi husika wakiamua kufuta wanafuta tu, kama watoto was 2012 walivyofutiwa kisha wakarekebishiwa [emoji1][emoji1]