SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

Cheti cha degree ni mali ya Chuo. Elimu uliyoipata sio mali ya chuo. Kwa shahada hizi zisizohitaji sana kutoa cheti ili ufanye kazi, vyeti unasahau vilipo au vinavyofanana.
Ni nani atakuamini kama humo kichwani una elimu ya degree kama huna cheti? Cheti ndio uthibitisho wa kwamba wew ni daktari, muhasibu au mwalimu. Kama hauna cheti hakuna atakayekubebea dhamana
 
Ni nani atakuamini kama humo kichwani una elimu ya degree kama huna cheti? Cheti ndio uthibitisho wa kwamba wew ni daktari, muhasibu au mwalimu. Kama hauna cheti hakuna atakayekubebea dhamana
Umesoma nilichoandika ukanielewa kweli? Elimu ya chuo haitumiki kwenye kuajiriwa tu. Nilisema:

"Cheti cha degree ni mali ya Chuo. Elimu uliyoipata sio mali ya chuo. Kwa shahada hizi zisizohitaji sana kutoa cheti ili ufanye kazi, vyeti unasahau vilipo au vinavyofanana."

Kama drs la saba anamiliki phamacy na anaiendesha na anajua madawa yote na mzigo autoe wapi sembuse mwenye degree ya phamacy aliyenyang'anywa cheti?
 
Haya ni mambo only a person living in Tanzania anaweza elewa; mwingine yeyote anabaki na maswali kushinda majibu.
 
Ni nani atakuamini kama humo kichwani una elimu ya degree kama huna cheti? Cheti ndio uthibitisho wa kwamba wew ni daktari, muhasibu au mwalimu. Kama hauna cheti hakuna atakayekubebea dhamana
Ni kweli kabisa. Sio kama fundi vyombo vya moto(Gereji)japokuwa sio kote; unapeleka pikipiki au gari "fundi" anafungua anaangalia halafu anakushauri kanunue kifaa fulani tuje tukusaidie kukifunga 😀 😀 😀
 
Ni kweli kabisa. Sio kama fundi vyombo vya moto(Gereji)japokuwa sio kote; unapeleka pikipiki au gari "fundi" anafungua anaangalia halafu anakushauri kanunue kifaa fulani tuje tukusaidie kukifunga 😀 😀 😀
Ni mtazamo tu. Tanzania hapa ww jua tu jinsi ya kuitumia elimu yako kutengeneza fedha pia uwe na watu wa kukuonyesha njia ya kupita. Wapo wenye vyeti halali na hizo ajira hawana.
 
Umesoma nilichoandika ukanielewa kweli? Elimu ya chuo haitumiki kwenye kuajiriwa tu. Nilisema:

"Cheti cha degree ni mali ya Chuo. Elimu uliyoipata sio mali ya chuo. Kwa shahada hizi zisizohitaji sana kutoa cheti ili ufanye kazi, vyeti unasahau vilipo au vinavyofanana."

Kama drs la saba anamiliki phamacy na anaiendesha na anajua madawa yote na mzigo autoe wapi sembuse mwenye degree ya phamacy aliyenyang'anywa cheti?
Mkuu imagine mtu ni daktari amenyang'anywa cheti sawa ana elimu ya degree ni wapi atajiajiri kwa kutumia ujuzi wake wa udaktari usio na cheti.

Kazi nyingi za proffesional hata kama utajiajiri lazima uwe na cheti. Imagine afungue dispensary yake uone kama atamaliza hata wiki kama hawajaja kumbebeba.

Hoja yako nimeielewa lkn ukweli ni kwamba bila cheti hata kujiajiri kwa kitumia ujuzi ulioupata chuoni ni IMPOSSIBLE
 
Mkuu imagine mtu ni daktari amenyang'anywa cheti sawa ana elimu ya degree ni wapi atajiajiri kwa kutumia ujuzi wake wa udaktari usio na cheti.

Kazi nyingi za proffesional hata kama utajiajiri lazima uwe na cheti. Imagine afungue dispensary yake uone kama atamaliza hata wiki kama hawajaja kumbebeba.

Hoja yako nimeielewa lkn ukweli ni kwamba bila cheti hata kujiajiri kwa kitumia ujuzi ulioupata chuoni ni IMPOSSIBLE
Mkuu ukumbuke huyu tayari amefanya kazi miaka kadhaa ana ABC. Kama mtu asiye daktari anaweza kufungua zahanati au maabara sembuse yeye? Cheti sio kinachokupa kipato, ni akili na elimu uliyonayo na ujue utapata vp mtaji.
 
Pasua kichwa - asali kurudi mtini. Chuo kimeshindwa kuwapata wahusika na kutibu hili
 
Ni mtazamo tu. Tanzania hapa ww jua tu jinsi ya kuitumia elimu yako kutengeneza fedha pia uwe na watu wa kukuonyesha njia ya kupita. Wapo wenye vyeti halali na hizo ajira hawana.
Yeah. Hilo ni kweli aisee, yani mambo ni ya kimchongo-mchongo tu.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu ukumbuke huyu tayari amefanya kazi miaka kadhaa ana ABC. Kama mtu asiye daktari anaweza kufungua zahanati au maabara sembuse yeye? Cheti sio kinachokupa kipato, ni akili na elimu uliyonayo na ujue utapata vp mtaji.
Mkuu huwez kujiajiri ktk fani ya udaktari kama huna cheti. Yani ukigundulika unatoa tiba na hauna leseni hii kesi sio ya kitoto... Hata uwe unatibia nyumbani kama huna leseni kesi yake mpaka wajukuu watakukuta uko gerezani.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu huwez kujiajiri ktk fani ya udaktari kama huna cheti. Yani ukigundulika unatoa tiba na hauna leseni hii kesi sio ya kitoto... Hata uwe unatibia nyumbani kama huna leseni kesi yake mpaka wajukuu watakukuta uko gerezani.
Boss Mm sijasema atibu. Nimesema atumie uzoefu na elimu aliyo nayo kutengeneza kipato. Huyu akifungua hata maabara humdanganyi, ana ABC zote za madawa, vipimo n.k.

Hata siku moja usiruhusu watu na vitambi vyao wakaamua hatma ya maisha yako kwa kipande cha karatasi kilichoandikwa degree. By the way elimu sahihi tunaipata mtaani kupitia experience.
 
Mkuu ukumbuke huyu tayari amefanya kazi miaka kadhaa ana ABC. Kama mtu asiye daktari anaweza kufungua zahanati au maabara sembuse yeye? Cheti sio kinachokupa kipato, ni akili na elimu uliyonayo na ujue utapata vp mtaji.
Inawezekana kufungua hiyo Zahanati huko mbali vijijini na usipate hiyo bughudha,lakini kama wapo maeneo ya mjini ni ngumu sana.Kuna watu kibao wameendesha biashara ya Pharmacy kwa muda mrefu lakini gafla tu kila kitu kilikwenda upside down.Wengine walilazimika biashara zao watumie vyeti vya Pharmacists wengine ili biashara ziendelee kusurvive.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Yeah. Hilo ni kweli aisee, yani mambo ni ya kimchongo-mchongo tu.
Angalia tu mfano sheria za nchi...

Bunge ndilo linajadili miswada ya sheria. Ila kule kuna hadi drs la saba. Ikishakuwa sheria inageuka tena kuwa kitu kigumuuu kinachohitaji mtu mwenye degree na masters sijui phd kuitafsiri.
 
Haya maish yalivyo unawez ukaamka ukajikuta umefungiw nje

Kwann wasingetoa notes kwanz
 
Inawezekana kufungua hiyo Zahanati huko mbali vijijini na usipate hiyo bughudha,lakini kama wapo maeneo ya mjini ni ngumu sana.Kuna watu kibao wameendesha biashara ya Pharmacy kwa muda mrefu lakini gafla tu kila kitu kilikwenda upside down.Wengine walilazimika biashara zao watumie vyeti vya Pharmacists wengine ili biashara ziendelee kusurvive.
Boss,DRS la saba wenye zahanati kubwa na zinazowaingizia kipato wanazifunguaje hapa mjini?
 
Angalia tu mfano sheria za nchi...

Bunge ndilo linajadili miswada ya sheria. Ila kule kuna hadi drs la saba. Ikishakuwa sheria inageuka tena kuwa kitu kigumuuu kinachohitaji mtu mwenye degree na masters sijui phd kukijadili.
Hii comment nimecheka hapo mwishoni [emoji23][emoji23],kina Msukuma na Kibajaji ukiwarudishia sheria waliyoipitisha waitafsiri wanakuwa mbumbumbu utadhani siyo wao waliopitisha.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hii comment nimecheka hapo mwishoni [emoji23][emoji23],kina Msukuma na Kibajaji ukiwarudishia sheria waliyoipitisha waitafsiri wanakuwa mbumbumbu utadhani siyo wao waliopitisha.
Hahahaha. Wanaweza kana uhusika.
 
Boss,DRS la saba wenye zahanati kubwa na zinazowaingizia kipato wanazifunguaje hapa mjini?
Wanatumia vyeti vya Madaktari wengine,same applies kwa wamiliki wa Maduka ya madawa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wanatumia vyeti vya Madaktari wengine,same applies kwa wamiliki wa Maduka ya madawa.
Umeona, Mtu ambaye hana elimu ya afya anatengeneza fedha kupitia sekta ya afya. Sembuse huyu aliye na elimu ya afya bila cheti? Ni mtazamo tu na namna unavyoamua kufungua mlango mwingine baada ya uliokuwepo kufungwa.
 
Back
Top Bottom