GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Hapana huyo anapotosha.Kwahiyo waliwaambia toka mwaka 2015 halafu wakawapa wengine tena mpaka 2019.
Hao wote(2015-2019) wameitwa mwaka huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana huyo anapotosha.Kwahiyo waliwaambia toka mwaka 2015 halafu wakawapa wengine tena mpaka 2019.
Zuio huwekwa ili hukumu isitimilizweZuio linawekwa kabla ya kesi ya msingi sio Rufaa. Mfano wako upo nje kidogo. Huwezi kuweka injunction kwenye rufaa.
Tatizo la kutoa cheti kwa makosa/kimakosa linarekebishika (ni curable) Utaratibu wa kuzingatia katika kufanya Marekebisho ni pamoja na kuretrieve hizo Transcripts. Na hilo SAUT wamelifanya kwa muda mrefu sana lakini bila mafanikio - Madokta wakekaza shingo.kwa nini waliwapa? tuanzie hapo
Waliofutiwa wataingea na wanahabariKwenye hii inshu bado kuna vitu hatuvijui.
SAUT wenyewe hawajasema ilikuwaje watu hao wakapewa Shahada bila idhini ya Seneti.
Pia hatujasikia upande wa Pili wa hao waliokuwa Madaktari 162.
Ni Jukumu la Waandishi wa Habari Makini kutufunulia tusiyoyajua.
Wewe ndiyo umenena ukweli.Msichokijua ni kwamba degree ni mali ya chuo. Vikao vyenye mamlaka vinaweza kukuvua degree yakona ukabaki na elimu ya form six tu
Mbona kwa sasa hawahitaji hizo transcript maana tayari wamefuta shahada zao.Tatizo la kutoa cheti kwa makosa/kimakosa linarekebishika (ni curable) Utaratibu wa kuzingatia katika kufanya Marekebisho ni pamoja na kuretrieve hizo Transcripts. Na hilo SAUT wamelifanya kwa muda mrefu sana lakini bila mafanikio - Madokta wakekaza shingo. Hatua ya mwisho ndo hiyo ya kuzifuta juu kwa juu ww unabaki na karatasi lisilo na thamani i.e. halitambuliwi kisheria. Endapo Hawatafikia Muafaka, bado ni hatari kubwa zaidi kwani Waajiri (Serikali au Private Sector) watafuatiliwa kuhusu Ajira kwa Mujibu wa Qualifications. Wewe Utakuwa ni mmojawapo wa waathirka - Huna qualifications za Udaktari. Hapo utakuwa mgeni wa nani???
Lakini kwa nini kote huko?? Si urudishe karatasi la watu halafu mengine mtayajenga? Hakuna lisilowezekana chini ya hili jua. Nyie ni watu wazima -fanyeni mambo yenu ki-Utu uzima. Umeshafanya kazi kwa zaidi ya 6yrs na nina amini unao uzoefu wa kutosha kazini. Hili la karatasi linakushindaje?
Unaogopa nini?
Mimi sio mhusika .Tatizo la kutoa cheti kwa makosa/kimakosa linarekebishika (ni curable) Utaratibu wa kuzingatia katika kufanya Marekebisho ni pamoja na kuretrieve hizo Transcripts. Na hilo SAUT wamelifanya kwa muda mrefu sana lakini bila mafanikio - Madokta wakekaza shingo. Hatua ya mwisho ndo hiyo ya kuzifuta juu kwa juu ww unabaki na karatasi lisilo na thamani i.e. halitambuliwi kisheria. Endapo Hawatafikia Muafaka, bado ni hatari kubwa zaidi kwani Waajiri (Serikali au Private Sector) watafuatiliwa kuhusu Ajira kwa Mujibu wa Qualifications. Wewe Utakuwa ni mmojawapo wa waathirka - Huna qualifications za Udaktari. Hapo utakuwa mgeni wa nani???
Lakini kwa nini kote huko?? Si urudishe karatasi la watu halafu mengine mtayajenga? Hakuna lisilowezekana chini ya hili jua. Nyie ni watu wazima -fanyeni mambo yenu ki-Utu uzima. Umeshafanya kazi kwa zaidi ya 6yrs na nina amini unao uzoefu wa kutosha kazini. Hili la karatasi linakushindaje?
Unaogopa nini?
Kwanini walipewa bila baraza la seneti kuidhinisha na kwanini wanaadhibiwa kwa makosa na uzembe wa watu wengine?
Chuo kikuu cha St. Augustine kimebatilisha shahada ilizotoa kwa madaktari 162 waliohitimu chuo cha udaktari cha St. Franscis kuanzia mwaka 2015-2019.
St. Augustine imechapisha tangazo kwenye gazeti la Daily news ikitoa notisi kubatilisha shahada za wanafunzi hao 162 ambao inadai wamegoma kurejesha nyaraka ya matokeo(Transcripts) ambazo walipewa bila baraza la senete la chuo kuwa na taarifa na kuziidhinisha.
Taarifa hiyo iliyosainiwa na mwenyekiti wa seneti ya chuo hicho, balozi Prof Costa Mahalu imesema maamuzi hayo yamefikiwa baada ya mkutano wa senet ilioketi mwezi wa pili.
===
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) kimewafutia shahada Madaktari 162 waliohitimu Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha St Francis (SFUCHAS) kuanzia mwaka 2015-2019.
Notisi kwa Umma iliyochapishwa katika Gazeti la Daily mnamo Jumatatu (27 Machi, 2023), ilisema wahitimu 162 walikataa kimakusudi kurudisha nakala za masomo, 'Transcript' walizopewa bila ufahamu na uidhinishaji wa seneti ya chuo kikuu licha ya kukumbushwa kwa muda mrefu.
Taarifa hiyo iliyotiwa saini na Mwenyekiti wa seneti ya SAUT Balozi Prof. Costa Mahalu inaeleza uamuzi wa kuondoa shahada hiyo umekuja baada ya kikao cha Seneti cha Chuo Kikuu kilichofanyika Februari mwaka huu.
"SAUT kupitia Seneti ya Chuo Kikuu katika Seneti yake ya 54 isiyo ya kawaida, mkutano uliofanyika tarehe 25 Februari 2023 katika chuo kikuu cha SAUT na kwa mujibu wa Kifungu cha 47(1) & (2) cha Sheria ya Vyuo Vikuu, Sheria Na. 7 ya 2005 ikisomwa pamoja na Vifungu. 6(3)(ii), 7,8 na Kanuni ya 29 (1) ya Mkataba wa SAUT GN. HAPANA. 580 ya 2020 ilifuta shahada walizopewa wahitimu 162 wa Madaktari wa Udaktari wa SFUCHAS kuanzia 2015 -2019,” inasomeka taarifa hiyo.
Source: Daily News
Suala ni kuomba kazi, kutengeneza pesa na sio huduma husika kwa jamii inayomuhitaji daktari, Ila wakigoma kwamba maslahi ni madogo inabadilika kuwa udaktari ni wito.tukiacha kila mtu afanye anavyofikiria kichwani mwake mambo hayataenda.taratibu ziko wazi fuata kuepuka usumbufu na kama unadhani degree ni kile tu kilichopo kichwani kazi kwako kama utatumia kichwa kuomba kazi.
Dah! Hapo sijui itakuwaje tena wakiingia hatua ya kuwafuatilia Waajiri wao (makazini kwao) kupitia kwa Chama cha Madaktari Tanzania. Iko hatari ya kuwadidimiza madokta 162. Inasikitisha.Mbona kwa sasa hawahitaji hizo transcript maana tayari wamefuta shahada zao.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Cheti cha degree ni mali ya Chuo. Elimu uliyoipata sio mali ya chuo. Kwa shahada hizi zisizohitaji sana kutoa cheti ili ufanye kazi, vyeti unasahau vilipo au vinavyofanana.Msichokijua ni kwamba degree ni mali ya chuo. Vikao vyenye mamlaka vinaweza kukuvua degree yakona ukabaki na elimu ya form six tu
Ndio kabisa. Inasikitisha sana sana. Yaani unaweza kufananisha na Mpishi(SAUT) anayeleta chakula mezani ambacho hakijaiva eti watu (watu Wagonjwa/waTz n.k.) wale ili wapate afya na nguvu za kulitumikia Taifa hili. Huo ni Uhujumu wa Afya na Mustakabali wa Uhai wa wananchi - Uhalifu dhidi ya Usalama wa Uhai wa Binadamu. Unamwidhinishaje (Unamkingia kifua)daktari fake aajiriwe ili akatoe Huduma kwa wananchi???Mimi sio mhusika .
Ila nimeishangaa sana hiyo move yao ki ukweli kuna kitu wanaficha ,
Si wanaweza kushtakiwa ?
Kosa lao ni kukataa au kukaidi kurudisha Transcripts.Kwanini walipewa bila baraza la seneti kuidhinisha , na kwanini wanaadhibiwa kwa makosa na uzembe wa watu wengine ?
Inavyoonekana kuna mtifuano kati yaoDah! Hapo sijui itakuwaje tena wakiingia hatua ya kuwafuatilia Waajiri wao (makazini kwao) kupitia kwa Chama cha Madaktari Tanzania. Iko hatari ya kuwadidimiza madokta 162. Inasikitisha.
Hilo linawezekana kwa sababu tangu 2015 - 2019 (4yrs) mambo yanakuja kuibuliwa 2023??
Siyo PhD ni medical doctors, ni degree.Kama shahada ya PhD mtu anaweza kufutiwa kirahisi hivyo, basi ni HALALI 100% kuinunua kama wafanyavyo baadhi ya raia wa Jamhuri ya Mgongano wa Bongolala.
NB: Don't try it at home! 🙂