Naona mdau Katia timu,[emoji16][emoji16][emoji16]THE MIDNIGHT TRAIN". Kwa tulipata neema ya kuyajua mambo ya kiroho, hili ni garimoshi la wachawi na jamii za siri za kishetani km Freemasons ambao hulitumia kwa ajili ya kwenda kuzimu kufanya mambo yao. Pia treni hili hutumika na wachawi kusafirishia Misukule.
Jr[emoji769]
Braza uko kama mimi hawa jamaa siwaelewi kabisa ila eti ni maarufu naupenda wimbo wao mmoja tu SURA YAKO MUZURI SANAAAA!!Mimi hawa jamaa sijawahi kuwaelewa. Kifupi huwa nashangaa wanapatia wapi umaarufu.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa si kwamba hawataki mtu afanye kazi. Bali wanataka mtu afanye kazi kwa kuwategea wao bali selling their souls.Kila kitu chenye mafanikio ni Freemason peke yake,kwa hiyo tuseme sasa freemason ni wachawi walioendelea,sawa.
Kama hawa ni wachawi wa kiwango cha juu na wanadai kuwa mambo yao ni siri kwanini wanachama wao wanatajwa sana,hilo nalo tuliache pia.
Ila kama wachawi hawa hadi wana treni za kusafirsha misukule wao,kwa hiyo ina maanisha uchawi wa kupaa na ungo,fyagio,kimkeka ni uchawi wa zamani ambao haujaendana na teknolojia ya uchawi wa kisasa.
Unaweza kukuta freemason ni nadharia tu ya kutishana ili watu waogope kupambana ili kupata mafanikio.
Kweli hii ndio JF sehemu pekee utakapokutana na kiumbe ambacho hakijawah kuielewa sauti sol[emoji2]Mimi hawa jamaa sijawahi kuwaelewa. Kifupi huwa nashangaa wanapatia wapi umaarufu.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
imagineππAcha zako wewe, kwahio sasa mmehamia katika uhuru wa watu kuabudu chochote anachojiskia, mnataka wawe waabudu mnachotaka ninyi
itakuwa unatatizo la kuto kuujua mziki mzuri.. kuna wasanii wachache sana tz wenye uwezo sawa na sauti soul... hatawa 3 hawafikiMimi hawa jamaa sijawahi kuwaelewa. Kifupi huwa nashangaa wanapatia wapi umaarufu.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
πππ hajui mziki mzuri huyoKweli binadamu tumetofautiana!!
Kama Sauti sol huwaelewi kuna musicians gani wa East Africa unawaelewa mkuu
mh basi mziki mzuri una maana nyingi.itakuwa unatatizo la kuto kuujua mziki mzuri.. kuna wasanii wachache sana tz wenye uwezo sawa na sauti soul... hatawa 3 hawafiki
Freemason wapo sema lawama wanazopewa nahisi nyingine sio za kweliKila kitu chenye mafanikio ni Freemason peke yake, kwa hiyo tuseme sasa freemason ni wachawi walioendelea, sawa.
Kama hawa ni wachawi wa kiwango cha juu na wanadai kuwa mambo yao ni siri kwanini wanachama wao wanatajwa sana, hilo nalo tuliache pia.
Ila kama wachawi hawa hadi wana treni za kusafirsha misukule wao,kwa hiyo ina maanisha uchawi wa kupaa na ungo, fyagio, kimkeka ni uchawi wa zamani ambao haujaendana na teknolojia ya uchawi wa kisasa.
Unaweza kukuta freemason ni nadharia tu ya kutishana ili watu waogope kupambana ili kupata mafanikio.
hao jamaa wanaimba acha kabisa
Nilishangaa π maana hao watu wanaimba aseeπππ hajui mziki mzuri huyo
mimi mwenyewe sikutegemea ukutana na comment kama ile ππNilishangaa π maana hao watu wanaimba asee