Inawezekana jamaa haishi Tanzania. Ile sauti inavyosikika vizuri, kama anafanya kazi serikalini anaofanya nao kazi rahisi kumfahamuNi muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu kiumbe asiyefahamoka anayejiita shemasi au Kigogo. Wengi walidai ni kundi la kina nape, Makamba nk na kwamba siyo mtu mmoja. Ila Sasa nadhani ameamua kujitokeza adharani kupitia sauti. Kitendo Cha yeye kuchangia mada kwenye SPACE kupitia sauti halisi kimeondoa utata uliokuwepo na Sasa ni huyu ni Mtanzania anayekerwa na namna serikali inavyoendeshwa
Ni muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu kiumbe asiyefahamoka anayejiita shemasi au Kigogo. Wengi walidai ni kundi la kina nape, Makamba nk na kwamba siyo mtu mmoja....
App inaitwa magic voice.Hizi simu za kisasa unaweza ukabadilisha sauti ili utimize lengo lako! Kwahyo inawezekana katumia teknolojia vizuri ili kutupoteza maboya
Kigogo is definitely originated MbeyaNi muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu kiumbe asiyefahamoka anayejiita shemasi au Kigogo. Wengi walidai ni kundi la kina nape, Makamba nk na kwamba siyo mtu mmoja....
Kigogo siyo mtoto mdogo kiasi Cha kujisahau ivyo
Kama Mkwawa, bac atakuwa wa Iringa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yuko makini sana na alishasema wakikaribia kumkamata watakuta mwili tu.
I agreeKigogo is definitely originated Mbeya
Ile siyo voice yake anatumia filter unazani limbukeni aongee na voice yake? Anatumia app za kubadilisha sautiNi muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu kiumbe asiyefahamoka anayejiita shemasi au Kigogo. Wengi walidai ni kundi la kina nape, Makamba nk na kwamba siyo mtu mmoja. Ila Sasa nadhani ameamua kujitokeza adharani kupitia sauti. Kitendo Cha yeye kuchangia mada kwenye SPACE kupitia sauti halisi kimeondoa utata uliokuwepo na Sasa ni huyu ni Mtanzania anayekerwa na namna serikali inavyoendeshwa.
Lakini pia ni mtu mwenye uelewa mkubwa kulingana na mchango wake kwenye hoja, ni muda Sasa wa serikali kuacha kutumia fedha kumtafuta mtu ambaye kumbe ni Mtanzania na maleengo yake yapo wazi kwamba nimkosoaji wa mambo ya ovyo.
Chakufanya nikujitahidi iwezekanavyo kuchukua positive comments zake na kupuuza negative comments zake.
Anaongea lafudhi ya Chalamila[emoji3][emoji3]
Ana tabia za MkwawaYuko makini sana na alishasema wakikaribia kumkamata watakuta mwili tu.
Kumbe shida ilikuwa nyumba??....asingebomolewa nyumba leo angekuwa MATAGA😂Aliwahi kuandika kwamba ugomvi wake na dhalimu mwendazake ná Serikali yake haramu ni kuhusu nyumba yake ya thamani kubwa iliyokumbwa na Bomoa Bomoa ya kidikteta.
Ila sidhani huyo aliyeongea ndio anaye twiti. Yule wa twita uandishi wake na huyo aliyeongea ni kariba tofauti kabisa. Sauti inaonesha ni mtu mzima lakini yule wa twita ni mid 40s tena inaonesha ni born town si huyo aliyeongea.Ni muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu kiumbe asiyefahamoka anayejiita shemasi au Kigogo. Wengi walidai ni kundi la kina nape, Makamba nk na kwamba siyo mtu mmoja. Ila Sasa nadhani ameamua kujitokeza adharani kupitia sauti. Kitendo Cha yeye kuchangia mada kwenye SPACE kupitia sauti halisi kimeondoa utata uliokuwepo na Sasa ni huyu ni Mtanzania anayekerwa na namna serikali inavyoendeshwa.
Lakini pia ni mtu mwenye uelewa mkubwa kulingana na mchango wake kwenye hoja, ni muda Sasa wa serikali kuacha kutumia fedha kumtafuta mtu ambaye kumbe ni Mtanzania na maleengo yake yapo wazi kwamba nimkosoaji wa mambo ya ovyo.
Chakufanya nikujitahidi iwezekanavyo kuchukua positive comments zake na kupuuza negative comments zake.
Anaongea lafudhi ya Chalamila[emoji3][emoji3]
Sio Mara ya kwanza, sema Mara hii ndio watu wamemrekodiPamoja na kujificha lakini nimeshangaa sana leo kigogo kusikika sauti yake.
Je polisi watafanikisha jambo lao la kumsaka kumkamata kupitia hiyo sauti?View attachment 1862816