Pongo Pongo
JF-Expert Member
- Jan 15, 2021
- 473
- 586
Hao walikuwa viewers mzee babaElfu sita kivipi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao walikuwa viewers mzee babaElfu sita kivipi mkuu
Pamoja na kujificha lakini nimeshangaa sana leo kigogo kusikika sauti yake.
Je polisi watafanikisha jambo lao la kumsaka kumkamata kupitia hiyo sauti?View attachment 1862816
0+0=?huyu ni mmoja wa kigogo kapewa nafasi kuzungumza
=0+0 hapo inabalansi0+0=?
Hapo ndo wengi tunajiuliza.Kwa mara ya kwanza? Una uhakika sauti hiyo hakucheza nayo ili isikike tofauti na sauti yake halisi!?
Sawa kaka mkubwa=0+0 hapo inabalansi
ni kutapatapa mkuuSawa kaka mkubwa
Na hii kamata kamata ni nini?
Hapo ndo wengi tunajiuliza.
Itoshe kusema madini yamekuingiani kutapatapa mkuu
waonekane wako kazini ili hali wanafanya ulivyo sema hapo juu 0+0=?
tufanye j2 kwenye mechi ya wababeItoshe kusema madini yamekuingia
Vizuri sana tukutane Ijumaa hii.
asanteni sana
Ujamuelewa aunt?tufanye j2 kwenye mechi ya wababe
Anza wewe kuweka avatar yako wazi tujue uzalendo wako basiSi ajitokeze wazi tu na aongee kwa kutumia sauti yake halisi. Mbona anatumia vioce changer apps wazi wazi kabisa.
😡😡😡😡😡😡Anza wewe kuweka avatar yako wazi tujue uzalendo wako basi
Jamani, Mmiliki wa Account ya Kigogo ni Dk. Shika, full stop.Kwa mtazamo wangu ninavyofahamu ni kuwa, Kigogo ni unanimous social media platform account, kuna utitiri wa watu (tena wengi hata hawafahamiani) wanaopewa access na moderator wa hiyo account kuandika na kuongea on behalf. Ni ngumu kumjua core owner ni nani na hata ukimjua haitakuwa na mantiki sana maana kuna unanimous wengi ndani ya akaunti moja.
Server yao ipo wapi ???Kwa mtazamo wangu ninavyofahamu ni kuwa, Kigogo ni unanimous social media platform account, kuna utitiri wa watu (tena wengi hata hawafahamiani) wanaopewa access na moderator wa hiyo account kuandika na kuongea on behalf. Ni ngumu kumjua core owner ni nani na hata ukimjua haitakuwa na mantiki sana maana kuna unanimous wengi ndani ya akaunti moja.
Sauti yake inakaribia kufanana na ya Tundu lissu,, sijui ni ndugu hawa jamaa !