Hata wakimkamata hutu maria bado sana kumjua hiyo kigogo maana maria anaweza muuliza kigogo swali (kwa humo aliko)kwenye kujibu maria akarecod na baada ya mahojiano ndio anarushia sasa hapo utajuaje kama ilikuwa live kumbe ni recoded.watahangaika vipi wakati maria aliyewaunganisha na anayemhoji yupo hapahapa bongo, wamuulize tu maria atawaonyesha alikuwa anaongea na mtu gani huyo anayetema nyongo namna hiyo? very simple. au labda kama maria anaogopwa.
Hoja ya kitoto...watahangaika vipi wakati maria aliyewaunganisha na anayemhoji yupo hapahapa bongo, wamuulize tu maria atawaonyesha alikuwa anaongea na mtu gani huyo anayetema nyongo namna hiyo? very simple. au labda kama maria anaogopwa.
😂😂😂Sio kigogo ni mkushi tu wamemwokota ajitokeze hadharani
Na kwa mtu kama yeye anayejua fika ni wanted hawezi kuwa boya kiasi cha ku release sauti yake halisi.Hizi simu za kisasa unaweza ukabadilisha sauti ili utimize lengo lako! Kwahyo inawezekana katumia teknolojia vizuri ili kutupoteza maboya
Sometimes professional wanakosea kidogo tuKigogo siyo mtoto mdogo kiasi cha kujisahau ivyo
Mbona amewahi pia kuhojiwa na BBC na ni mtu yuko Marekani, pengine hiyo itakuwa mara ya piliNi muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu kiumbe asiyefahamoka anayejiita shemasi au Kigogo. Wengi walidai ni kundi la kina nape, Makamba nk na kwamba siyo mtu mmoja. Ila Sasa nadhani ameamua kujitokeza adharani kupitia sauti. Kitendo Cha yeye kuchangia mada kwenye SPACE kupitia sauti halisi kimeondoa utata uliokuwepo na Sasa ni huyu ni Mtanzania anayekerwa na namna serikali inavyoendeshwa.
Lakini pia ni mtu mwenye uelewa mkubwa kulingana na mchango wake kwenye hoja, ni muda Sasa wa serikali kuacha kutumia fedha kumtafuta mtu ambaye kumbe ni Mtanzania na maleengo yake yapo wazi kwamba nimkosoaji wa mambo ya ovyo.
Chakufanya nikujitahidi iwezekanavyo kuchukua positive comments zake na kupuuza negative comments zake.
Anaongea lafudhi ya Chalamila😀😀
View attachment 1862453
Kibaya zaidi Watu wamefika mwisho wa uvumilivuAliwahi kuandika kwamba ugomvi wake na dhalimu mwendazake ná Serikali yake haramu ni kuhusu nyumba yake ya thamani kubwa iliyokumbwa na Bomoa Bomoa ya kidikteta.
Kibaya zaidi Watu wamefika mwisho wa uvumilivu
Kigogo anaandika kihehe na kinyakyusa sana kwenye Twitter so wengi wetu si geni hili...
Wakati wa kugawana majengo umewadia hahhhahah
Zoezi liendelee Tutaelewana tu
Niliwahi kuwa na kasimu kadogo ka kichina aiseee ilikua unaweza badilisha sauti tatu ya mwanaume mwanamke na mtotoHizi simu za kisasa unaweza ukabadilisha sauti ili utimize lengo lako! Kwahyo inawezekana katumia teknolojia vizuri ili kutupoteza maboya
Mimi nisaidiwe tu.. space ni nini? Niko Twitter Lakini space siijui.Ni muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu kiumbe asiyefahamoka anayejiita shemasi au Kigogo. Wengi walidai ni kundi la kina nape, Makamba nk na kwamba siyo mtu mmoja. Ila Sasa nadhani ameamua kujitokeza adharani kupitia sauti. Kitendo Cha yeye kuchangia mada kwenye SPACE kupitia sauti halisi kimeondoa utata uliokuwepo na Sasa ni huyu ni Mtanzania anayekerwa na namna serikali inavyoendeshwa.
Lakini pia ni mtu mwenye uelewa mkubwa kulingana na mchango wake kwenye hoja, ni muda Sasa wa serikali kuacha kutumia fedha kumtafuta mtu ambaye kumbe ni Mtanzania na maleengo yake yapo wazi kwamba nimkosoaji wa mambo ya ovyo.
Chakufanya nikujitahidi iwezekanavyo kuchukua positive comments zake na kupuuza negative comments zake.
Anaongea lafudhi ya Chalamila😀😀
View attachment 1862453
Hahahahahaha watalinganiasha na sauti za watu milioni 60Ccm watalinganisha hiyo sautii mpaka watakoma
Na twitter wanaleta update soon kwenye space... yaani mtu utakuwa una option ya ku change sauti ukiwa unataka kuongea / kujoin space, and pia Kigogo sio boya hivo atumie sauti yake, anawapoteza watu sana [emoji38]Hizi simu za kisasa unaweza ukabadilisha sauti ili utimize lengo lako! Kwahyo inawezekana katumia teknolojia vizuri ili kutupoteza maboya