"Sauti ya Watanzania" ni strategy dhaifu sana ya kudhoofisha upinzani. Fuatana nami, unganisha matukio, wajue na kaa nao mbali....

"Sauti ya Watanzania" ni strategy dhaifu sana ya kudhoofisha upinzani. Fuatana nami, unganisha matukio, wajue na kaa nao mbali....

Hatuwezi kuelewana kama tatizo la msingi kwa CHADEMA tunalitazama tofauti; hii ndiyo shida kati yetu, wewe na mimi.
Ni lipi hili specific?
Nimekwishaeleza sana, hofu yangu juu ya CHADEMA inayopelekwa kwa Samia na Mwenyekiti Mbowe; wewe hili si tatizo kwa upande wako.
CHADEMA inapelewakwaje Kwa Samia. Fafanua..

Utamkwepaje huyu maana kwa sasa ndiye Rais na mkuu wa nchi?

Kama kuna mambo tunahitaji, huwezi kumkwepa. Ni lazima ukutane na kuzungumza naye tu!
Sasa unataka nikubaliane tu na wewe kwamba sioni tatizo lolote?
Categorically, ni lipi hilo? CHADEMA kuzungumza na CCM? Ni kwa vipi ni tatizo?
Wewe umeona tatizo la akina Mwambukusi kuwa vibaraka wa CCM, sijui CCM ipi hiyo;
Ndiyo nilitahadharisha japo wewe unaiona tahadhari kwa jicho la "kuponda". Hata hivyo, it's ok, sikuhukumu...

Tatizo lao na CHADEMA linaweza kuwa corrected. Nimesema hili several times. Kwamba ishu kati Yao ni ZERO TRUST, yaani kutoaminiana...

Solution ni kujenga mazingira ya kuaminiana tu. Kuna ubaya kuwa na mtazamo huu?
lakini uaamini kwa vile baadhi yao walishaonyesha kuwa watu wasioaminika, hiyo inatosha kabisa kuwasuta na kuwakataa
Temporarily, unawasuta na kuwakemea. ZERO TRUST ikishakuwa settled, maisha yanaendelea, tunapiga kazi pamoja...
hata katika yale yanayoonekana wazi ni ya kuwapinga CCM hao hao.
Hapa ndipo ilipo shida yako!

Siyo kila anayeimba wimbo unaofanana na unaoimba wewe ni mwenzio...!
Hii ni tofauti kati yako na mimi. Mimi nitawaamini hawa kwa haya wanayoyafanya sasa, na nitawaunga mkono.
It's ok. No crime at all...
 
Ni lipi hili specific?

CHADEMA inapelewakwaje Kwa Samia. Fafanua..

Utamkwepaje huyu maana kwa sasa ndiye Rais na mkuu wa nchi?

Kama kuna mambo tunahitaji, huwezi kumkwepa. Ni lazima ukutane na kuzungumza naye tu!

Categorically, ni lipi hilo? CHADEMA kuzungumza na CCM? Ni kwa vipi ni tatizo?

Ndiyo nilitahadharisha japo wewe unaiona tahadhari kwa jicho la "kuponda". Hata hivyo, it's ok, sikuhukumu...

Tatizo lao na CHADEMA linaweza kuwa corrected. Nimesema hili several times. Kwamba ishu kati Yao ni ZERO TRUST, yaani kutoaminiana...

Solution ni kujenga mazingira ya kuaminiana tu. Kuna ubaya kuwa na mtazamo huu?

Temporarily, unawasuta na kuwakemea. ZERO TRUST ikishakuwa settled, maisha yanaendelea, tunapiga kazi pamoja...

Hapa ndipo ilipo shida yako!

Siyo kila anayeimba wimbo unaofanana na unaoimba wewe ni mwenzio...!

It's ok. No crime at all...
Tufike mahali tuseme "IMETOSHA", maanake sasa tunazungushana mlle mle tulimoanzia. Hatupiga hatua yoyote na wala hatuongezi jipya.

Nitaendelea kuwaunga mkono CHADEMA, kwa dhumuni moja tu kwa sasa; kama watasimama kidete na kuwa na lengo la dhati la kuwaondoa CCM madarakani, nje ya lengo hilo sioni tofauti yao na CCM ya Samia. Na kama bado hunielewi juu ya hili, huko ndiko roho ya Mwenyekiti Mbowe ilikolalia zaidi, na kutufanya wengine tuwe na mashaka juu yake na hizi chenga chenga nyingi za wakati huu ndani ya chama hicho.

Huwezi kuwa na "ZERO TRUST" kwa mtu au kundi, halafu useme utafanya kazi na kundi hilo. Hii ndiyo hukumu ya kifo uliyokwishatoa wewe juu ya watu hao.
Ikiwa umekwisha wanyonga, utawapata wapi tena ili ushirikiane nao?

Ngoja nijaribu tena kukufahamisha kwa kifupi juu ya CCM, ambayo sote tunaiimba humu kuwa ndiye shetani mkubwa kabisa ndani ya nchi yetu kwa sasa hivi.

CCM inazo sura nyingi inazozitumia kila mara, kutokana na nani kashika kiti cha hapo juu, cha Mwenyekiti wa chama.

CCM hii iliyopo sasa chini ya Samia, siyo CCM iliyokuwa ikiwasurubu akina Mbowe chini ya Magufuli. Kisichobadilika ndani ya chama hicho ni kuwa na nia ya kuachia madaraka, kwa kutumia mbinu zote hadi zile haramu kubaki madarakani. Tatizo hili, sisi wengine ndilo la msingi kabisa linalotufanya kukataa aina zote za CCM zinazojitokeza, bila uwepo wa mabadiliko ya msingi.
CCM ya Samia inayo mambo mengi sana inayoweza kushirikiana na CHADEMA ya Mbowe; na hapa ndipo panapoanzia Mbowe aone ni bora kufanya kazi na CCM hii, na kusahau tatizo la msingi, la kuiondoa moja kwa moja CCM madarakani.

Umekwishasema mwenyewe kwamba, upo tayari kushirikiana na mtu/kundi ambalo tayari ulikwishatangaza "ZERO TRUST", juu yake. Sasa sioni ajabu utakapogeuka na kuja hapa kutetea Mbowe kuisalimisha CHADEMA kwa CCM ya Samia, ambayo ilikwishajiapiza yenyewe, kuwa itakuwa madarakani milele!

Imetosha. Tugange mengine.
 
Huwezi kuwa na "ZERO TRUST" kwa mtu au kundi, halafu useme utafanya kazi na kundi hilo. Hii ndiyo hukumu ya kifo uliyokwishatoa wewe juu ya watu hao.
Ikiwa umekwisha wanyonga, utawapata wapi tena ili ushirikiane nao?
Ndugu Kalamu "Zero Trust" ni kama kipimamwendo ktk gari (Speed Meter). Gari kama haiko ktk mwendo, obvious Speed Meter itasoma "zero". Ikianza kitembea itaanza kusoma ikipandisha alama kulingana na kanimwendo inayotumika kuifanya gari itembee..

Ndivyo ilivyo kwetu sisi binadamu. Naweza nisikuamini leo kwa kiwango cha "zero" kabisa kwa sababu fulani fulani. Lakini kumbuka kuwa binadamu ni kiumbe kinachobadilika kila wakati kitabia na mwenendo hadi kufikia kwenye "normal".

By the way, kama watu wana mashaka nawe ndani ya ushirika au kukukaribisha ktk ushirika wao, then, it's your responsibility to show them that they don't need to doubt you..

Kwa hiyo basi, Zero Trust inaweza kupandishwa au inaweza kubaki hivyo kama anayehusika hatafanya juhudi kufanya aaminike Kwa wengine...

Waambie Sauti ya Watanzania waseme ni kwanini wanadhani wanaweza kuaminiwa na wenzao. That's all; nothing more, nothing less..

Na mashaka ya mwenzako dhidi ya kitu fulani au mtu fulani hakuna mwenye haki ya kuanza kuyahoji au kuanza kulazimisha watu wakuamini tu.

Hii haipo kwa sababu, this is absolutely natural human instinct..
Imetosha. Tugange mengine.
Haijatosha na haitatosha.

Ukijaribu kuganga la kesho, utashangaa kulikuta hilihili la leo huko mbele. Kwa hiyo maliza biashara sasa, kesho siyo yako na inaweza isiwepo kabisa..!!

Wakomavu ktk mijadala hutumia kutumia kiswahili hiki kupumzika ktk mjadala: TUKUBALIANE KATIKA KUTOKUKUBALIANA
 
Wakomavu ktk mijadala hutumia kutumia kiswahili hiki kupumzika ktk mjadala: TUKUBALIANE KATIKA KUTOKUKUBALIANA
Huko ndiko ninakokuita "Imetosha". Wewe lipe hilo jina unalotaka kuliita; haibadili kitu.
 
Mimi naamini kuwa Chadema wanawahitaji zaidi akina Mwabukuzi kuliko akina Mwabukuzi wanavyowahitaji Chadema.Kwa hiyo,Chadema hawakuwa sahihi kukataa ushirikiano na akina Mwabukuzi.
Kibri kile kile cha hicho chama kujion wao ni mAlaika na hawakosei
 
Utangulizi

Political propaganda ni taaluma kama taaluma zingine. Inapofanyika kwa umakini huleta matokeo. Lakini inapofanyika unprofessionally kama UWT wanavyofanya hapa kwa kuwatumia hawa wanaoitwa Sauti ya Watanzania kama nitakavyoonesha hapa, inamharibia kabisa badala kumjenga anayefanyiwa propaganda hiyo iwe mtu au taasisi au chama cha siasa..

Asikudanganye mtu. Amsha amsha ya , Operesheni na mikutano ya CHADEMA ya kuelemisha wananchi iliyopewa jina la +255, KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU iliyokuwa inahudhuriwa na maelfu ya wananchi kwa hiari yao iwe jua au mvua katika mikoa ya Katavi, Kigoma, Tabora, Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara imewatia hofu CCM na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na kuwafanya walale vitandani na viatu...

Ilikuwa ni lazima waje na plan kabambe ili ku - neutralize mambo. Fuatana nami ktk uchambuzi huu..

Sauti ya Watanzania na agenda ya katiba mpya na mkataba wa bandari. Are they real?
Mtu asipokuwa makini anaweza kudhani ni wapinzani kweli dhidi ya sera na mipango ya CCM na serikali yao na wanatetea hii kitu. Ni uongo mtupu, ni kinyume chake kabisa. Hawa ni nyoka hatari ndani ya vazi la wakosoaji na wapinzani wa CCM..

Wanatumia agenda zilezile zilizobebwa na CHADEMA yaani Katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, mkataba wa bandari kama ndoano tu ya kunasia samaki [CHADEMA] huku wakiuficha unyoka wao...

CHADEMA waliliona hili. Hawakufanya makosa kuwashitukia. Hongereni CHADEMA, mmejiokoa..

Igizo la Kukamatwa kwa Dr Wilbroad Slaa, Wakili Boniface Mwambukusi na Mdude Nyangali na kesi yao ya uhaini

Utadhani ni kweli. Lakini huo ulikuwa mwanzo na sehemu ya igizo la filamu yenyewe chini ya uratibu wa hovyo wa TISS ya CCM.

Kama kuna anayebisha, asubiri aone kama kuna kesi yoyote itaendelea na mtu asije akashangaa kwa baadhi ya wana Sauti ya Watanzania wakalamba teuzi mbalimbali iwapo watafanikiwa kuifanya kazi yao vyema..

Hizi kelele za mng'ako wa members wa kundi hili tunazozishuhudia sasa ni taharuki baada ya kuona mpango wao umeshindwa..

Just try to think. Kesi inaanza kama uhaini. Hakuna dhamana hapo. Ghafla ikabadilika na kuwa uchochezi. Watu wakatoka kifungoni. Waliowakamata wala hawakujali kinga ya kibalozi ya Dr Wilbroad Slaa. Anatoka ndo wanakumbuka kuiondoa hiyo kinga ili acheze hiyo filamu vyema na kwa uhuru usio na maswali..

Je, TISS wanahusika kwenye mkakati huu?

Absolutely Yes, 100%.!!

Ushahidi wa kimazingira unathibitisha hili. "Sauti ya Watanzania" ni strategy ya TISS kuzima nguvu ya CHADEMA. Iko mikakati mingi ya gizani na ya wazi. Huu ulikuwa wa wazi lakini ulioandaliwa kishamba sana na kumpa kazi hii Dr Wilbroad Slaa mzee wa miaka almost 77 labda wakidhani anaijua CHADEMA na viongozi wake. Na anadhani CHADEMA ya sasa ni sawa na ile ya mwaka 2015. Amekosea..!

Masikini baadhi ya vijana wa vyama vya siasa hususani toka CHADEMA na vyama vingine wameingizwa humo kwa kujua au bila wao kujua..

Na kwa ustadi wa hovyo sana and unceremoniously wakajaribu kuivuta CHADEMA yote ishiriki kwenye mkakati wao. Thank God, wameshindwa...

CHADEMA wakauona mtego huo, wamekataa. Sauti ya Watanzania wakang'aka kwamba wametengwa na CHADEMA. Wakarusha kila aina ya shutuma. Wakasema ooh, hawa CHADEMA wanajidai kupigania maslahi ya nchi kumbe wana maslahi yao..

Msimamo wa CHADEMA uliotolewa na Mwenyekiti wao Mh. Freeman Mbowe ni simple and very clear...

Lakini jamaa hawa wanajifanya kutoelewa kabisa. Bila shaka ni wajinga hawa. Haraka haraka wameigeuza vita hii kuwa ya Freeman Mbowe personally. Wanatumia kanuni ya "mpige mchungaji, kondoo watawanyike". Wenye akili wameliona hili na wanawashangaa..

Hebu take time na sikiliza kipande cha hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kilichowakwaza hawa jamaa hapa👇👇
View attachment 2773537

Hebu mtu makini aniambie, hatuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka hapo ina shida gani hata hawa watu wakasirike kiasi hiki?

Kuhusu Dr Wilbroad Slaa kurudi CHADEMA iwapo alishatambua na kujutia kosa lake la mwaka 2015 Mwenyekiti alishamfungulia mlango siku nyingi. Msikilize👇👇
View attachment 2773562
Lakini cha ajabu huyu Mzee anatumia hila kurudi kwa mlango wa nyuma na nia yake ni kumaliza kazi aliyoshindwa kuifanya vyema mwaka 2015...

Siku 30 alizotoa Mdude Nyangali zimeisha?

Ndiyo. Mpaka jana sauti ya Watanzania walikuwa Mwanza kuanza maandamano yasiyo na ukomo. Waliendelea kujifunua na kueleweka kirahisi sana...

Kilichotokea Mwanza

Hatimaye siku 30 walizompa ndugu yao Samia Suluhu Hassan serikali zinaisha. Sauti ya Watanzania wakaenda Mwanza kuanza maandamano yasiyo na ukomo...

Huko wanatoa kichekesho cha ajabu sana. Eti walikuwa wanazuiwa hata kununua maji ya kunywa madukani au kwenye vioski, kula na kulala hotelini na kunyimwa kumbi za kufanyia mikutano yao...!

Hivi mtu mwenye akili sawasawa anaweza kuamini ujinga huu? Tangu lini maandamano yasiyo na ukomo yakafanyikia ukumbini au hotelini? Na Mwanza yote ikose wanaharakati wenye mrengo na itikadi yao wenye nyumba na hoteli za kula chakula na kuwalaza?

Inashangaza sana kuwa, Sauti ya Watanzania wana Wakili Msomi Boniface Mwambukusi. Ikawaje anakubali kuwa denied haki yake na za wenzake za msingi kama kula chakula, kunywa maji, kulala hotelini na yet asichukue hatua stahiki Kwa wanaomtendea hayo?

Majibu ya maswali hayo ni rahisi tu kuwa, huu ni mchezo uliopangwa vyema na serikali hiihii Kwa kuwatumia watu hawa kuelekea kwenye lengo kuu yaani kumwangamiza Freeman Mbowe na CHADEMA....!

Poor strategy, poor planning and poor preparations. Kwa sababu hizi naweza kuelewa ni kwanini Sauti ya Watanzania mlikuwa mnawahitaji CHADEMA. Kosa lenu ni kufanya mambo kishamba na kwa pupa...!

Baada ya kila kitu kuonekana kushindikana, vijana wa Dr Wilbroad Slaa sasa wanajirekodi na kurusha shutuma hizi kwa CHADEMA akilengwa zaidi Mwenyekiti.

Msikilize huyu 👇👇👇kisha pima kama makalamiko yake yanaleta mantiki yoyote..
View attachment 2773528
Yaani mwanzo mwisho ni kujichanganya tu...

Ni kana kwamba CHADEMA ndio waliwazuilia kumbi za mikutano yao kule Mwanza, au barabara za maandamano yao au hoteli za kula chakula na kulala na maduka au vioski vya kununua maji ya kunywa..

CHADEMA chini ya ya u - Wenyekiti wa mwamba Freeman Mbowe mna akili sana, mmekomaa. Mmeweza kuukwepa mtego huu..!??

Aisee hongereni
Nawe sauti yako ni ya kufanya nini wadanganyika
 
Mpaka sasa Sauti ya Watanzania ndiyo watetezi wa kweli wa madhila yanayowapata Watanganyika, hao wengine wako busy na kusuguana kuhusu Uchaguzi wa 2024 na 2025 maana nikiangalia mwenendo wa harakati hizi Tayari Sauti ya Watanzania imeisha weka point moja kubwa Mkononi ya ya kuzuia umilikishwaji wa rasilimali za nchi, uhuni uliotaka kupitishwa Bungeni, Tatizo sisi Watanganyika bado hatujajitambua na hatujui tunataka nini Issue ya Bandari chadema wanaisemea midomoni tu lakini Mioyoni wapo na CCM. Huo wimbo wa Katiba mpya sasahivi umeisha chuja Ulianza toka vyama vingi vilipoanzishwa, zikifika nyakati karibu na uchaguzi ndiyo wanashtua ili kuwavuruga Watanganyika wawe busy na malumbano ya Katiba Ili wao wafanye mambo yao kiulaini kwa kisingizio cha maridhianao.
 
Utangulizi

Political propaganda ni taaluma kama taaluma zingine. Inapofanyika kwa umakini huleta matokeo. Lakini inapofanyika unprofessionally kama UWT wanavyofanya hapa kwa kuwatumia hawa wanaoitwa Sauti ya Watanzania kama nitakavyoonesha hapa, inamharibia kabisa badala kumjenga anayefanyiwa propaganda hiyo iwe mtu au taasisi au chama cha siasa..

Asikudanganye mtu. Amsha amsha ya , Operesheni na mikutano ya CHADEMA ya kuelemisha wananchi iliyopewa jina la +255, KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU iliyokuwa inahudhuriwa na maelfu ya wananchi kwa hiari yao iwe jua au mvua katika mikoa ya Katavi, Kigoma, Tabora, Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara imewatia hofu CCM na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na kuwafanya walale vitandani na viatu...

Ilikuwa ni lazima waje na plan kabambe ili ku - neutralize mambo. Fuatana nami ktk uchambuzi huu..

Sauti ya Watanzania na agenda ya katiba mpya na mkataba wa bandari. Are they real?
Mtu asipokuwa makini anaweza kudhani ni wapinzani kweli dhidi ya sera na mipango ya CCM na serikali yao na wanatetea hii kitu. Ni uongo mtupu, ni kinyume chake kabisa. Hawa ni nyoka hatari ndani ya vazi la wakosoaji na wapinzani wa CCM..

Wanatumia agenda zilezile zilizobebwa na CHADEMA yaani Katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, mkataba wa bandari kama ndoano tu ya kunasia samaki [CHADEMA] huku wakiuficha unyoka wao...

CHADEMA waliliona hili. Hawakufanya makosa kuwashitukia. Hongereni CHADEMA, mmejiokoa..

Igizo la Kukamatwa kwa Dr Wilbroad Slaa, Wakili Boniface Mwambukusi na Mdude Nyangali na kesi yao ya uhaini

Utadhani ni kweli. Lakini huo ulikuwa mwanzo na sehemu ya igizo la filamu yenyewe chini ya uratibu wa hovyo wa TISS ya CCM.

Kama kuna anayebisha, asubiri aone kama kuna kesi yoyote itaendelea na mtu asije akashangaa kwa baadhi ya wana Sauti ya Watanzania wakalamba teuzi mbalimbali iwapo watafanikiwa kuifanya kazi yao vyema..

Hizi kelele za mng'ako wa members wa kundi hili tunazozishuhudia sasa ni taharuki baada ya kuona mpango wao umeshindwa..

Just try to think. Kesi inaanza kama uhaini. Hakuna dhamana hapo. Ghafla ikabadilika na kuwa uchochezi. Watu wakatoka kifungoni. Waliowakamata wala hawakujali kinga ya kibalozi ya Dr Wilbroad Slaa. Anatoka ndo wanakumbuka kuiondoa hiyo kinga ili acheze hiyo filamu vyema na kwa uhuru usio na maswali..

Je, TISS wanahusika kwenye mkakati huu?

Absolutely Yes, 100%.!!

Ushahidi wa kimazingira unathibitisha hili. "Sauti ya Watanzania" ni strategy ya TISS kuzima nguvu ya CHADEMA. Iko mikakati mingi ya gizani na ya wazi. Huu ulikuwa wa wazi lakini ulioandaliwa kishamba sana na kumpa kazi hii Dr Wilbroad Slaa mzee wa miaka almost 77 labda wakidhani anaijua CHADEMA na viongozi wake. Na anadhani CHADEMA ya sasa ni sawa na ile ya mwaka 2015. Amekosea..!

Masikini baadhi ya vijana wa vyama vya siasa hususani toka CHADEMA na vyama vingine wameingizwa humo kwa kujua au bila wao kujua..

Na kwa ustadi wa hovyo sana and unceremoniously wakajaribu kuivuta CHADEMA yote ishiriki kwenye mkakati wao. Thank God, wameshindwa...

CHADEMA wakauona mtego huo, wamekataa. Sauti ya Watanzania wakang'aka kwamba wametengwa na CHADEMA. Wakarusha kila aina ya shutuma. Wakasema ooh, hawa CHADEMA wanajidai kupigania maslahi ya nchi kumbe wana maslahi yao..

Msimamo wa CHADEMA uliotolewa na Mwenyekiti wao Mh. Freeman Mbowe ni simple and very clear...

Lakini jamaa hawa wanajifanya kutoelewa kabisa. Bila shaka ni wajinga hawa. Haraka haraka wameigeuza vita hii kuwa ya Freeman Mbowe personally. Wanatumia kanuni ya "mpige mchungaji, kondoo watawanyike". Wenye akili wameliona hili na wanawashangaa..

Hebu take time na sikiliza kipande cha hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kilichowakwaza hawa jamaa hapa👇👇
View attachment 2773537

Hebu mtu makini aniambie, hatuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka hapo ina shida gani hata hawa watu wakasirike kiasi hiki?

Kuhusu Dr Wilbroad Slaa kurudi CHADEMA iwapo alishatambua na kujutia kosa lake la mwaka 2015 Mwenyekiti alishamfungulia mlango siku nyingi. Msikilize👇👇
View attachment 2773562
Lakini cha ajabu huyu Mzee anatumia hila kurudi kwa mlango wa nyuma na nia yake ni kumaliza kazi aliyoshindwa kuifanya vyema mwaka 2015...

Siku 30 alizotoa Mdude Nyangali zimeisha?

Ndiyo. Mpaka jana sauti ya Watanzania walikuwa Mwanza kuanza maandamano yasiyo na ukomo. Waliendelea kujifunua na kueleweka kirahisi sana...

Kilichotokea Mwanza

Hatimaye siku 30 walizompa ndugu yao Samia Suluhu Hassan serikali zinaisha. Sauti ya Watanzania wakaenda Mwanza kuanza maandamano yasiyo na ukomo...

Huko wanatoa kichekesho cha ajabu sana. Eti walikuwa wanazuiwa hata kununua maji ya kunywa madukani au kwenye vioski, kula na kulala hotelini na kunyimwa kumbi za kufanyia mikutano yao...!

Hivi mtu mwenye akili sawasawa anaweza kuamini ujinga huu? Tangu lini maandamano yasiyo na ukomo yakafanyikia ukumbini au hotelini? Na Mwanza yote ikose wanaharakati wenye mrengo na itikadi yao wenye nyumba na hoteli za kula chakula na kuwalaza?

Inashangaza sana kuwa, Sauti ya Watanzania wana Wakili Msomi Boniface Mwambukusi. Ikawaje anakubali kuwa denied haki yake na za wenzake za msingi kama kula chakula, kunywa maji, kulala hotelini na yet asichukue hatua stahiki Kwa wanaomtendea hayo?

Majibu ya maswali hayo ni rahisi tu kuwa, huu ni mchezo uliopangwa vyema na serikali hiihii Kwa kuwatumia watu hawa kuelekea kwenye lengo kuu yaani kumwangamiza Freeman Mbowe na CHADEMA....!

Poor strategy, poor planning and poor preparations. Kwa sababu hizi naweza kuelewa ni kwanini Sauti ya Watanzania mlikuwa mnawahitaji CHADEMA. Kosa lenu ni kufanya mambo kishamba na kwa pupa...!

Baada ya kila kitu kuonekana kushindikana, vijana wa Dr Wilbroad Slaa sasa wanajirekodi na kurusha shutuma hizi kwa CHADEMA akilengwa zaidi Mwenyekiti.

Msikilize huyu 👇👇👇kisha pima kama makalamiko yake yanaleta mantiki yoyote..
View attachment 2773528
Yaani mwanzo mwisho ni kujichanganya tu...

Ni kana kwamba CHADEMA ndio waliwazuilia kumbi za mikutano yao kule Mwanza, au barabara za maandamano yao au hoteli za kula chakula na kulala na maduka au vioski vya kununua maji ya kunywa..

CHADEMA chini ya ya u - Wenyekiti wa mwamba Freeman Mbowe mna akili sana, mmekomaa. Mmeweza kuukwepa mtego huu..!??

Aisee hongereni
Nimesoma
Nitaendelea kusoma kwa kutulia zaidi
 
Back
Top Bottom