Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhimu Ndugai siyo Spika tena mengine poaKuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Covid 19Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Mialiko hii mmmh, tuwe tunaipima kwanzaJob inabidi amtafute aliemwalika kwny kile Kikundi cha Wagogo hadi akajikuta ameingia kwny 18 za Wahuni…juzi kati pia naskia alisema anakerwa sana na kukatika katika kwa Umeme sasa wahuni wa sukuma Gang wakashirikiana na wahuni wengine kumalizana nae
Hatari snHuyo mwanamke ni adui wa Mama. Tumfahamu tafadhali.
Huenda hakualikwa bali alikuwa mmoja wa waandaaji wa tukio... kumbuka hata yeye ni mgogo.Job inabidi amtafute aliemwalika kwny kile Kikundi cha Wagogo hadi akajikuta ameingia kwny 18 za Wahuni…juzi kati pia naskia alisema anakerwa sana na kukatika katika kwa Umeme sasa wahuni wa sukuma Gang wakashirikiana na wahuni wengine kumalizana nae
Wale ni wabunge 19 wa Ndugayi almaarufu kama covid 19Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Awaulize wagogo wenzieWagogo wenzie mana lilikuwa kutaniko la wagogo.
Mdee na Bulaya hao
Video hiyo...huyo aliyosema 'not at all' ni nani. !?? Huyu si wa kuachwa..
Huenda hakualikwa bali alikuwa mmoja wa waandaaji wa tukio... kumbuka hata yeye ni mgogo.