Sauti za kike zilizokuwa zikimback up Ndugai wakati akiongelea Mikopo ni kina nani!?

Sauti za kike zilizokuwa zikimback up Ndugai wakati akiongelea Mikopo ni kina nani!?

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa. Kuna mmama mmoja akasema 'not at all.

Hao nao hawana budi kuondoka naeee.

Haki tena. Mwenye ile video aweke.
 


Video hiyo...huyo aliyosema 'not at all' ni nani. !?? Huyu si wa kuachwa..
 
Job inabidi amtafute aliemwalika kwny kile Kikundi cha Wagogo hadi akajikuta ameingia kwny 18 za Wahuni…juzi kati pia naskia alisema anakerwa sana na kukatika katika kwa Umeme sasa wahuni wa sukuma Gang wakashirikiana na wahuni wengine kumalizana nae
 
Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....

Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Mhimu Ndugai siyo Spika tena mengine poa
 
Job inabidi amtafute aliemwalika kwny kile Kikundi cha Wagogo hadi akajikuta ameingia kwny 18 za Wahuni…juzi kati pia naskia alisema anakerwa sana na kukatika katika kwa Umeme sasa wahuni wa sukuma Gang wakashirikiana na wahuni wengine kumalizana nae
Mialiko hii mmmh, tuwe tunaipima kwanza
 
Job inabidi amtafute aliemwalika kwny kile Kikundi cha Wagogo hadi akajikuta ameingia kwny 18 za Wahuni…juzi kati pia naskia alisema anakerwa sana na kukatika katika kwa Umeme sasa wahuni wa sukuma Gang wakashirikiana na wahuni wengine kumalizana nae
Huenda hakualikwa bali alikuwa mmoja wa waandaaji wa tukio... kumbuka hata yeye ni mgogo.
 
Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....

Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Wale ni wabunge 19 wa Ndugayi almaarufu kama covid 19
 
Back
Top Bottom