Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kuna maswali mengine ya kipuuzi sana . Ameuliza mko wa ngapi ni sawa mpo upande gani hajauliza halafu hayo maswali alitakiwa awe anauliza mbele ya waokoaji hakuna muda wa kupoteza yeye anauza sura kwenye kameraMbona mnatufokea hvo..
Tunataka kujua hali ipo vipi
Ameeen Mungu yupo pamoja nao mkuu..Mungu aendelee kuwapa ujasiri wa kuvumilia,niliwahi kukwama kwenye lift dakika kama 5 nilihisi kuishiwa nguvu na kutaka kupoteza fahamu,japo kulikuwa na hewa,sasa kukaa zaidi ya masaa 10,nawaza sipati majibu,ni neema ya Mungu tu inahitajika...
Mimi sisemi kila kitu ni perfect lakini kumbuka vijana waliotokea na kufanya kazi haraka ni vijana wametoka hapo hapo wengine ni jengo la pili tu na tumesikia kuna watu nusu saa tu wakaanza kutolewa ila Kariakoo ilajaa watu lakini watazamaji wengi na kuna walijotolea. Vyombo vya kuokoa vinakuwa viko sehemu na mkuu wa uokozi ndio anatoa mwongozo akijuwa nini kimetokea na nini kinatakiwa hii ni kawaida kabisa. Kuna ajali zinatokea barabarani watu ndio wanakuwa wa kwanza katika zoezi kabla ya vyombo vya usalama.Malalamiko kwa kiasi kikubwa ni response time na speed yenyewe ya uokoaji.
Kuwa competent ni pamoja na kutumia akili kwa haraka na kuact kwa haraka.
Nimemsikiliza kijana aliyeingia ndani kabisa na kutoka na watu kadhaa ( huyu ni raia WA kawaida sana jasiri), tulitegemea speed hiihii kwa vyombo vya uokozi.
Tutumie pia majanga kama haya kama eneo la kujifunza na ikitokea tena basi kunakuwa na changes, kila yatokeapo maafa tunaona mapungufu yaleyale, competency + kukosa vifaa.
Unauliza watu hali zao wakati wamefukiwa na kifusi hizo ni akili au matope? Hiyo haina tofauti na dhihaka wewe unaona ni swali la kawaida kwasababu hauko ndani ya kifusi, ila ni swali la kijinga ni sawa mtu yupo kwenye meli alafu wewe upo kwenye boti inayozama alafu anakuuliza hali yako ikoje hapoLucha acha kufokea wenzako....
Pale anauliza ili apate hali halisi ya kule chini mkuu
Mmmmh 🥺🥺🥺 basi mkuu inatosha...
Nimekuelewa sana lucha...Unauliza watu hali zao wakati wamefukiwa na kifusi hizo ni akili au matope? Hiyo haina tofauti na dhihaka wewe unaona ni swali la kawaida kwasababu hauko ndani ya kifusi, ila ni swali la kijinga ni sawa mtu yupo kwenye meli alafu wewe upo kwenye boti inayozama alafu anakuuliza hali yako ikoje hapo
Ni swali la kipumbavuUnauliza watu hali zao wakati wamefukiwa na kifusi hizo ni akili au matope? Hiyo haina tofauti na dhihaka wewe unaona ni swali la kawaida kwasababu hauko ndani ya kifusi, ila ni swali la kijinga ni sawa mtu yupo kwenye meli alafu wewe upo kwenye boti inayozama alafu anakuuliza hali yako ikoje hapo
Hiko hivyo dunia nzima, kwasababu wataaluma hawapo kila sehemu, ila kwasababu ajali inapotokea hupewa taarifa, na wanlipwa pesa za umma ni wajibu wao ku establish plan nzuri ili kuokoa na kupunguza vifo. Sikusema wananchi wasiokoe, nilitaka tuone value of our money, tunawalipa ili wajenge mbweni au watufanyie kazi?Wananchi wameokoa watu wengi kuliko hao unaowaita Wataalamu.
Sio poa, washkaji wanapambania uhai waoHiyo moment isikie kwa mwenzako
🥺🥺
Kununuaa exkavetaaa aaaah,ila kutoka sifaa kuwapa taifa star milioni 700 tunaweza
Mara hii ishasahaulikaAyo TV imeongea kwa njia ya simu na mtu aliyepo chini na wenzake tangu asubuhi Novemba 16,2024 ghorofa lilipoporomoka ambapo amesema yeye na wenzie 10 wapo hai lakini hali zao ni mbaya.
Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa
"Tupo chini tupo 10 toka asubuhi, tuko upande wa Don Touch, piga hata kwa Mama Samia, tuko toka jana,"
Kwa upande mwingine amesikika Mwanamke mmoja akisema wana hali mbaya.
View attachment 3154074