Sauti za Wananchi: Rais Samia amebadilisha maisha yetu

Sauti za Wananchi: Rais Samia amebadilisha maisha yetu

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea na utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025 ambayo imeelekeza juu ya usambazaji wa huduma za kijamii nchini. Awamu ya sita inahakikisha maendeleo hayabaki tu mijini, serikali inawafikia wananchi kote nchini kwa kujenga barabara na madaraja, miradi ya maji, elimu na Afya.

2025 mapema kazi inaisha asubuhi kwa kua wananchi wanaona kazi zinazoendelea mtaani, Rais Samia anabadilisha maisha ya wananchi.

 
Kilichobadilika, labda kutuondolea hofu tu iliyokuwepo wakati wa JPM! Kwa maisha, yamezidi kuwa magumu!
 
Acha ujinga wewe! Maisha mtaani yamekuwa magumu kupitiliza. Bidhaa za chakula zimepanda bei maradufu, huku hela nayo ikiwa haina kabisa thamani.

Labda mumsifie huyo mama kwa kuwageuza kuwa chawa wake. Nje ya hapo, hakuna kitu.
 
Screenshot_20230110-220251_WhatsApp.jpg
 
Kama taifa bado tuna safari ndefu Sana.
 
Acha ujinga wewe! Maisha mtaani yamekuwa magumu kupitiliza. Bidhaa za chakula zimepanda bei maradufu, huku hela nayo ikiwa haina kabisa thamani.

Labda mumsifie huyo mama kwa kuwageuza kuwa chawa wake. Nje ya hapo, hakuna kitu.

maharage kilo moja elf 5

mfungo wa ramadhan wa this time hali itakuwa mbaya zaidi
 
maharage kilo moja elf 5

mfungo wa ramadhan wa this time hali itakuwa mbaya zaidi
Vitu ni kweli vimepanda bei lakini na mzunguko wa ela umekua mkubwa ukilinganisha na hapo awali mtaani kulikua hakuna ela kabisa
 
Vitu ni kweli vimepanda bei lakini na mzunguko wa ela umekua mkubwa ukilinganisha na hapo awali mtaani kulikua hakuna ela kabisa

Kulikuwa hakuna ela na maharage kilo ilikuwa elf moja Mia tano

Leo kuna hela na kilo moja elf tano

Hapo ww unaona kuna nafuu gani? Si vile vile tu
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea na utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025 ambayo imeelekeza juu ya usambazaji wa huduma za kijamii nchini. Awamu ya sita inahakikisha maendeleo hayabaki tu mijini, serikali inawafikia wananchi kote nchini kwa kujenga barabara na madaraja, miradi ya maji, elimu na Afya.

2025 mapema kazi inaisha asubuhi kwa kua wananchi wanaona kazi zinazoendelea mtaani, Rais Samia anabadilisha maisha ya wananchi.

View attachment 2486211
Amefanikiwa pia kuhakikisha kila bidhaa inapanda bei kila mwezi hasa chakula, apongezwe kwa hilo pia
 
Acha ujinga wewe! Maisha mtaani yamekuwa magumu kupitiliza. Bidhaa za chakula zimepanda bei maradufu, huku hela nayo ikiwa haina kabisa thamani.

Labda mumsifie huyo mama kwa kuwageuza kuwa chawa wake. Nje ya hapo, hakuna kitu.
Chakula kinapopanda bei hii inamaanisha maisha ya mkulima yanaenda kuwa mazuri.
 
Back
Top Bottom