Kwani ni nani aliyetoa TUHUMA hapa Kati yetu? niende k/koo au wizara ya fedha kufanya nini ili hali wewe unao USHAHIDI wa unayoyasema hapa?
Weka USHAHIDI hapa mkuu,acha kupiga sarakasi za visingizio!!
Sasa ulichoandika hapa ndio kinaonyesha trillions alizofisadi JPM zilitoka wapi?
Vile vile sasa hivi wanaogopa nini kufanya hayo yote waliyotaka kufanya wakagomewa ikizingatiwa JPM hayupo?
Endelea ndugu yangu kujiaminisha uongo nisikuharibie ulevi wako!
Wanalinda legacy mtalia sana mambo ya dhalimu yakifukuliwa.
Hizo pesa zilikopwa kutoka nchi gani au taasisi ipi?
Sina haja. Wafia legacy labda kwanza mtuambie ile Trillion 1.5 aliyoiba na CAG Assad akaiona alienda kuificha wapi? Au Rwanda?Weka mchanganuo hapa wa kiasi alichokopa na alichopora toka kwa kila mtu,then tuambie ni kiasi gani vile vile kilitumika kwenye miradi yote,ukishafanya hivyo itakuwa rahisi sana kwa kila mtu kujua kama jamaa kweli alikuwa FISADI
Vyote vya shujaa mwishowe vitawekwa hadharani ni swala la muda tuKwanini msifanye mpango CAG ama serikali ya mama wakaweka wazi kila mkopo aliochukua JPM,then waweke wazi vile vile kiasi ambacho kilitumika kwa kila mradi kwenye miradi yote chini ya uongozi wake?
Ili tuongee tukiwa na data kamili badala ya HISIA kama unavyofanya sasa!!
Sina haja. Wafia legacy labda kwanza mtuambie ile Trillion 1.5 aliyoiba na CAG Assad akaiona alienda kuificha wapi? Au Rwanda?
Assad kazi yake kukagua mahesabu au kutunza hela za wizi? Yule jamaa alikuwa pepo mchafu kabisaHuna haja?..basi sawa yamekwisha!
Unaweza kutuambia hiyo 1.5 trillion aliyoiba na CAG Assad ilitokea wapi kwa kuzingatia maelezo ya mada hii?
Nb:kwanini asiulizwe Assad maana yeye bado yupo hai?
Kwanini msifanye mpango CAG ama serikali ya mama wakaweka wazi kila mkopo aliochukua JPM,then waweke wazi vile vile kiasi ambacho kilitumika kwa kila mradi kwenye miradi yote chini ya uongozi wake?
Ili tuongee tukiwa na data kamili badala ya HISIA kama unavyofanya sasa!!
Ondoa upopoma wako hapa.Huyo Kibwengo alikuwa GWIJI la MIKOPO mikubwa ya KIBIASHARA.
Zitto Kabwe: Miaka minne ya Magufuli deni la Taifa limeongezeka sawa na miaka 10 ya Kikwete
Unajua kabla ya ku comment ungemuuliza Zitto atoe uchambuzi wa matumizi ya hiyo mikopo iliyochukuliwa wakati wa kikwete na ya wakati wa Magufuli. Ndiyo maana tuna akili tumepewa na Mungu tuzitumie kama kuna mpotoshaji akitokea tuweze kuzitumia. Mfano Tanzania ilikua vituo vya afya 77 tangu...www.jamiiforums.com
Maana kwa Wazungu alikuwa hapati pesa.
Sasa hivi Rais Samia anafanya kazi ya kuchukua mikopo nafuu kutoka kwa Wazungu ili alipe Mikopo ya KIJUHA aliyokopa Magu.
Vyote vya shujaa mwishowe vitawekwa hadharani ni swala la muda tu
Wewe ni mpumbavu ambae hustaili hata kujibiwa.Wewe JUHA hivi unajua kusoma vizuri?
Hivi unajua Magu ndani ya Miaka 6 tu ya utawala wake, LILIKOPA pesa nyingi kinoma kuliko pesa zote ambazo Kikwete alikopa miaka yote 10 ya UTAWALA Wake?
Assad kazi yake kukagua mahesabu au kutunza hela za wizi? Yule jamaa alikuwa pepo mchafu kabisa
Akili zako zilikufa na Jiwe ama? Mkaguzi wa serikali amesema hela imeibiwa, mpaka leo hakuna maelezo imeenda wapi! Wewe unaniuliza ilikotoka wakati unajua watanzania kila siku tunalipa kodi kupitia VAT na TRA. Au unataka kusema hizo kodi jiwe alizitoa kwa mama yake nyumbani?Kwahiyo hapo ndio umeonyesha hizo 1.5 trillion alizoiba na Assad zilitokea wapi?
Hawanauwezo wakijibu sawali kamahilo.Nataka kwanza waniambie hizo trillions alizofisadi zilitokea wapi ili tuje kwenye swali lako,bado nasubiri majibu yao hapa
Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78
Magufuli katutenda deni la taifa, trilioni 78 Samia msalabani Jamhuri October 26, 2021 Na Deodatus Balile Kazi hii ya uandishi wa habari moja ya majukumu yake ni kuanika ukweli minong’ono inapotawala katika jamii. Kwa sasa kuna minong’ono mingi. Minong’ono imeanza baada ya Rais Samia Suluhu...www.jamiiforums.com
Mnahasira mbaka akili zinakosa sehemu ya kukaa vichwani mwenu alafu mnashindwa kujiuliza, CAG alisema tr 1.5 zilitumika bila kuidhinishwa, sasa ndio muulizeni zilitumika wapi? Ndioutaambiwa ziliwajengea mamazenu hospital kijijini kwenu.Akili zako zilikufa na Jiwe ama? Mkaguzi wa serikali amesema hela imeibiwa, mpaka leo hakuna maelezo imeenda wapi! Wewe unaniuliza ilikotoka wakati unajua watanzania kila siku tunalipa kodi kupitia VAT na TRA. Au unataka kusema hizo kodi jiwe alizitoa kwa mama yake nyumbani?
Hawanauwezo wakijibu sawali kamahilo.
Haya majitu sijui akili yamezikalia""
Magu alifanya miradi yakutisha na mambomengi ya maendeleo wakayaona kwamacho wakakosa hoja wakaja na ujinga kwamba eti hawataki maendeleo ya vitu kama bwawa la nyerere, ubungo flyover, tazara barabara kama ya kimara mail moja.
Daraja la busisi,mastendi ya bus, ndege naviwanja vyake namengine mengi hayaelezeki wakasema hawataki hayoyote wanataka maendeleo ya watu sio vitu.
Vitu walivyo viona na wakasema hawavitaki hawasemi viligharimu sh, ngapi' saizi wanasema hakufanya chochote alikuwa muizitu, hawa watu ni matope kabisa.