Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

Mkuu acha blah blah,tuonyeshe ni jinsi ganI alipiga hizo trillions kutoka kwenye hiyo miradi
Wewe msukuma mpumbavu, usichoshe watu

IMG_20220417_191913.jpg
 
Swali la kitoto sana hili,
Hata mtoto wangu wa darasa la saba angeweza kujibu,
Mapato yapo sana tu nchi hii,tatizo yanaliwa,sasa fikiria kama pale hazina watu wakipiga milioni 500 kwa siku mbili kama posho,utashangaa vipi na kuuliza Eti pesa inatoka wapi!!nchi hii inapesa nyingi kutoka kwenye vyanzo vyake cilicyokuwepo miaka 10 iliyopita,tatizo pesa nyingi zinaliwa na majizi kama Mkapa,Kikwete,JPM,unapouliza pesa ilitoka wapi,ilitoka hazina,kwanini halificha manunuzi ya Ndege?bei ya Ndege iliwekwa Cha juu,tender za ujenzi wa airport ya chato aliipa kampuni ya shemeji yake,sasa utakuwa kichaa ukisema huu sio upigaji


Sasa mkuu si ndio uweke wazi hivyo vyanzo ambavyo vimetumika kwenye upigaji,achana na mambo ya kwenda KIHISIA zaidi,

weka data hapa tuone kwenye ndege imepigwa kiasi hiki,Airport chato kumepigwa kiasi hiki nk nk !!

Airport ya chato tenda kupewa shemeji yake,hiyo kwako wewe inadhihirisha UPIGAJI?
 
Wewe kutokuwa MPUMBAVU ndio kumekufanya ugundue kwamba mimi ni msukuma pasipo kunijua hata chembe?


Nani anaonyesha kuwa na UPUMBAVU Kati yangu mimi na wewe hapa kwa aina hii ya majibu unayotoa hapa?
Magufuli alishakufa na hakuwa msukuma.

Jifunze KUZOEA, mbwiga wewe.
 
Kiongozi Sasa usiniangushe. Mimi nakuona kama mtu mtulivu lakini nimegundua hauko makini. Hapa umefikia conclusion prematurely na kuyadhani ni majungu. Nilichokwambia ni kuwa VYOTE vitawekwa hadharani. Ingekuwa rahisi kwako kugundua kuwa hivi ulivyovisikia ni sehemu tu ya ufisadi husika labda uwe ujui maana ya vyote.

Mahaba yanakusumbua sana. Nikudokeze tu hatuteseki maana Sasa nchi iko huru tena na amani tele. Tunashughulika na wenye kuteseka na mahaba



Nimekuuliza maswali hapo juu kulingana na majibu yako ya awali,

Sijafanya conclusion yoyote prematurely zaidi ya kukwambia kama hizo data za UFISADI wa JPM wewe huna kwa sasa basi piga kimya mpaka utakapokuwa nazo

Sasa unaniambia sijui hivi nilivyosikia ni sehemu tu ya UFISADI husika, nakwambia weka supporting evidence ya madai/tuhuma zako hapa unakimbilia kusema mahaba yananisumbua na blah blah nyingine kibao!!

Nikikwambia majungu tu ndio yanakusumbua juu ya JPM utakataa?
 
Geukia na deni la taifa tangu 2016 hadi 2021, afu urudi hapa.
 
Wewe JUHA hivi unajua kusoma vizuri?

Hivi unajua Magu ndani ya Miaka 6 tu ya utawala wake, LILIKOPA pesa nyingi kinoma kuliko pesa zote ambazo Kikwete alikopa miaka yote 10 ya UTAWALA Wake?
Naungana nawewe,huenda ndio sababu inayomfanya Magufuli awe raisi wa kwanza ambae kwa kipindi kifupi mnoo amefanya mambo makubwa ambayo yaliwashinda viongozi wa tatu waliotawala nchi kwa miaka 30 mfululizo.
 
Naungana nawewe,huenda ndio sababu inayomfanya Magufuli awe raisi wa kwanza ambae kwa kipindi kifupi mnoo amefanya mambo makubwa ambayo yaliwashinda viongozi wa tatu waliotawala nchi kwa miaka 30 mfululizo.
Mambo yapi hayo?
 
Huyo Kibwengo alikuwa GWIJI la MIKOPO mikubwa ya KIBIASHARA.


Maana kwa Wazungu alikuwa hapati pesa.

Sasa hivi Rais Samia anafanya kazi ya kuchukua mikopo nafuu kutoka kwa Wazungu ili alipe Mikopo ya KIJUHA aliyokopa Magu.

Wafanyabiashara gani while kipindi chake ndio biashara zilikufa kabisa ?
 
Wafanyabiashara gani while kipindi chake ndio biashara zilikufa kabisa ?
Una AKILI timamu?

Rudia kusoma tena nilicho andika.

Hivi kwanini wafuasi wa marehemu Magufuli Ni watu ambao dishi limeyumba sana.
 
Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,

yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania

Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai

Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao

Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta

Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya

Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban

Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu

Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa

Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini

Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali

Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Kununua ndege kwa cash

Kununua wapinzani

Kuhamishia serikali Dodoma

Kujenga bwawa la Nyerere

Kujenga SGR

Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)

Kujenga airport ya chato (international?)

Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)

Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)

Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Ujambazi wa Bureau de change, akaunti za matajiri na mawe ambayo sasa yanaibukia Dubai. Commission za yote uliyoyaorodhesha alikuwa anakula. Kivuko alichokihamishia jeshini. Zitto amesema kama vipi mwende mkazikwe naye Chato.
 
Back
Top Bottom