Sawa mmeichoka CCM, je mbadala wao mna waamini!?

Sawa mmeichoka CCM, je mbadala wao mna waamini!?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Daily na waambia hapa Muda ni mwalimu mzuri sana mpaka tunafika 2030 Mungu atuweke ndo watu wataanza kushangaa kwamba pamoja na baadhi ya CCM wenye misimamo mikali huwa hata Chama kiteteleke vipi hawakimbii kwingine ? Ni kwasababu huko kwingine ni mzaha hakuna nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania !

Inafika hatua mtu anaona kutoka Upinzani kuhamia CCM ni ame improve Cv kuliko kutoka CCM Kwenda Upinzani!

Najiuliza maswali mengi juu ya Upinzani wetu wa Tanzania juu ya nia yao ya kweli kuitoa CCM madarakani siioni ila nachoona ndani Upinzani wanaenda asilimia kubwa waliokosa Ulaji ndani ya System wanapata platform ya kusemea, ila wakiitwa kuweka mambo sawa na Masalahi juu unashangaa wanakaa Kimya

Nimejipa time frame ya Miaka nane toka sasa uwenda CCM ndo utakuwa imeimarika zaidi ya ilivyo sasa kutokana na aina ya mchezo wanaoucheza kisiasa huku wapinzani wakisubiri wapangiwe jinsi gani wafanye siasa na washindani wao!

Vijana na watoto wadogo wenye tecno wanashindwa kutambua kwamba wako hapa kutetea vibaraka wa serikali

Mpinzani wa kweli nchii ni watu wawili ila top layer ya vyama vyote vya Upinzani ni vibaraka wa CCM na system inawatambua sana,

Wa awamu ya sita aliingia bila kujia baadhi ya misingi akaambiwa hii haiendi hivyo iache Hivi,

Wachunguzeni Viongozi WENU wa vyama vya Upinzani na mnaowasikiliza mtagundua ikiwa too late !!!!

Mungu ni Mkubwa na wengine mwaka tunaouanza hawataumaliza washatwangana ngumi…..

NB Upinzani unatumika Kama platform ya kusemea uonekane ili serikali ikupe kitengo na unyanaze

Britanicca
 
Wapinzani Tanzania? unazungumzia kina Dr Slaa?au Lowasa au Sumaye au Membe?....manake hapo ndo kulikuwa na wapinzani halafu wote ni CCM now.....the more things change the more they remain the same
 
Wapinzani Tanzania? unazungumzia kina Dr Slaa?au Lowasa au Sumaye au Membe?....manake hapo ndo kulikuwa na wapinzani halafu wote ni CCM now.....the more things change the more they remain the same
Here you are
 
Tutume wataalamu Kenya wakajifunze jinsi KANU ilivyosambaratika. Ila ujue Kenya kuna wasome wenye maono.
 
Asante sana Endelea kuamini Upinzani Uko imara
Mkuu tatizo tulilonalo watanzania wengi ni fixed mindset including you ( sory if I'm so harsh). Ukitaka kubadilika hutakiwi kusubiri the perfect time bali you have to make the time perfect to start out something, hivi unahisi hatuna chama kinachoweza kushika dola na mambo yakaenda sawa? Ndio maana wanasiasa wanatudharau sana ( mimi sio shabiki wa chama chochote cha siasa) ni kwasababu tu hatuamini katika sifa moja bora kabisa ya kiongozi i.e UJASIRI.
Endapo wananchi tukiamka wote kwa pamoja tukamuweka kiongozi wa ccm madarakani then akizingua next term tunachagua chama kingine hivyohivyo mpaka watakapotambua kuwa wapiga kura ni muhimu katika taifa kuliko masilahi yao binafsi, naamini hakuna chama cha siasa kitadhubutu kuleta drama pindi kitakaposhika madaraka. Ni hayo tu.
 
TANU iliyozaa CCM ilikuwa kachama kadogo lakini nchi ilienda hadi ikazailiwa hili dude; chama dola mwaka 1977. Sasa kuna haja gani ya kutafuta chama mdadala wa CCM? Chama chochote cha siasa kitachopata ridhaa ya wananchi kipewe uhuru wa kuunda Serikali. Siyo ujanjaujanja wa kuiba kuiba kura kwa kisingizio cha 'bado hatujaona mbadala wa CCM'.
 
20221228_130652.jpg
 
Huu utopolo ulioandika hapa ungekuwa na maana pale ambapo tungekuwa na tume huru ya uchaguzi kama jamaa zetu wa Kenya. Pale ambapo mwenyekiti wa ccm hatakuwa na uwezo wa kuiba uchaguzi kwa kutumia majeshi na wakurugenzi uchwara wa uchaguzi. Hivi kuna tofauti kati ya Samia na Sophia Simba!?

Bila hivyo ni sawa na kututukana waTz kuwa hakuna tunachoweza fanya.
 
Huu utopolo ulioandika hapa ungekuwa na maana pale ambapo tungekuwa na tume huru ya uchaguzi kama jamaa zetu wa Kenya. Pale ambapo mwenyekiti wa ccm hatakuwa na uwezo wa kuiba uchaguzi kwa kutumia majeshi na wakurugenzi uchwara wa uchaguzi. Hivi kuna tofauti kati ya Samia na Sophia Simba!?

Bila hivyo ni sawa na kututukana waTz kuwa hakuna tunachoweza fanya.
We Mpuuzi nani kakwambia tume HURU utapewa na CCM ? Ndo kazi moja wapo ya vyama vya siasa vya Upinzani ! Huoni mpaka hapo una prove nachoongea “ think at your mundane level boy
 
Daily na waambia hapa Muda ni mwalimu mzuri sana mpaka tunafika 2030 Mungu atuweke ndo watu wataanza kushangaa kwamba pamoja na baadhi ya CCM wenye misimamo mikali huwa hata Chama kiteteleke vipi hawakimbii kwingine ? Ni kwasababu huko kwingine ni mzaha hakuna nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania !

Inafika hatua mtu anaona kutoka Upinzani kuhamia CCM ni ame improve Cv kuliko kutoka CCM Kwenda Upinzani!

Najiuliza maswali mengi juu ya Upinzani wetu wa Tanzania juu ya nia yao ya kweli kuitoa CCM madarakani siioni ila nachoona ndani Upinzani wanaenda asilimia kubwa waliokosa Ulaji ndani ya System wanapata platform ya kusemea, ila wakiitwa kuweka mambo sawa na Masalahi juu unashangaa wanakaa Kimya

Nimejipa time frame ya Miaka nane toka sasa uwenda CCM ndo utakuwa imeimarika zaidi ya ilivyo sasa kutokana na aina ya mchezo wanaoucheza kisiasa huku wapinzani wakisubiri wapangiwe jinsi gani wafanye siasa na washindani wao!

Vijana na watoto wadogo wenye tecno wanashindwa kutambua kwamba wako hapa kutetea vibaraka wa serikali

Mpinzani wa kweli nchii ni watu wawili ila top layer ya vyama vyote vya Upinzani ni vibaraka wa CCM na system inawatambua sana,

Wa awamu ya sita aliingia bila kujia baadhi ya misingi akaambiwa hii haiendi hivyo iache Hivi,

Wachunguzeni Viongozi WENU wa vyama vya Upinzani na mnaowasikiliza mtagundua ikiwa too late !!!!

Mungu ni Mkubwa na wengine mwaka tunaouanza hawataumaliza washatwangana ngumi…..

NB Upinzani unatumika Kama platform ya kusemea uonekane ili serikali ikupe kitengo na unyanaze

Britanicca
Mtazamo wako ni mzuri.sasa unashauri wafanye nini ili wachukue nchi.wafanyaje yaani.
 
Wewe jamaa ni mpumbavu, mambo huja na kuondoka hivyo CCM wataondoka hata Kama unaona hakuna alternative. Na kukukumbusha ni kuwa hakuna chama ambacho ni mbadala ya kingine.
Mbowe ameharibu Sana upinzani
 
Kinachokusumbua mleta mada ni 'uwoga wa mabadiliko".

Watu Kama ninyi huwa hata ktkmaisha binafsi hamtoboi, kwasabb mnaogopa sana kuthubutu.

Nina hakika mleta mada huna hata biashara ya kukuingizia buku 2 kwa siku.
 
Asante sana Endelea kuamini Upinzani Uko imara

Mzee huwa unaongea utoto gani, au ndio hayo mambo ya mtu akizeeka hugeuka kuwa mtoto? Nimesoma post yako namba yaani yaani ni utoto mtupu umeongea.
 
Daily na waambia hapa Muda ni mwalimu mzuri sana mpaka tunafika 2030 Mungu atuweke ndo watu wataanza kushangaa kwamba pamoja na baadhi ya CCM wenye misimamo mikali huwa hata Chama kiteteleke vipi hawakimbii kwingine ? Ni kwasababu huko kwingine ni mzaha hakuna nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania !

Inafika hatua mtu anaona kutoka Upinzani kuhamia CCM ni ame improve Cv kuliko kutoka CCM Kwenda Upinzani!

Najiuliza maswali mengi juu ya Upinzani wetu wa Tanzania juu ya nia yao ya kweli kuitoa CCM madarakani siioni ila nachoona ndani Upinzani wanaenda asilimia kubwa waliokosa Ulaji ndani ya System wanapata platform ya kusemea, ila wakiitwa kuweka mambo sawa na Masalahi juu unashangaa wanakaa Kimya

Nimejipa time frame ya Miaka nane toka sasa uwenda CCM ndo utakuwa imeimarika zaidi ya ilivyo sasa kutokana na aina ya mchezo wanaoucheza kisiasa huku wapinzani wakisubiri wapangiwe jinsi gani wafanye siasa na washindani wao!

Vijana na watoto wadogo wenye tecno wanashindwa kutambua kwamba wako hapa kutetea vibaraka wa serikali

Mpinzani wa kweli nchii ni watu wawili ila top layer ya vyama vyote vya Upinzani ni vibaraka wa CCM na system inawatambua sana,

Wa awamu ya sita aliingia bila kujia baadhi ya misingi akaambiwa hii haiendi hivyo iache Hivi,

Wachunguzeni Viongozi WENU wa vyama vya Upinzani na mnaowasikiliza mtagundua ikiwa too late !!!!

Mungu ni Mkubwa na wengine mwaka tunaouanza hawataumaliza washatwangana ngumi…..

NB Upinzani unatumika Kama platform ya kusemea uonekane ili serikali ikupe kitengo na unyanaze

Britanicca
Kuna Chuo cha kusomea Kutawala? Huko West Africa mbona Daily ni Mapinduzi na nchi inasonga mbele?

CCM walisoma chuo kipi cha kutawala na sisi tumasome
 
Daily na waambia hapa Muda ni mwalimu mzuri sana mpaka tunafika 2030 Mungu atuweke ndo watu wataanza kushangaa kwamba pamoja na baadhi ya CCM wenye misimamo mikali huwa hata Chama kiteteleke vipi hawakimbii kwingine ? Ni kwasababu huko kwingine ni mzaha hakuna nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania !

Inafika hatua mtu anaona kutoka Upinzani kuhamia CCM ni ame improve Cv kuliko kutoka CCM Kwenda Upinzani!

Najiuliza maswali mengi juu ya Upinzani wetu wa Tanzania juu ya nia yao ya kweli kuitoa CCM madarakani siioni ila nachoona ndani Upinzani wanaenda asilimia kubwa waliokosa Ulaji ndani ya System wanapata platform ya kusemea, ila wakiitwa kuweka mambo sawa na Masalahi juu unashangaa wanakaa Kimya

Nimejipa time frame ya Miaka nane toka sasa uwenda CCM ndo utakuwa imeimarika zaidi ya ilivyo sasa kutokana na aina ya mchezo wanaoucheza kisiasa huku wapinzani wakisubiri wapangiwe jinsi gani wafanye siasa na washindani wao!

Vijana na watoto wadogo wenye tecno wanashindwa kutambua kwamba wako hapa kutetea vibaraka wa serikali

Mpinzani wa kweli nchii ni watu wawili ila top layer ya vyama vyote vya Upinzani ni vibaraka wa CCM na system inawatambua sana,

Wa awamu ya sita aliingia bila kujia baadhi ya misingi akaambiwa hii haiendi hivyo iache Hivi,

Wachunguzeni Viongozi WENU wa vyama vya Upinzani na mnaowasikiliza mtagundua ikiwa too late !!!!

Mungu ni Mkubwa na wengine mwaka tunaouanza hawataumaliza washatwangana ngumi…..

NB Upinzani unatumika Kama platform ya kusemea uonekane ili serikali ikupe kitengo na unyanaze

Britanicca
Wachache watakuelewa,
Ila uko sahihi two hundred percent
 
Back
Top Bottom