Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Unadhani kweli Mungu aliogopa kwamba wangejenga mara wa kufika huko aliko? Siku hizi tuna spacecraft zinaenda mpaka outer space lakini hawajamkuta Mungu huko!
Kwa mujibu wa maandiko huenda wangetimiza kusudi lao kama Mungu alivyosema mwenyew mkuu
 
Wakuu Bwana ni mwema!!

Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.

Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.

Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.

Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.

Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.

Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.

Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.

Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi

Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?

imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?

Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?

Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?

Karibuni.
Na tutafika kwa umri gani?
Uliofia duniani?
 
YESU ni muweza wa Yote kwake lugha ni si tabu hata chembe namane yeye hunena neno na jambo linakuwa Yohana 1:1 kila lugha na kabila na Taifa vyote vipo ndani ya uweza wake
Wakuu Bwana ni mwema!!

Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.

Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.

Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.

Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.

Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.

Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.

Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.

Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi

Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?

imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?

Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?

Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?

Karibuni.
kwa
 
Back
Top Bottom