Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Huna hoja zaidi ya ubishi tu
Thibitisha dina hoja.

Pangua nilichoandoka kimantiki na kuonesha sina hoja.

Usiandike tu "huna hoja".

Kochaa yeyote mvivu anaweza kuandika "huna hoja".

Thibitisha unachodai.

Usiweke shutuma ya kizembe tu "huna hoja".

Hapo wewe ndiye utakuwa huna hoja kwenye shutuma yako kwamba sina hoja.
 
Thibitisha dina hoja.

Pangua nilichoandoka kimantiki na kuonesha sina hoja.

Usiandike tu "huna hoja".

Kochaa yeyote mvivu anaweza kuandika "huna hoja".

Thibitisha unachodai.

Usiweke shutuma ya kizembe tu "huna hoja".

Hapo wewe ndiye utakuwa huna hoja kwenye shutuma yako kwamba sina hoja.
Mungu ni muweza wa yote
 
Imani ni bayana ya mambo yatarajiwayo
Kwanini ujisumbue sasa kuamini kitu ukitarajiacho ambacho huna uhakika nacho...kwanini usiamini hata JUA tu unalo liona...utarajie kwenda mbingu ambako hakuna alie enda akarudi...!


Swala la Imani tumepigwa na kitu kizito sana...Bora tunge Baki na Imani zetu tu za mizimu...!​
 
Kwani ujisumbue sasa kuamini kitu akitarajiacho ambacho huna uhakika nacho...kwani usiamini hata JUA tu unalo liona...utarajie kwenda mbingu ambako hakuna alie enda akarudi...!


Swala la Imani tumepigwa na kitu kizito sana...Bora tunge Baki na Imani zetu tu za mizimu...!​
Kwahiyo wewe kuwa yesu aliye hai unaona tulipigwa? Kuabudu mizimu hujakatazwa mkuu wee abdu tu
 
Mkuu hizi hadithi ungetakiwa uziache ulivyo maliza tu darasa la saba, sasa wewe umezibeba hadi ukubwani 😁😁😁,hizo ni kwa ajili ya mafundisho ya watoto kuwakuza katika tabia njema kwa hadithi za namna hiyo na za kina juma na uledi .
Wacha dharau na kiburi cha uzima. Twende kanisani tukamuabudu Yesu katika Roho na kweli.
 
Mungu ni muweza wa yote
Thibitisha.

Mungu anaweza kuumba jiwe zito kiasi asiweze kulibeba?

Akiweza kuliumba, atakuwa hawezi yote, kwa sababu atakuwa hawezi kulibeba hilo jiwe.

Akiwa hawezi kuliumba hilo jiwe, atakuwa hawezi yote, kwa sababu atakuwa hawezi kuliumba hilo jiwe.

Mungu muweza yote ni wa hadithi tu, hayupo.
 
Tutajua huko huko tukishafika. Hata tulipokuja hapa duniani, hatukujua kama tutakutana na mazombi haya!
 
Thibitisha.

Mungu anaweza kuumba jiwe zito kiasi asiweze kulibeba?

Akiweza kuliumba, atakuwa hawezi yote, kwa sababu atakuwa hawezi kulibeba hilo jiwe.

Akiwa hawezi kuliumba hilo jiwe, atakuwa hawezi yote, kwa sababu atakuwa hawezi kuliumba hilo jiwe.

Mungu muweza yote ni wa hadithi tu, hayupo.
Mzee wa Schrodinger, huu mfano ni wa zamani sana. Hujautunga wala kuuanzisha wewe.

Unaweza kumtoa msukuma.na kumpeleka akaogeshe na kuvifuta mavi vibibi na vibabu vya kizungu USA ila huwezi kuutoa usukuma wake ndani yake. Bado u nshamba sana wewe jamaa.
 
Wakuu Bwana ni mwema!!

Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.

Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.

Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.

Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.

Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.

Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.

Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.

Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi

Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?

imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?

Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?

Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?

Karibuni.
Unadhani kweli Mungu aliogopa kwamba wangejenga mara wa kufika huko aliko? Siku hizi tuna spacecraft zinaenda mpaka outer space lakini hawajamkuta Mungu huko!
 
Back
Top Bottom