Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini katika bibliaKuna uwezekano husomi biblia. Mbona yameyandikwa kwenye biblia mkuu
SawaSiamini katika biblia
Ya kwenda mbinguniList ipi
Ya kwenda mbinguni
Kwahiyo lugha ipi kumbe itatumikaKuna watu wanakariri kiarabu kwa kudanganywa eti Mungu ni Mwarabu na lugha pekee anayojua ni kiarabu😀😀
Kwa mjibu wa maandiko mbingu ni halisiMbingu hakuna bwana tusidanganyane
Wee jamaa pitu Hivi.Hapana,
Unaweza kuona mirage kitu hakipo.
Weka hoja yenye logical consistency na isiyo na contradictions.
Huko ukisha fika hakuna muda wa lugha ya kuongea sijui Nini,au vile,ni unasomewa na ulipuliwa fireeee
Daaah hayo ni maoni Yako mkuu.Funny kwamba pepo mbili tofauti zimeahidiwa toka kwa mungu wa Abraham mmoja.
Lakini ukifuatilia, Mohammad kwa kuwa alikuwa warlord, alikuwa anawapromise wapiganaji wake mambo ya kuvutia kwa binadamu wa kiume. Vitu kama vile wanawake na pombe.
Similar thing walikuwa wanafanya. wakishateka mji, wakaua wanaume wao, wanagawana mali, wake na mabinti zao.
Nadhani aliona kwa mbinguni aongeze idadi ya wanawake na hali ya ubikra.
Zikinuka kwani nyama ya binadamu ikichomwa inanukia?Miaka elfu mara elfu, alafu kwambali tutakua tunasikia harufu ya nyama za watenda zambi zikinukia
Umeelewa hoja?Wee jamaa pitu Hivi.
MhuuuuZikinuka kwani nyama ya binadamu ikichomwa inanukia?
Atuelezee vizuri huyu.Zikinuka kwani nyama ya binadamu ikichomwa inanukia?
Haya ni kiarabu. Umefurahi Sasa?Kwahiyo lugha ipi kumbe itatumika
Mbona kama Shari?Haya ni kiarabu. Umefurahi Sasa?