Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #181
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza Sasa kufanya mazoezi ya lugha ya kule.Itapendeza nikipaona na si hadithi za kufikirika
Kama ni hii lugha isiyoeleweka wanayoongea walokole tayari najua kuongea tazizo sijui maana yakeAnza Sasa kufanya mazoezi ya lugha ya kule.
Wagogo wote wasikomae sana na lugha zao za ajabu ajabu.Kwahiyo unawaambiaje wagogo?
Kiranga huwa ana matatizo yake internal hvo isikupe shida kaka ahaahahaHuyu jamaa pamoja na kumwaga sifa kedekede za peponi Bado haamini sijui aambiwe Kwa lugha Gani huyu
Kule hakuna kuzinu wote tunakua tumewowa mkuuPia akitka kuzini machine inatoweka haioni panakuwa flat😂😂
Daaah hatari sanaWagogo wote wasikomae sana na lugha zao za ajabu ajabu.
Waanze kujifunza kiarabu
Aisee nimekumbuka lile biti la ule wimbo mpaka nimesikitika, basata waifungie ile studio tafadhali.Kule aliko pelekwa tupatupa akakuta wanaimba na kusujudu akasema huku hakuna asee akapita kushoto
Mbinguni nikuzuri wewe, tutakuwa tunacheza na simba na chui wala hawata tudhuru.Loh hayo yatakuwa mateso
Kumbe ilifungiwa?Aisee nimekumbuka lile biti la ule wimbo mpaka nimesikitika, basata waifungie ile studio tafadhali.
Hapana nimependekeza ifungiweK
Kumbe ilifungiwa?
Kuna shida Gani kwenye hiyo nyimboHapana nimependekeza ifungiwe
Funny kwamba pepo mbili tofauti zimeahidiwa toka kwa mungu wa Abraham mmoja.Nasikia kuwa mbali na mabikra 72 wasiomaliza ubikra, pia kuna mito ya pombe inayotiririka pombe milele na milele. Yaani ni kunywa tu non stop ukilewa unakwenda kuparamia mabikra wako...
Huku kwa Wagalatia unaambiwa 24/7 ni kusifu na kuabudu tu. Hizi pepo mbili yaani hazilingani kabisa utafikiri ni za Mungu wawili tofauti wakati anapaswa kuwa ni mmoja yule yule 🤔🤔🤔
Kuna uwezekano husomi biblia. Mbona yameyandikwa kwenye biblia mkuuMgari ya kwenda wapi? Yatakuwa yanatumia petrol au damu ya yesu?
Huko ukisha fika hakuna muda wa lugha ya kuongea sijui Nini,au vile,ni unasomewa na ulipuliwa fireeeeWakuu Bwana ni mwema!!
Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.
Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi
Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?
imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?
Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?
Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?
Karibuni.
Wakuu Bwana ni mwema!!
Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.
Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi
Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?
imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?
Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?
Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?
Karibuni.
[/QUO
Lugha ya malaika