Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Ndio maana sijatoa darasa zima hapa kwa kuogopa watu kama nyie kuja kutokea mkuu...

Ila kiufupi huko peponi nisemale ni raha ya aina yake
Nasikia kuwa mbali na mabikra 72 wasiomaliza ubikra, pia kuna mito ya pombe inayotiririka pombe milele na milele. Yaani ni kunywa tu non stop ukilewa unakwenda kuparamia mabikra wako...

Huku kwa Wagalatia unaambiwa 24/7 ni kusifu na kuabudu tu. Hizi pepo mbili yaani hazilingani kabisa utafikiri ni za Mungu wawili tofauti wakati anapaswa kuwa ni mmoja yule yule 🤔🤔🤔
 
Kwanza jifunze kutumia h, utofautishe huamini na uamini.

Inaonekana una tatizo la kujua kusoma na kuandika Kiswahili.

Sasa wewe mtu hujui kusoma na kuandika Kiswahili tutaelewana vipi hapa?
Sawa sawa nimekuhelewa mkuu
 
Back
Top Bottom