Sawa tunaokukosoa unatuita 'Mbwa Mwitu'. Je, sisi ndiyo tulikufanya uuache Ukuu wako wa Mkoa ili 'ukagaragazwe' Kigamboni?

Sawa tunaokukosoa unatuita 'Mbwa Mwitu'. Je, sisi ndiyo tulikufanya uuache Ukuu wako wa Mkoa ili 'ukagaragazwe' Kigamboni?

Akikujibu nitag mkuu 🤣🤣
Ulichotakiwa Kufanya ni Kukabidhi tu Ofisi ya Watu kisha ukae usubirie tu Huruma ya Roho Mtakatifu au 'Ushirikina' wako ili 'Nyota' yako iendelee Kung'aa 'Uteuliwe' tena lakini siyo kuanza 'Kujimwambafai' kwa mambo ya 'Kipumbavu' ambayo Watangulizi wako walishafanya Makubwa zaidi yako na wala hawakutaka Sifa za 'Kipuuzi' hizi kama zako.

Kuhusu Kutuita Sisi 'tunaokukosoa' na 'tusiokupenda' tena wakiongozwa na Mimi mwana CCM na mwana Simba SC Mwenzako kuwa ni ' Mbwa Mwitu ' tunaopenda ' Kubwekabweka ' hovyo wala hujakosea. Ni huku huku 'Kubwekabweka' Kwetu ndiyo kumekufanya hata juhudi zako za ' Kutia Nia 'Jimbo la Kigamboni' zifeli ' jambo ulihonga mno Pesa zako za Dhuluma.

Na ulivyo na Matatizo makubwa ya Akili 'Kichwani' umepewa nafasi fupi tu ya Kushukuru na Kumwacha 'Mteuliwaji' mpya aanze 'Majukumu' yake ya Kutuhudumia wana 'Mzizima' Wewe unaanza Kutoa Kauli zako za Kutia 'Huruma' na kama vile unamwambia Rais JPM kuwa 'Akuteue' tena wakati tunajua 'alikuonya' kuwa usiende Kigamboni na Wewe ukamuanisha kuwa Utashinda tu.

'Mbwa Mwitu' Mwandamizi Mimi GENTAMYCINE namalizia hapa kwa Kukuambia ya kwamba Kila lenye Mwanzo huwa lina Mwisho na kama ulidhani labda pamoja na ' Ushirikina ' wako pamoja na Kuwatumia Viongozi wa Dini wakubwa wa Kikristo na Kiislamu hadi kuwapa Vijana wa Mtandaoni Pesa ili JPM akukumbuke tena basi umechelewa na sasa pambana tu na Hali yako. Huna tena chako ndani ya Moyo wa na Roho ya JPM wala katika Seriakali yake na wala ndani ya CCM.

Umeshakwisha Kimoja
 
WEKENI AKIBA YA MANENO NDUGU ZANGU. JPM HAWEZI KAMWE KUMTUPA MAKONDA.
MTASHUHUDIA HAYA MANENO YANGU 2021. NGAYO!
 
Mkuu wale watu wa kamati ya roho mbaya uliwapa mbuzi wao?Maana utabiri wako ulinifurahisha sana pale kigamboni.
 
WEKENI AKIBA YA MANENO NDUGU ZANGU. JPM HAWEZI KAMWE KUMTUPA MAKONDA.
MTASHUHUDIA HAYA MANENO YANGU 2021. NGAYO!
Kwa nini unafikili hivyo? Why Bashite? Wakati kuna watanzania Mil 50! What is so special with him? Nikiwa natafakari haya maswali najiuliza pia kwa nini Bashite ni mtanzania pekee ambaye yeye na familia yake( mke na mtoto wa kupandikiza) hawatakiwi kukanyaga ardhi ya Marekani.
 
Hivi hakusoma alama za nyakati kuwa hapendwi na alikuwa anatumika nguvu za jeshi la polisi kulazimisha Mambo yake. Ashanuka huyo Kama ipo sehemu akaoge Tena kwa mganga moya
 
Ulichotakiwa Kufanya ni Kukabidhi tu Ofisi ya Watu kisha ukae usubirie tu Huruma ya Roho Mtakatifu au 'Ushirikina' wako ili 'Nyota' yako iendelee Kung'aa 'Uteuliwe' tena lakini siyo kuanza 'Kujimwambafai' kwa mambo ya 'Kipumbavu' ambayo Watangulizi wako walishafanya Makubwa zaidi yako na wala hawakutaka Sifa za 'Kipuuzi' hizi kama zako.

Kuhusu Kutuita Sisi 'tunaokukosoa' na 'tusiokupenda' tena wakiongozwa na Mimi mwana CCM na mwana Simba SC Mwenzako kuwa ni ' Mbwa Mwitu ' tunaopenda ' Kubwekabweka ' hovyo wala hujakosea. Ni huku huku 'Kubwekabweka' Kwetu ndiyo kumekufanya hata juhudi zako za ' Kutia Nia 'Jimbo la Kigamboni' zifeli ' jambo ulihonga mno Pesa zako za Dhuluma.

Na ulivyo na Matatizo makubwa ya Akili 'Kichwani' umepewa nafasi fupi tu ya Kushukuru na Kumwacha 'Mteuliwaji' mpya aanze 'Majukumu' yake ya Kutuhudumia wana 'Mzizima' Wewe unaanza Kutoa Kauli zako za Kutia 'Huruma' na kama vile unamwambia Rais JPM kuwa 'Akuteue' tena wakati tunajua 'alikuonya' kuwa usiende Kigamboni na Wewe ukamuanisha kuwa Utashinda tu.

'Mbwa Mwitu' Mwandamizi Mimi GENTAMYCINE namalizia hapa kwa Kukuambia ya kwamba Kila lenye Mwanzo huwa lina Mwisho na kama ulidhani labda pamoja na ' Ushirikina ' wako pamoja na Kuwatumia Viongozi wa Dini wakubwa wa Kikristo na Kiislamu hadi kuwapa Vijana wa Mtandaoni Pesa ili JPM akukumbuke tena basi umechelewa na sasa pambana tu na Hali yako. Huna tena chako ndani ya Moyo wa na Roho ya JPM wala katika Seriakali yake na wala ndani ya CCM.

Umeshakwisha Kimoja
Mwandamizi GENTAMYCINE, lakini DAB alisema yeye ndie mtu anaeongoza kati ya watu wanaoponda raha hapa duniani ?, inawezekana kwamba hajapoteza kitu,
Swali, hivi mkuu wa mkoa mpya wa dar yeye sio mwanaccm mwenzenu ?, mbona yeye hakuwa amevaa mavazi ya ccm kama makonda wakati wa makabidhiano ya ofisi ya RC ?.
 
Mwandamizi GENTAMYCINE, lakini DAB alisema yeye ndie mtu anaeongoza kati ya watu wanaoponda raha hapa duniani ?, inawezekana kwamba hajapoteza kitu,
Swali, hivi mkuu wa mkoa mpya wa dar yeye sio mwanaccm mwenzenu ?, mbona yeye hakuwa amevaa mavazi ya ccm kama makonda wakati wa makabidhiano ya ofisi ya RC ?.
Some times nalihurumia sana,unajua halijielewi sababu ya zero brain,kina kafulila wameliwa vichwa na wajumbe,kina Mwanri etc. Mbona hakuna mayoe kwa raia? HALIJIULIZI TATIZO NI NINI MBONA WATU WAMEFURAHI
 
Some times nalihurumia sana,unajua halijielewi sababu ya zero brain,kina kafulila wameliwa vichwa na wajumbe,kina Mwanri etc. Mbona hakuna mayoe kwa raia? HALIJIULIZI TATIZO NI NINI MBONA WATU WAMEFURAHI
Ndugu zangu, tambueni kwamba kuna watanzania kwa mamilion tena wenye sifa wako mitaani hawna kazi, mngeanza kuwahurumia kwanza hao na sio kupoteza muda kumjadili makonda
 
Hasa zile B 3 za Yusuf Manji alizomchukulia Nyumbani Kwake maeneo ya Sea View. Sijajua hizo B 3 aligawana na Baba au Kachikichia mwenyewe.
Jamaa anahukumiwa kwa mengi sana, kafanya unyama vibaya sana kwa jamii
 
Back
Top Bottom