Sawa tunaokukosoa unatuita 'Mbwa Mwitu'. Je, sisi ndiyo tulikufanya uuache Ukuu wako wa Mkoa ili 'ukagaragazwe' Kigamboni?

Sawa tunaokukosoa unatuita 'Mbwa Mwitu'. Je, sisi ndiyo tulikufanya uuache Ukuu wako wa Mkoa ili 'ukagaragazwe' Kigamboni?

Ulichotakiwa Kufanya ni Kukabidhi tu Ofisi ya Watu kisha ukae usubirie tu Huruma ya Roho Mtakatifu au 'Ushirikina' wako ili 'Nyota' yako iendelee Kung'aa 'Uteuliwe' tena lakini siyo kuanza 'Kujimwambafai' kwa mambo ya 'Kipumbavu' ambayo Watangulizi wako walishafanya Makubwa zaidi yako na wala hawakutaka Sifa za 'Kipuuzi' hizi kama zako.

Kuhusu Kutuita Sisi 'tunaokukosoa' na 'tusiokupenda' tena wakiongozwa na Mimi mwana CCM na mwana Simba SC Mwenzako kuwa ni ' Mbwa Mwitu ' tunaopenda ' Kubwekabweka ' hovyo wala hujakosea. Ni huku huku 'Kubwekabweka' Kwetu ndiyo kumekufanya hata juhudi zako za ' Kutia Nia 'Jimbo la Kigamboni' zifeli ' jambo ulihonga mno Pesa zako za Dhuluma.

Na ulivyo na Matatizo makubwa ya Akili 'Kichwani' umepewa nafasi fupi tu ya Kushukuru na Kumwacha 'Mteuliwaji' mpya aanze 'Majukumu' yake ya Kutuhudumia wana 'Mzizima' Wewe unaanza Kutoa Kauli zako za Kutia 'Huruma' na kama vile unamwambia Rais JPM kuwa 'Akuteue' tena wakati tunajua 'alikuonya' kuwa usiende Kigamboni na Wewe ukamuanisha kuwa Utashinda tu.

'Mbwa Mwitu' Mwandamizi Mimi GENTAMYCINE namalizia hapa kwa Kukuambia ya kwamba Kila lenye Mwanzo huwa lina Mwisho na kama ulidhani labda pamoja na ' Ushirikina ' wako pamoja na Kuwatumia Viongozi wa Dini wakubwa wa Kikristo na Kiislamu hadi kuwapa Vijana wa Mtandaoni Pesa ili JPM akukumbuke tena basi umechelewa na sasa pambana tu na Hali yako. Huna tena chako ndani ya Moyo wa na Roho ya JPM wala katika Seriakali yake na wala ndani ya CCM.

Umeshakwisha Kimoja
Mbaya zaidi nchi inaenda kuwa chini ya Lissu
 
Makonda akili zake kama kondoo tu yaani anajionaga mkuubwa kumbe tembo wa mabua, niliwahi kusema nje ya U RC makonda ni mwepesi kuliko sufi
 
Nadhani kauli yake ilikua inawalenga baadhi ya watendaji wa mkoa na si wakazi wa mkoa
 
WEKENI AKIBA YA MANENO NDUGU ZANGU. JPM HAWEZI KAMWE KUMTUPA MAKONDA. MTASHUHUDIA HAYA MANENO YANGU 2021. NGAYO!
Thubutu, kama hawakuondoka wote. Heri asome alama za nyakati kwani dalili ya mvua ni mawingu. Ukiona mwenzio ananyolewa, nawe anza kutia maji. Hata vyombo vya usalama vitaweza kupumua na kuanza kutimiza wajibu kwa kufuata sheria. Huu ni mwaka mbaya sana kwa washamba wote na limbukeni kwani wote watapewa one way ticket!
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha, amejikaanga mwenyewe kwa mafuta yake.
Atakuwa anaota sana burudani alizokuwa anapata.
Hahaha, inawezekana siyo mafuta yake, maana yangemuhurumia
Aliangiza kotanak kutoka ururuki.
Yakamuunguza kabisa badala ya kumkaanga
 
Nadhani anahisi hao watendaji walichangia anguko lake hapo Kigamboni.
yes true, lakini hakufanya POA jambo zuri ukitoka kwenye position utoke bila kinyongo Yani Kama alikua anampa ujumbe mkuu mpya kua usione wanakuchekea Hawa sio watu wazuri...unaacha position kwa kutengeneza uadui.
 
Akili yake ipo kwenye kupima tezi dume.
Nahisi atakuwa anapima tezi dume kila siku huyo.
 
Back
Top Bottom