Sawadogo Hajapewa Chake, Atishia Kufungua Kesi. Pesa ya Kumnunua Miquisine Itoke Wapi?

Sawadogo Hajapewa Chake, Atishia Kufungua Kesi. Pesa ya Kumnunua Miquisine Itoke Wapi?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Sawadogo bado nikijana mdogo Sana bado anajitafuta anandugu wamamtegemea tusaidiane wanatanzania kumpazia sauti apate stahiki zake.Msikilize anavyoongea Kwa uchungu, nimelia Sana, Ndugu wachambuzi mlimpamba Sana wakati anakuja sasa hivi mpambanieni apate haki yake. Mumemuomba apunguze hela msimlipe yote anayostahili amekubali Ila bado mnataka kumdhurumu hata Hicho kidogo.


Mwamba analalamika kuwa hajapewa hata senti moja ya pesa zake za kuvunjiwa mkataba.

Kila akizungumza na viongozi wanampa kalenda tu.. Mwana akamtumia meseji hadi mzee wa kususa lakini jitihada zake zikagonga mwamba.

Jamaa ameamua kufungua hadi kesi za madai kwa FIFA ili adai chake.

Sasa kama mnashindwa kumlipa huyu jamaa pesa ya miezi 6 tu, mtawezaji kununua Miqquesone ambaye mnaaminishwa kuwa atakuja kuchezea timu yenu?

Hapo hapo Barbra anawalalamikia kuwa klabu ina tabia ya kudhulumu pesa za watu.

Wakati huo huo CHAMA hajulikani kama ataendelea kucheza msimu huu kutokana na madai yake ya kutaka kumaliziwa signing fee yake ya mwisho.

Yaani mambo shaghala bagala.
 
Kwa hali hii mwekezaji lazima akate tamaa. Yaani mchezaji umemsajili msimu uliopita tu mwa pesa nyingi! Huku ukiaminishwa na wajanja ya kuwa ni kiungo mkata umeme! Yaani Jonas Mkude hatii mguu!!

Halafu leo unaambiwa umlipe tena mamilioni ya shilingi! Kwa kigezo eti hafai!! Kweli??
 
Kwa hali hii mwekezaji lazima akate tamaa. Yaani mchezaji umemsajili msimu uliopita tu mwa pesa nyingi! Huku ukiaminishwa na wajanja ya kuwa ni kiungo mkata umeme! Yaani Jonas Mkude hatii mguu!!

Halafu leo unaambiwa umlipe tena mamilioni ya shilingi! Kwa kigezo eti hafai!! Kweli??
Inasikitisha.
 
Kule mudi

Kule babra


Pale Chama


Huku sawakubwa ...... makolo mna pitia kipindi kugumu sana [emoji23][emoji23]
 
Kwani
Sawadogo bado nikijana mdogo Sana bado anajitafuta anandugu wamamtegemea tusaidiane wanatanzania kumpazia sauti apate stahiki zake.Msikilize anavyoongea Kwa uchungu, nimelia Sana, Ndugu wachambuzi mlimpamba Sana wakati anakuja sasa hivi mpambanieni apate haki yake. Mumemuomba apunguze hela msimlipe yote anayostahili amekubali Ila bado mnataka kumdhurumu hata Hicho kidogo.


Mwamba analalamika kuwa hajapewa hata senti moja ya pesa zake za kuvunjiwa mkataba.

Kila akizungumza na viongozi wanampa kalenda tu.. Mwana akamtumia meseji hadi mzee wa kususa lakini jitihada zake zikagonga mwamba.

Jamaa ameamua kufungua hadi kesi za madai kwa FIFA ili adai chake.

Sasa kama mnashindwa kumlipa huyu jamaa pesa ya miezi 6 tu, mtawezaji kununua Miqquesone ambaye mnaaminishwa kuwa atakuja kuchezea timu yenu?

Hapo hapo Barbra anawalalamikia kuwa klabu ina tabia ya kudhulumu pesa za watu.

Wakati huo huo CHAMA hajulikani kama ataendelea kucheza msimu huu kutokana na madai yake ya kutaka kumaliziwa signing fee yake ya mwisho.

Yaani mambo shaghala bagala.
Kwani yule aliyewaita mbwa na manyani mmemlipa? Mbona haikuwazuia kuwasajili wakina nabi na mayele?
 
Kwa hali hii mwekezaji lazima akate tamaa. Yaani mchezaji umemsajili msimu uliopita tu mwa pesa nyingi! Huku ukiaminishwa na wajanja ya kuwa ni kiungo mkata umeme! Yaani Jonas Mkude hatii mguu!!

Halafu leo unaambiwa umlipe tena mamilioni ya shilingi! Kwa kigezo eti hafai!! Kweli??
Vipi beki la chan au yule wa nyu kesto mliwasajili lini?
 
Back
Top Bottom