Sawadogo bado nikijana mdogo Sana bado anajitafuta anandugu wamamtegemea tusaidiane wanatanzania kumpazia sauti apate stahiki zake.Msikilize anavyoongea Kwa uchungu, nimelia Sana, Ndugu wachambuzi mlimpamba Sana wakati anakuja sasa hivi mpambanieni apate haki yake. Mumemuomba apunguze hela msimlipe yote anayostahili amekubali Ila bado mnataka kumdhurumu hata Hicho kidogo.
Your browser is not able to display this video.
Mwamba analalamika kuwa hajapewa hata senti moja ya pesa zake za kuvunjiwa mkataba.
Kila akizungumza na viongozi wanampa kalenda tu.. Mwana akamtumia meseji hadi mzee wa kususa lakini jitihada zake zikagonga mwamba.
Jamaa ameamua kufungua hadi kesi za madai kwa FIFA ili adai chake.
Sasa kama mnashindwa kumlipa huyu jamaa pesa ya miezi 6 tu, mtawezaji kununua Miqquesone ambaye mnaaminishwa kuwa atakuja kuchezea timu yenu?
Hapo hapo Barbra anawalalamikia kuwa klabu ina tabia ya kudhulumu pesa za watu.
Wakati huo huo CHAMA hajulikani kama ataendelea kucheza msimu huu kutokana na madai yake ya kutaka kumaliziwa signing fee yake ya mwisho.
Kwa hali hii mwekezaji lazima akate tamaa. Yaani mchezaji umemsajili msimu uliopita tu mwa pesa nyingi! Huku ukiaminishwa na wajanja ya kuwa ni kiungo mkata umeme! Yaani Jonas Mkude hatii mguu!!
Halafu leo unaambiwa umlipe tena mamilioni ya shilingi! Kwa kigezo eti hafai!! Kweli??
Kwa hali hii mwekezaji lazima akate tamaa. Yaani mchezaji umemsajili msimu uliopita tu mwa pesa nyingi! Huku ukiaminishwa na wajanja ya kuwa ni kiungo mkata umeme! Yaani Jonas Mkude hatii mguu!!
Halafu leo unaambiwa umlipe tena mamilioni ya shilingi! Kwa kigezo eti hafai!! Kweli??
Sawadogo bado nikijana mdogo Sana bado anajitafuta anandugu wamamtegemea tusaidiane wanatanzania kumpazia sauti apate stahiki zake.Msikilize anavyoongea Kwa uchungu, nimelia Sana, Ndugu wachambuzi mlimpamba Sana wakati anakuja sasa hivi mpambanieni apate haki yake. Mumemuomba apunguze hela msimlipe yote anayostahili amekubali Ila bado mnataka kumdhurumu hata Hicho kidogo.
Kwa hali hii mwekezaji lazima akate tamaa. Yaani mchezaji umemsajili msimu uliopita tu mwa pesa nyingi! Huku ukiaminishwa na wajanja ya kuwa ni kiungo mkata umeme! Yaani Jonas Mkude hatii mguu!!
Halafu leo unaambiwa umlipe tena mamilioni ya shilingi! Kwa kigezo eti hafai!! Kweli??