Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
science ina require experiment and proof. sio uswahili.We unaonekana hujui kuhusu virusi kabisa. Hivi Mungu anaweza kuwa na majibu yanayoexpire kweli yani kipindi kile atusaidie leo atuache duu. Ukifuata sayansi utajua kwann sahiv tumepigwa kuliko mara ya kwanza achana na imani Mfu.
utavijuaje virusi bila science?
Kama science ingekuwa fake..Mungu angeamua kuifutilia mbali isingekuwepo.
Ameruhusu iwepo ili tutumie kusolve mambo mbali mbali.
yes kuna imani.. imani bila matendo ni mfu.
hata siku moja Mungu hakupi jibu la direct bila kuonyesha jitihada.
huwezi omba Mungu akupe majibu ya mtihani wakati hukusoma.