#COVID19 Sayansi inazidi kutokomeza Corona

#COVID19 Sayansi inazidi kutokomeza Corona

hebu tuseme tumepia waTanzania wote milioni 60, ikagundulika milioni moja wanamaambukizi ya Covid, hapo tumejua ukubwa wa tatizo imetusaidia nini? Hao wanaopima huko na kujifungia ndani, wanawapa raia wao pesa. Marekani mtu mmoja anapewa dola 1200 kwa wakubwa(zaidi ya milion 2 na laki 7) na dola 600 watoto(zaidi ya sh milion 1 na laki 3) bure ili kujikimu kipindi hiki cha corona. Sisi hata elfu 10 kwa nusu ya watanzania hatuwezi kutoa yanini tulete taharuki ? Tatizo kubwa kwetu ni umasikini, jambo ambalo inabidi liwe kipaumbele. Japokua Magufuli hakubali kua sisi ni masikini lakini huo ndo ukweli, sisi ni masikini na hili ni tatizo kubwa kuliko Corona. Mnamnanga sasa hivi mbona mlikua kimya kipindi cha kampeni?
1.
US House gives $500 million to Israel, only $600 per ...

12/23/2020 · US House gives $500 million to Israel, only $600 per person in covid relief 23 Dec 2020 The omnibus bill required 12 votes to approve defence …


2.
Third stimulus check: When could you get a $1,400 check ...
2/7/2021 · In the first stimulus payments in April 2020, which directed $1,200 to eligible adults as well as $500 per child, it typically took two weeks to several months for …
Hao milioni 1, wapewe tiba ili kusiwepo na wa kufa. Si lazima kuwafungia bali wapewe mwongozo ili wasiwaambukize wengine. Kama ni lazima wafungiwe siku 8 tu watakuwa wamepona (kama wakipewa tiba).
 
Tazama jinga lingine hili kwa hiyo unataka kusemaje?
Sawa kwa ujinga wangu, lakini ningependa kukuelimisha kuwa World health organisation wakisema dawa mfano ya ukimwi au ugonjwa wowote imepatikana ni pale inapokuwa affordable au inaweza kupatikana kwa watu wengi na sio kwa wachache.

Pili huwezi kufanya kitu kwa kitu ambacho huwezi kukimudu.

Mfano ni lockdown, lakini tunaweza kupunguza safari, tunaweza kuvaa Barakoa,tunaweza kunawa mikono mara kwa mara , kwa msingi huo tunaweza kuendelea na Maisha yetu ya kila siku kwa taadhari
 
Sio KWELI.
Labda ukijumlisha na magonjwa mengine
Wewe na mimi hakuna mwenye uhakika kwa sababu hakuna takwimu. Lakini nilikaa Nzega wiki 2 zilizopita, mji mdogo kama ule, kila siku wanasema wamekuwa wanazika watu 4-7. Na karibu wote ni changamoto ya upumuaji.
 
Ushauri wa Dr. Mwigulu Nchemba wa kuficha takwimu za maambukizi na hatimaye kuacha zoezi la upimaji ndio limetufikisha hapa!
Sasa hakuna anayejua ukubwa wa tatizo tulilo nalo na hata "Mabeberu" wakisema tuko kwenye Red List hatuna namna ya kupinga!
Halafu tunajidanganya elimu za bongo ni perfect!
Mtu wa level za PHD hajui umuhimu wa takwimu katika kukabili tatizo!
ACHA TUENDELEE NA MAZOEZI YA VIFUA!
Huyu Mwigulu, kwa kipimo chochote kile, hafai kabisa kuwa kiongozi.
 
Siyo 100m ni zaidi ya bilioni 100. Tulipewa pesa tupeleke kupambana na corona, kuna taarifa za uhakika tulipeleka kwenye uchaguzi, tukawadanganya watu kuwa uchaguzi wa 2020 tumetumia hela zetu!
Hii ndio hela tuliyopewa
Council President Charles Michel committed to provide Tanzania with 27 million euros to combat the effects of COVID
 
Siyo 100m ni zaidi ya bilioni 100. Tulipewa pesa tupeleke kupambana na corona, kuna taarifa za uhakika tulipeleka kwenye uchaguzi, tukawadanganya watu kuwa uchaguzi wa 2020 tumetumia hela zetu!
Ndiomana hatueleweki kumbe pesa ilikuwa allocated kwenye matumizi mengine. Nchi yangu Tanzania nakulilia
 
Walalahoi wanakufa wengi lakini hawasikiki kwa Taifa zima kwa sababu siyo watu maarufu.

Siku ukiugua au ndugu yako akiugua utalitafuta hili andiko. Management protocol nimeoweka kwenye bandiko baada ya kuombwa na wengi hapa jukwani na kwenye inbox. Chukua hiyo protocol, kuna siku itakuokoa wewe au ndugu au rafiki yako. Usishupaze shingo.

Mambo ya kusema eti ni vita vya kiuchumi, ni maneno yasiyo na backing yoyote. Ni upotoshaji.
Mimi ninafanya kazi ya kupita vituo vya afya huko,wilaya kwa wilaya mkoa kwa mkoa

nipo mitaani pia kila siku..hakuna ujinga wako utakao nidanganya mimi hata kidogo.

punguzeni upuuzi wenu
walala hoi wanakufa wengi wapi?

kweni sisi tunaishi nchi nyingine kiasi tusione majirani au ndugu ktk kila siku au baada ya siku mbili kua wanakufa? wanakufa kwenu tu mlio lipwa pesa za kuhadaa watu?au ninyi mnaojaza ujinga watu kwa sababu zenu za kisiasa na ukanda?

wajinga wakubwa nyie
 
Hii ni moja ya article nzuri amabazo zimeletwa hapa jukwaani kuhusu corona,Ahsante sana kwa maelezo yako.kwa mda sasa nilikuwa na mawazo kama haya kuwa hatujui tumeathirika vipi sababu hatuna data yeyote.kwa kuongezea tu nchi nyingi za ulaya na America zimeathiriwa sana na huu ugonjwa,lakini hawakati tamaa walifanya tafit,walifuatilia kwa kukusanya data, wakaelimisha jamii zao na walipokosea walirudi tena maabara na kujifunza tena.Wazungu wanaonyesha wanavyojari uhai na kutokubari kushindwa,na sasa wanaona mafanikio.Kuokoa maisha hata ya watu 5 si sawa na kuacha watu wajifie tu bila kufanya lolote,inabidi kuwe na njia ya kujua tz imeathirika vp na waanze ku manage haraka,otherwise mambo yatazidi kuwa mabaya ma itabidi hao mnaowaita mabeberu waje na waanze kukuzoleeni mavi mlo kunya nyie.
Nashukuru kwa comment na ushauri mzuri.

Tuache ushabiki usiokuwa na maana. Kifo cha baba yako, mama yako, kaka yako, hata kama ni mmoja, ni msiba mkubwa kuliko watu 1,000 wasiokuhusu. Waliofiwa wanajua uchungu wa kufiwa. Tusijifanye watu tusiojali kifo kwa sababu tu waliokufa hawakuhusu.

Ninavyomwona Rais akiidharau corona na kusema ni mafua tu, ujumbe ninaupata ni kuwa hajali watu wanaokufa maana siyo wa familia yake. Lakini yeye ni kiongozi, anatakiwa kubeba mioyo na hisia za wote wanaofiwa. Akifa mtoto wake, bado atasema corona, ni mafua tu?
 
Hii ni moja ya article nzuri amabazo zimeletwa hapa jukwaani kuhusu corona,Ahsante sana kwa maelezo yako.kwa mda sasa nilikuwa na mawazo kama haya kuwa hatujui tumeathirika vipi sababu hatuna data yeyote.kwa kuongezea tu nchi nyingi za ulaya na America zimeathiriwa sana na huu ugonjwa,lakini hawakati tamaa walifanya tafit,walifuatilia kwa kukusanya data, wakaelimisha jamii zao na walipokosea walirudi tena maabara na kujifunza tena.Wazungu wanaonyesha wanavyojari uhai na kutokubari kushindwa,na sasa wanaona mafanikio.Kuokoa maisha hata ya watu 5 si sawa na kuacha watu wajifie tu bila kufanya lolote,inabidi kuwe na njia ya kujua tz imeathirika vp na waanze ku manage haraka,otherwise mambo yatazidi kuwa mabaya ma itabidi hao mnaowaita mabeberu waje na waanze kukuzoleeni mavi mlo kunya nyie.
Mi naamini jiwe sio mwanasayansi bali ana vyeti vya masomo ya sayansi. Haiwezekani hata yeye mwenyewe aende nje ya profession take. Science is all about data, facts and results
 
Kwani wewe uko wapi, Mbona wewe haujafa toka uambiwe toka mwaka 2020 mwezi Mei Waafrika watakuwa wamekufa wooote au wewe ni Mzungu.

Kila Taifa lina mbinu zake za kupambana na Covid 19, na Siyo kukopi ambayo huna uwezo nayo.

Hebu Fikilia kidogo tungekuwa tumefungiwa ndani Ungekula nini wewe au unadhani Watanzania wote wanaakiba ya Chakula kama wewe
 
Mkuu Acha uoga kula vizuri fanya mazoezi , kwa data nilizonazo vifo vya corona duniani ni 2.3milioni , Kati ya hivyo Afrika kuna vifo 100000 (laki moja ), sijui hii hofu kubwa kiasi hicho unatoa wapi !!
 
Hii ndio hela tuliyopewa
Council President Charles Michel committed to provide Tanzania with 27 million euros to combat the effects of COVID
Hiyo ni ile tuliyopewa na EU pekee.
 
Kwani wewe uko wapi, Mbona wewe haujafa toka uambiwe toka mwaka 2020 mwezi Mei Waafrika watakuwa wamekufa wooote au wewe ni Mzungu.
Kila Taifa lina mbinu zake za kupambana na Covid 19, na Siyo kukopi ambayo huna uwezo nayo.
Hebu Fikilia kidogo tungekuwa tumefungiwa ndani Ungekula nini wewe au unadhani Watanzania wote wanaakiba ya Chakula kama wewe
Siyo lazima kuwafungia, tungeweza kuwapima na kuwaweka kwenye management program.
 
Israel yenye watu milioni 9 ilikuwa na maambukizi karibu milion 1 na vifo elfu 5 kama ulivyosema.


Bado hoja yangu iko palepale, kwamba pamoja na ustarabu wote wakujifungia ndani na kuvaa mibarakoa bado covid 19 imewatandika vilivyo.

Hitimisho: hakuna njia yeyote iliyoonesha matunda ya kupunguza corona zaidi ya kuijiondokea yenyewe naturally. Naungana na rais, tusitishane.
Nonsense. Hiyo natural or herd immunity tunayojivunia iko zaidi kwa vijana na siyo wenye umri mkubwa.
Uzembe wetu umeshatugharimu. Tulipokuwa na wagonjwa wacchache tukabweteka na kuendelea kufungulia watalii !! Tuna matatizo ya kisera zaidi acha yale ya kisayansi.
 
Ivemectin dawa ya minyoo ya wanyama?
Dawa hii ilitengenezwa kwaajili ya wanyama. Baada ya kuonesha uwezo wake katika kupambana na Covid 19, inatengenezwa pia kwaajili ya binadamu.

Lakini ukiikosa ya binadamu, hata ya wanyama inafaa. Itabidi ipige sindano badala ya ile ya vidonge.
 
Marekani imegawa hela za bure kwa wayahudi

US House gives $500 million to Israel, only $600 per ...

12/23/2020 · US House gives $500 million to Israel, only $600 per person in covid relief 23 Dec 2020 The omnibus bill required 12 votes to approve defence …
Halafu wanakuja watu hapa wanataka tuwaige Israel
 
Back
Top Bottom