Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
science ina require experiment and proof. sio uswahili.We unaonekana hujui kuhusu virusi kabisa. Hivi Mungu anaweza kuwa na majibu yanayoexpire kweli yani kipindi kile atusaidie leo atuache duu. Ukifuata sayansi utajua kwann sahiv tumepigwa kuliko mara ya kwanza achana na imani Mfu.
tafiti tumeziweka kando. nchi haija invest kwenye science. ndio maana wasomi wetu wakitoka kusoma huko nje wanakimbilia ubunge.Kwenye tafiti za madawa sisi bado sana..
Ndomana utakuta mijitu inalala ikiamka wanakuambia nimeoteshwa dawa...
Wengine ndiyo wale wanakuambia saga pilipili,
Saga tangawiz changanya na limao weka kitungu na karoti weka mwarobaini ongezea ndani majivu hiyoo ni dawa...gadamnnnn
Ova
tanzania mara ya mwisho kuchukua idadi ilikuwa lini?Waisrael wamekufa 5526.
tangu mwaka Jana .
He Tanzania wanafika waliokufa na Corona hyo idadi?.
KWA MUNGU TUNATEGEMEA.na tutashinda.
Mganga MUNGU tu
Hao unaowatukana ndo unaenda hospitalin na wanakutibu unapona...Ukishskuwa rais wa Tz andiko lako linafichwa.
Sina haja hata kukujibu ila hii weka kumbukumbu siku mzee akiwa anapokea chanjo live kwenye TBC utakumbuka haya yote. Hujiulizi sababu ya kupiga marufuku kutangaza number? hakuna kupima, number ya wagonjwa imesimama watu 500 mwaka mzima unadhani watu wajinga halafu unasema tuliaga siku nyingi.Hizo hatua unazosema kama kufunga mashule,uzingatiaji wa kuvaa mask na kunawa mikono ulidumu kwa muda gani kiasi cha kusema ilisaidia kupunguza maambukizi? Mapema sana sisi tulifungua shughuli zote na kuacha kuzingatia kunawa mikono na kuvaa mask hilo la Corona kupungua lilitukuta sisi tushafanya ile party ya kuiaga corona muda mrefu tu.
Mkuu punguza jazaba,hakuna niliposema kuwa Tz hakuna corona si mwaka huu wala mwaka jana. Kumbe unajua kuwa tulikuwa hatuna takwimu za corona kwa sababu tuliacha kupima,sasa nakushangaa kusema kwamba sijui kufunga mashule kuvaa mask na kunawa mikono ilisaidia hiyo mwaka jana wakati unajua hakukuwa na data za kuonesha hali ya corona ikoje nchini ili ndio tuweze kusema huko kufunga mashule kuvaa mask na kunawa mikono ilisaidia.Sina haja hata kukujibu ila hii weka kumbukumbu siku mzee akiwa anapokea chanjo live kwenye TBC utakumbuka haya yote. Hujiulizi sababu ya kupiga marufuku kutangaza number? hakuna kupima, number ya wagonjwa imesimama watu 500 mwaka mzima unadhani watu wajinga halafu unasema tuliaga siku nyingi. watu wangapi tulizika. Wewe hupimi watu, hutaki data zitolewe halafu unasema hakuna corona, mbona data za shule ngapi mmjenga, zahanati ngapi, barabara ngapi zinatolewa. swali lako lingekuwa na mantiki kama data zingekuwa wazi kwa kusema corona ilikuwa hivi kabla tulivtofunga shule ikawa hivi labda ilisaidia au hapana ndio tungeamua hatua nzuri ya kuchukuwa. sasa hakuna data zozote utafanya vipi maamuzi? mambo ya kunawa mikono ni tabia zetu ila kama wewe unanawa sababu ya corona tu hiyo ni issue yako.
Kulikuwa na jitihada nyingi kuliko sasa. Kuna maeneo hukuruhusiwa kuingia bila barakoa. Kuna maeneo hukuruhusiwa kuingia bila kunawa mikono. Nilishuhudia baadhi wanaenda kwenye ATM wakiwa wamevaa gloves. Sanitizer mpaka ziliadimika. Makanisa mengi waliamua kufanyia ibada nje ya majengo.Maambukizi ya awamu ya kwanza yaliondojaje vile,??
Siyo 100m ni zaidi ya bilioni 100. Tulipewa pesa tupeleke kupambana na corona, kuna taarifa za uhakika tulipeleka kwenye uchaguzi, tukawadanganya watu kuwa uchaguzi wa 2020 tumetumia hela zetu!Wewe unajua hiyo hela imetolewa kwa ajili ya nini ? Maana madhara ya corona yana mambo mengi
Pili Hiyo 100m unayosemea na kutumika kupima, watu wake , je hao USA and the like kuna Nchi ime achieve hiyo 100% ya watu kupimwa hiyo corona zaidi ya hiyo Israel?? Au ndio kwamba una nafasi ya kuandika basi unaandika.
Unatakiwa kufanya jambo au mambo kufuatana na uwezo wako, sio kufuata fulani kafanya nini, kuiga iga mwishowe utapasuka msamba
Hatujui idadi lakini kwa hakika ni zaidi ya hao 5,526.Waisrael wamekufa 5526.
tangu mwaka Jana .
He Tanzania wanafika waliokufa na Corona hyo idadi?.
KWA MUNGU TUNATEGEMEA.na tutashinda.
Mganga MUNGU tu
Sawa. Nitaipandisha kwenye bandiko.Hiyo Jewish protocol ungeiweka hapa ili uwe umetoa mchango wako lakini as usual kila mtu analalamika.
Hatujui idadi lakini kwa hakika ni zaidi ya hao 5,526.
tanzania mara ya mwisho kuchukua idadi ilikuwa lini?
sisi hatuhesab wao wanahesabu. huwez kujilinganisha nao
Propaganda tu kama zilivyo propaganda nyinginezo.Zamani watu ulaya waliamini sana utatuzi wa matatizo kwa kumuachia Mungu. Hilo lilifanya kanisa licontrol kila kitu, hasa elimu. Kutumia maiti za wanadamu kujifunza ilikatazwa na kanisa. Sayansi ilikuwa lazima iandane na kanisa.
Baada ya kutokea mlipuko wa homa ya mapafu karne ya 14. Watu walishangaa hata hao wanaohubiri kanisani wanakufa vibaya na hawana msaada wowote. Hapo ndipo watu wakaigeukia sayansi na uchunguzi wa magonjwa na mambo mengine ukashika kasi. Pengine na sisi tutajifunza kutokana na hili, japo kulikuwa hakuna haja ya kupita njia walizopita wenzetu miaka zaidi ya mia saba iliyopita.
View attachment 1706799
Hakukuwa na data lakini tuliona katika mitaa yetu au miji yetu vifo au wagonjwa mahospital kupungua haya mambo kwa ushuhuda. nakumbuka wakati naenda Hosp fulani wakati shida ndio imekuwa kubwa kulikuwa na ward imetengwa kwa corona sasa tatizo wakati ule hakukuwa na kipimo mgonjwa akija anahisiwa anawekwa kule ilikuwa watu wanakimbiana Hosp ila baada ya hatua kali kuchukuliwa kama kufungwa mashule, michezo, harusi na hatua zingine kama baada ya mwezi Hosp ileile nikwenda tena nilikuta hali fulani ya utulivu na hata vifo mitaani vilipungua sana sasa hiyo kwangu ni mambo yalikuwa yako wazi tunaona, sisemi 100% labda ndio sababu ila kwa mujibu wa wataalamu walikuwa wakitushauri hivyo na kila sababu ya kuamini kuna ukweli.Mkuu punguza jazaba,hakuna niliposema kuwa Tz hakuna corona si mwaka huu wala mwaka jana. Kumbe unajua kuwa tulikuwa hatuna takwimu za corona kwa sababu tuliacha kupima,sasa nakushangaa kusema kwamba sijui kufunga mashule kuvaa mask na kunawa mikono ilisaidia hiyo mwaka jana wakati unajua hakukuwa na data za kuonesha hali ya corona ikoje nchini ili ndio tuweze kusema huko kufunga mashule kuvaa mask na kunawa mikono ilisaidia. Mimi nilikuwa namuunga mkono mtu humu aliyesema corona huondoka yenyewe ila wewe ukaja na mambo ya hatua za kunawa mikono na kufunga mashule kwamba et zilisaidia pia, ndio maana nilikuuliza hizo hatua(kufunga shule,kuvaa mask n.k) zilidumu kwa muda gani hadi tuseme zilisaidia? na tena hatukuwa na data za corona.
Tayari nineiweka kwenye bandiko.Ungeelezea hiyo jewish manag protocol ina utaratibu gani ili na wewe uingie katika historia ya kuokoa maisha ya wale watakaitumia wakihusi ama kuthibitisha kuambukizwa... Ingekuwa vyema zaidi ya kumuongelea JPM jambo ambalo haliwezi badilisha chochote
Walalahoi wanakufa wengi lakini hawasikiki kwa Taifa zima kwa sababu siyo watu maarufu.usipende kuchukua mifano ya nje ukaileta hapa kwetu,vita ya ugonjwa huu ni vita ya kichumi pia..kupigana kwa nchi moja kwa namna yake si sababu nchi nyingine iigee upmbanaji wa wengine
kuna watu yamkini mnalipwa ili kueneza taharuki kwenye jamii lakini naamini mtashindwa tu,sasa ni Corona gani ya sasa ichukue viongozi ambao wanatibiwa na kula wanacho taka ila wachukuliwe na Corona na tuachwe walala hoi sokoni,kwenye vijiwe vya kahawa,mashuleni kote huko hakuna mwenye Corona.
Ila akitokea mtu akaniambia kwa sababu za vita vya kiuchumi labda viongozi hawa walikaa mahala kwenye kikao na ajenti wa mzungu akawepo akawapiga sumu ili kisingizio kiwe ni kuleta chanjo hapa ntakukubali.
Libya ilikua ni nchi ya maziwa na asali hawakua na shida yoyote dhidi ya Ghadaffi, lakini kilicho tokea ni dhahiri kabisa raia wale walipewa kitu pasi wao kujua na kuamua kumkataa tu Ghadaffi wakaita na majeshi ya NATO ili eti waje kuwasaidia kumng'oa dikteta,yaani ni sawa na baba nyumbani kwako wanaibuka watoto wako wa kuzaa hawakutaki na wanashirikiana na mama yao wakukate kate ufie mbali.
Corona ni vita fulani tu.
Nimeipandisha kwenye bandiko. Ichukue kuna siku itaokoa maisha ya mtu.Inabidi kuifahamu hii The Jewish Covid 19 Management Protocol. Siku zote Tujifunze kwa waliofanikiwa.