Sayansi na matokeo ya tafiti yanapinga hoja za Dkt. Ananelia Nkya juu ya ukubwa wa bunge na serikali

Sayansi na matokeo ya tafiti yanapinga hoja za Dkt. Ananelia Nkya juu ya ukubwa wa bunge na serikali

Dr Analilea Nkya yupo sahihi. Wewe unampinga ila maandishi yako yanamuunga mkono.
kwamba sisi Tanzania ni nchi iliyoendelea sana hivyo tunahitaji kuwa na serikali na bunge dogo?
 
Kiongozi Comte kajipange upya urudi, naamini wengi humu,nikiwemo mimi Mtemi Mbojo,tumemuelewa vizuri Mama Nkya(PhD)
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa mmemuelewa Mama Nkya(PhD) na sababu ni moja tu- upofu wenu bandia
 
Mkuu utafiti uko sahihi. Mleta mada kauelezea kinyume chake na kupotosha sijui kwa kutoelewa au kwa makusudi?

Ananilea Nkya yuko sahihi kabisa. Utafiti lengo lake ni kuthibitisha kihisabati jinsi nchi zenye mabaraza madogo ya wafanya maamuzi zilivyo na ufanisi mkubwa na kuwa na maendeleo makubwa na kinyume chake kwa nchi zenye mabaraza makubwa (kama zetu hizi).
Mkuu kausome tena hasa hii aya
In fact, the data show some important exceptions. For example, Australia, Canada and New Zealand have large cabinets but high efficiency scores.
 
Kilichoandikwa kwenye huu utafiti na uhalisia wa kwetu ni vitu viwili tofauti, kumbuka Tanzania ndani ya Halmashauri/Wilaya kuna DC/DAS/DED/Mbunge na Mwenyekiti wa council, je hawa wote kazini yao ni nini?

Kuna nchi duniani bunge la budget linakaa siku 100 kujadili budget ya kutumika siku 360 pekee? wenzetu mbunge anaenda bungeni siku akiwa na swali huku wanakuwepo wote kupokea posho hata kama hana swali, je huoni kama ni matumizi mabaya ya fedha za umma?
SOMA HII AYA
The researchers then looked at each country’s executive cabinet. “Cabinets are a good representation of countries,” Thurner says. Common sense would suggest that smaller cabinets would find it easier to reach a consensus. But to get the rest of the country behind a decision, cabinets also have to be large enough to represent of a wide range of constituencies, Thurner says. “Behind every minister there is a set of lobbyists, interest groups and a large bureaucracy.”
 
Huku kwetu hoja ya Thurner inafanya kazi vizuri sana- the larger the cabinet the less its efficiency!
Nenda mbele zaidi anasema pia
In fact, the data show some important exceptions. For example, Australia, Canada and New Zealand have large cabinets but high efficiency scores.
 
THE UNDECIDERS
By Davide Castelvecchi
May 9th, 2008
Web edition
More decision-makers bring less efficiency
It’s the other Parkinson’s: the progressive degeneration of a committee’s ability to make decisions as the committee adds more members.

English historian Cyril Northcote Parkinson observed in the 1950s that decision making is severely impaired in committees of more than 20 people. Now physicists have shown that the size of a country’s executive cabinet appears to be linked to that country’s overall efficiency, and they have found a possible mathematical explanation.

Stefan Thurner, a physicist at the Medical University of Vienna, and his collaborators looked at the overall efficiency of virtually every government on the globe, as measured by United Nations and World Bank indicators taking into account factors such as literacy, life expectancy and wealth.

The researchers then looked at each country’s executive cabinet. “Cabinets are a good representation of countries,” Thurner says. Common sense would suggest that smaller cabinets would find it easier to reach a consensus. But to get the rest of the country behind a decision, cabinets also have to be large enough to represent of a wide range of constituencies, Thurner says. “Behind every minister there is a set of lobbyists, interest groups and a large bureaucracy.”

On average, the team found, a country’s development was tied to the size of its executive cabinet. For example, Iceland, which the United Nations ranks as the world’s most developed country, has a cabinet of just 12 members; the United States, which ranks 12th, has 17 cabinet members; Myanmar and the Ivory Coast, with 35-strong cabinets, rank 132nd and 166th.

The researchers also tried to figure out exactly how a committee’s size affects its efficiency and to explain Parkinson’s 20-person rule.

The team simulated committees as networks in which each member was a node. Before a vote, each member’s opinion could be influenced by those of its immediate neighbors in the network; adjacent nodes could represent, for example, ministers belonging to the same political party. The simulation found that committees of 10 members or less could almost always reach a consensus (with one mysterious exception for the number 8). For larger committees, the chances of getting to a consensus were lower, and the chances decreased even more rapidly for committees of 20 or more. The results show that Parkinson’s law is not an accident, but “a robust consequence of the opinion-formation model,” Thurner says.

“It’s interesting that they find a correlation,” says Yaneer Bar-Yam of the New England Complex Systems Institute in Cambridge, Mass. However, Bar-Yam points out that the correlation is only true on average. In fact, the data show some important exceptions. For example, Australia, Canada and New Zealand have large cabinets but high efficiency scores.

A committee’s effectiveness, Bar-Yam says, strongly depends on how the committee is organized. “One of the great examples today is Wikipedia,” he says. The online encyclopedia manages to function despite being written and edited by thousands of volunteers because of the way it’s structured, he says.

HOJA YANGU imesimama kwenye tafiti na marejeo- soma hilo hapo juu
Hii ndiyo shida inapoanzia. Wewe unge summarise hiyo hoja ya Northcote Parkinson na kutuwekea summary hapa. Kwanini ukopi maneno yote hapa?
 
Hii ndiyo shida inapoanzia. Wewe unge summarise hiyo hoja ya Northcote Parkinson na kutuwekea summary hapa. Kwanini ukopi maneno yote hapa?
Angalia post yangu ya kwanza.
pili- ni vizuri kujifunza kusoma siyo kusoma power point- acha uvivu
tatu- hulka kama zako ndio mwanzo wa wengi wenu kugeuzwa madodoki
nne- mimi ni muumini wa usawa wa binadamu- uelewe wewe kwa uwezo wako siyo utegemee summary ya mjinga mmoja- akikukosesha nawe unapotea
 
Angalia post yangu ya kwanza.
pili- ni vizuri kujifunza kusoma siyo kupsoma power point- acha uvivu
tatu- hulka kama zako ndio mwnzo wa wengi wenu kugeuzwa madodoki
nne- mimi ni muumini wa usawa wa binadamu- uelewe wewe kwa uewzo wako siyo utegemee summary ya mjinga mmoja- akikukosesha nawe unapotea
Ndiyo maana argument yako inapwaya na huwezi kumuelewa Dr Ananailea Nkya. Jifunze nawe ueleimike, PhD siyo sawa na matako, maana hata wewe unayo
 
Ndiyo maana argument yako inapwaya na huwezi kumuelewa Dr Ananailea Nkya. Jifunze nawe ueleimike, PhD siyo sawa na matako, maana hata wewe unayo
Nadhani unajifunza kutukana- ukifuzu uanzekutukana na tutakutana
Mie siyo limbukeni sina haja ya kujitambulisha kwa kiwango changu cha elimu ya darasani- matendo yangu yanatosha na uhimilivu wangu wa maisha ni ushahidi
 
Fikiria Zanzibar Wana idadi ya watu million moja na nusu na Wana wabunge 80 Dodoma wakati Dar Wana watu million 5 Wana wabunge 14 Ananilea Yuko sahihi
 
Nadhani unajifunza kutukana- ukifuzu uanzekutukana na tutakutana
Mie siyo limbukeni sina haja ya kujitambulisha kwa kiwango changu cha elimu ya darasani- maendo yangu yanatosha na uhimilivu wangu wa maisha ni ushahidi
Unaandika pumba na kubeza PhD ya Dr Ananilea Nkya halafu tukukalie kimya? . Mpinge Dr Ananilea kwa tafiti na siyo kuokoteza nadharia za kibwanyeye za akina Northcote Parkinson za miaka ya 1950. Zimepitwa na wakati hata huko kwao hazitumiki

Halafu eti unanitisha kwa kusema tutakutana. Njoo sasa hivi Ubungo Kibo utanikuta.
 
THE UNDECIDERS
By Davide Castelvecchi
May 9th, 2008
Web edition
More decision-makers bring less efficiency
It’s the other Parkinson’s: the progressive degeneration of a committee’s ability to make decisions as the committee adds more members.

English historian Cyril Northcote Parkinson observed in the 1950s that decision making is severely impaired in committees of more than 20 people. Now physicists have shown that the size of a country’s executive cabinet appears to be linked to that country’s overall efficiency, and they have found a possible mathematical explanation.

Stefan Thurner, a physicist at the Medical University of Vienna, and his collaborators looked at the overall efficiency of virtually every government on the globe, as measured by United Nations and World Bank indicators taking into account factors such as literacy, life expectancy and wealth.

The researchers then looked at each country’s executive cabinet. “Cabinets are a good representation of countries,” Thurner says. Common sense would suggest that smaller cabinets would find it easier to reach a consensus. But to get the rest of the country behind a decision, cabinets also have to be large enough to represent of a wide range of constituencies, Thurner says. “Behind every minister there is a set of lobbyists, interest groups and a large bureaucracy.”

On average, the team found, a country’s development was tied to the size of its executive cabinet. For example, Iceland, which the United Nations ranks as the world’s most developed country, has a cabinet of just 12 members; the United States, which ranks 12th, has 17 cabinet members; Myanmar and the Ivory Coast, with 35-strong cabinets, rank 132nd and 166th.

The researchers also tried to figure out exactly how a committee’s size affects its efficiency and to explain Parkinson’s 20-person rule.

The team simulated committees as networks in which each member was a node. Before a vote, each member’s opinion could be influenced by those of its immediate neighbors in the network; adjacent nodes could represent, for example, ministers belonging to the same political party. The simulation found that committees of 10 members or less could almost always reach a consensus (with one mysterious exception for the number 8). For larger committees, the chances of getting to a consensus were lower, and the chances decreased even more rapidly for committees of 20 or more. The results show that Parkinson’s law is not an accident, but “a robust consequence of the opinion-formation model,” Thurner says.

“It’s interesting that they find a correlation,” says Yaneer Bar-Yam of the New England Complex Systems Institute in Cambridge, Mass. However, Bar-Yam points out that the correlation is only true on average. In fact, the data show some important exceptions. For example, Australia, Canada and New Zealand have large cabinets but high efficiency scores.

A committee’s effectiveness, Bar-Yam says, strongly depends on how the committee is organized. “One of the great examples today is Wikipedia,” he says. The online encyclopedia manages to function despite being written and edited by thousands of volunteers because of the way it’s structured, he says.

HOJA YANGU imesimama kwenye tafiti na marejeo- soma hilo hapo juu
Acho kucopy and pest ww ni mtanzania kizungu cha nn au ndo kukimbia hoja sabu unajua weng hawajui kizungu.
Na mapoint yako ya kucopy
 
Nina mashaka makubwa sana na uelewa wa Dr. Ananelia Nkya kuhusu serikali- muundo na jinsi inavyofanya kazi. Sijui alipataje PhD.

Anajenga hoja kuhusu ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri. Anachosema hakiiendani na tafiti na mapitioya tafiti za anazuoni mbalimbali.

Wanazuoni na tafiti zao wanathibitisha kuwa ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri huamriwa na kiwango cha maendeleo cha nchi husika i.e walioendelea zaidi wanakuwa na bunge na serikali ndongo wakati ambao hawajaendela wanakuwa na bunge na baraza kubwa.

The size of cabinets varies, although most contain around ten to twenty ministers. Researchers have found an inverse correlation between a country's level of development and cabinet size: on average, the more developed a country is, the smaller is its cabinet.
Hoja yako ni mfu kabisa.
Kwamba maskini ndio wanahitaji wabunge wengi na serikali kubwa!
Ulishawaza huo mzigo wa kuwahudumia hao wabunge na hao mawaziri nani anaubeba?

Kwa nchi yetu, tunapaswa kuwa....
1. Bunge lisilozidi wabunge mia moja tu. (Zanzibar wabunge wasiozidi kumi, Tanganyika wabunge wasiopungua tisini, hakuna viti maalum vya wanawake)
2. Majimbo yatengenezwe kulingana na ukubwa wa eneo na idadi ya watu.
3. Baraza la mawaziri lenye mawaziri kumi tu. (Hakuna manaibu waziri, hakuna mbunge wa kuchaguliwa kuwa waziri, rais ateue wabunge wake ambao watakuwa mawaziri).

Tunahitaji kuwa na accountable leaders, sio machawa.
 
Unaandika pumba na kubeza PhD ya Dr Ananilea Nkya halafu tukukalie kimya? . Mpinge Dr Ananilea kwa tafiti na siyo kuokoteza nadharia za kibwanyeye za akina Northcote Parkinson za miaka ya 1950. Zimepitwa na wakati hata huko kwao hazitumiki

Halafu eti unanitisha kwa kusema tutakutana. Njoo sasa hivi Ubungo Kibo utanikuta.
Nipo kibo hapa mkuu njoo dagaa dagaa tuutishe umaskini😁😁 na kumkomesha huyu chawa
 
Acho kucopy and pest ww ni mtanzania kizungu cha nn au ndo kukimbia hoja sabu unajua weng hawajui kizungu.
Na mapoint yako ya kucopy
Nawe umeona udhaifu wake siyo? Amekariri hako ka page ndiyo anataka kudhalilisha dada yetu msomi na tafiti yake?? No way
 
Nina mashaka makubwa sana na uelewa wa Dr. Ananelia Nkya kuhusu serikali- muundo na jinsi inavyofanya kazi. Sijui alipataje PhD.

Anajenga hoja kuhusu ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri. Anachosema hakiiendani na tafiti na mapitioya tafiti za anazuoni mbalimbali.

Wanazuoni na tafiti zao wanathibitisha kuwa ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri huamriwa na kiwango cha maendeleo cha nchi husika i.e walioendelea zaidi wanakuwa na bunge na serikali ndongo wakati ambao hawajaendela wanakuwa na bunge na baraza kubwa.

The size of cabinets varies, although most contain around ten to twenty ministers. Researchers have found an inverse correlation between a country's level of development and cabinet size: on average, the more developed a country is, the smaller is its cabinet.
We naye ni zero kabisa, unajua tofauti ya neno "Correlation" na "causation". Ni kwamba kuna uhusiano kati ya maendeleo ya nchi na ukubwa wa baraza la mawaziri/bunge ila hakuna mahali wamesema ukubwa wa bunge au wizara UNASABABISHWA na Maendeleo ya nchi.

Mpaka hapa tu nimeona ulivyo mweupe kwenye research ila unadiriki kuhoji na kukejeli PhD ya msomi.
 
Back
Top Bottom