zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mbona tafiti yako imejipinga yenyewe, au hizo exceptions hujaziona? Kwamba hiyo Canada ina mawaziri kibao ila bado ina ufanisi. Tatizo elimu ya kuunga unga alafu ujuaji mwingi.However, Bar-Yam points out that the correlation is only true on average. In fact, the data show some important exceptions. For example, Australia, Canada and New Zealand have large cabinets but high efficiency scores.
sijui kama mnajitambua; tuhuma zenu siyo sahihi kwa sababu sijacopy chochote ispokuwa nimeweka ripoti yote ya utafiti. Mgekuwa na uelewa na hoja niwashauri mlete hapa utafiti wa Nkya (PhD) wenu ili tuone hoja yake imesimama kwenye misingi gani?Nawe umeona udhaifu wake siyo? Amekariri hako ka page ndiyo anataka kudhalilisha dada yetu msomi na tafiti yake?? No way
Yeye inaonekana ana faidika na bunge au seriali kubwa, ulaji.. hivyo anaona kupungua kwake itakuwa shida. Lakini ni fact kuwa, kwa nchi zetu hizi masikini ukubwa wa serikali na viongozi wengi wenye nafasi zisizo na msingi vinaongeza umasikini kwa raia.Unachopinga hakieleweki. Unatakiwa kuweka muhtasari wa hoja yako inayopinga hoja ya Nkya na mistari ya hiyo nukuu inayokuunga mkono. Sio kutamka tu kiijumla jumla.
Btw, kama unafikiri hiyo nukuu inakuambia kuwa nchi masikini inastahili kuwa na serikali kubwa zaidi ya nchi zilizoendelea, umepotea.
Kinachosemwa hapo ni kugunduliwa kwa formuła ya hisabati inayothibitisha uhusiano katika ufanisi wa kufikia maamuzi na ukubwa wa chombo/kamati ya maamuzi (baraża la mawaziri).
Kwa ujumla nchi zenye maendeleo makubwa zina baraża dogo (chini ya 20) mfano Iceland (12) na USA (17). Hivyo, zina ufanisi mkubwa wa maamuzi. Nchi masikini zina baraża kubwa na ufanisi mdogo kama Myanmar na ivory coast (35). Tofauti (exception) ni nchi kama Australia, Canada na New Zealand zenye mabaraza makubwa (>20) na maendeleo makubwa. Lakini hizo nchi 3 zina mpangilio bora sana wa maamuzi.
Hivyo, mabaraza makubwa (mawaziri wengi, wabunge wengi) yanadumaza ufanisi katika maamuzi ya maendeleo, yanasababisha gharama kubwa za serikali zisizo za lazima na kushusha kasi ya maendeleo.
Sasa sijui Nkya kakosea wapi?
nani kasema causation? Wakiitwa wasomi unampekea Nkya- au ndiye wa kwenza kwenu?We naye ni zero kabisa, unajua tofauti ya neno "Correlation" na "causation". Ni kwamba kuna uhusiano kati ya maendeleo ya nchi na ukubwa wa baraza la mawaziri/bunge ila hakuna mahali wamesema ukubwa wa bunge au wizara UNASABABISHWA na Maendeleo ya nchi.
Mpaka hapa tu nimeona ulivyo mweupe kwenye research ila unadiriki kuhoji na kukejeli PhD ya msomi.
Mkuu leta tafiti ujenge hoja yako;mimi nimeunga mkono hoja yangu na tafiti. kama huna muombe Nkya (PhD) akusaidie maana huwezi kujisimamiaYeye inaonekana ana faidika na bunge au seriali kubwa, ulaji.. hivyo anaona kupungua kwake itakuwa shida. Lakini ni fact kuwa, kwa nchi zetu hizi masikini ukubwa wa serikali na viongozi wengi wenye nafasi zisizo na msingi vinaongeza umasikini kwa raia.
Kwa hiyo aya Tanzania tuko sahihi kuwa na serikali na bunge kubwa na lililo na ufanisi kama hayo yaliyotajwa. Au serkali yetu haiendeshwi kwa ufanisi?Mbona tafiti yako imejipinga yenyewe, au hizo exceptions hujaziona? Kwamba hiyo Canada ina mawaziri kibao ila bado ina ufanisi. Tatizo elimu ya kuunga unga alafu ujuaji mwingi.
Uhusiano sio kisababishi.... maana yake it can be a a result of any other factor mfano nchi zenye maendeleo nyingi zina ugatuzi so hauhitaji serikali kubwa, kuna masuala ya separation of power so kama bunge lina nguvu sana na mahakama ipo strong huhitaji wizara nyingi maana mambo mengi yameshagawanywa kwa mihimili mingine, kuna masuala kama nchi nyingi zilizoendelea ni capitalist so kuanzia TANESCO, Babdari, Afya ziko mikononi mwa watu binafsi sasa wizara obvious zinakua ndogo.nani kasema causation? Wakiitwa wasomi unampekea Nkya- au ndiye wa kwenza kwenu?
Tukirudi kwenye hoja correlation; tafiti zimethibitisha kuwa upo uhusiano wa maendeleo na ukubwa wa serikali; maendeleo zaidi serikali ndogo; maendeleo kidogo serikali kubwa. Sasa sijui wewe unapinga nini na kwa tafiti ipi?
Hiyo aya inasema kuna nchi zina baraza kubwa na bunge kubwa ila bado zina ufanisi kuliko nchi zenye bunge dogo!! Mfano Canada na Australia.Kwa hiyo aya Tanzania tuko sahihi kuwa na serikali na bunge kubwa na lililo na ufanisi kama hayo yaliyotajwa. Au serkali yetu haiendeshwi kwa ufanisi?
Mkuu acha kujitoa ufahamu- Nkya (PhD) anaongelea ukubwa wa serikali. Sijui hayo mengine wewe umeyatoa wapi. Ukiwa una nijibu naombapia uje na utafiti wa Nkya (PhD) ile nione hoja yake ambayo wewe unashobokea imesima wapi.Hiyo aya inasema kuna nchi zina baraza kubwa na bunge kubwa ila bado zina ufanisi kuliko nchi zenye bunge dogo!! Mfano Canada na Australia.
Kwa Tanzania ina maana tatizo letu sio ukubwa wa bunge au wizara ila kuna changamoto nyingi kama ufisadi, kukosa vipaumbele, sera mbovu, kukosa coordination, demokrasia mbovu hivyo viongozi hawawajibiki n.k
Sasa hayo unayapima kwa kufanya regression analysis ama structure models sio correlation!! Dr Nkya is right but you're wrong.
Mkuu siyo to causation haina mashiko ila pia kweny mjadala huu haipo kabisa.Uhusiano sio kisababishi.... maana yake it can be a a result of any other factor mfano nchi zenye maendeleo nyingi zina ugatuzi so hauhitaji serikali kubwa, kuna masuala ya separation of power so kama bunge lina nguvu sana na mahakama ipo strong huhitaji wizara nyingi maana mambo mengi yameshagawanywa kwa mihimili mingine, kuna masuala kama nchi nyingi zilizoendelea ni capitalist so kuanzia TANESCO, Babdari, Afya ziko mikononi mwa watu binafsi sasa wizara obvious zinakua ndogo.
Kwahiyo kwenye tafiti ukisema correlation haina mashiko kuliko causation maana ukifanya tafiti ndio ungeweka hizo factor nilizotaja kama control/intervening variables ili kupima uhusiano kati ya maendeleo ya nchi vs ukubwa wa serikali/baraza la mawaziri.
Cc Mayor Quimby
Soma comment yangu iliyopita kabla ya hiyo Uliyoinukuu hapa.Mkuu kausome tena hasa hii aya
In fact, the data show some important exceptions. For example, Australia, Canada and New Zealand have large cabinets but high efficiency scores.
Hawa ndiyo mawaziri wa Tanzania sasa walivyoSOMA HII AYA
The researchers then looked at each country’s executive cabinet. “Cabinets are a good representation of countries,” Thurner says. Common sense would suggest that smaller cabinets would find it easier to reach a consensus. But to get the rest of the country behind a decision, cabinets also have to be large enough to represent of a wide range of constituencies, Thurner says. “Behind every minister there is a set of lobbyists, interest groups and a large bureaucracy.”
Tafiti inapingwa kwa tafiti kapinge na wewe upate phdNina mashaka makubwa sana na uelewa wa Dr. Ananelia Nkya kuhusu serikali- muundo na jinsi inavyofanya kazi. Sijui alipataje PhD.
Anajenga hoja kuhusu ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri. Anachosema hakiiendani na tafiti na mapitioya tafiti za anazuoni mbalimbali.
Wanazuoni na tafiti zao wanathibitisha kuwa ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri huamriwa na kiwango cha maendeleo cha nchi husika i.e walioendelea zaidi wanakuwa na bunge na serikali ndongo wakati ambao hawajaendela wanakuwa na bunge na baraza kubwa.
The size of cabinets varies, although most contain around ten to twenty ministers. Researchers have found an inverse correlation between a country's level of development and cabinet size: on average, the more developed a country is, the smaller is its cabinet.
Ccm wanakuwaje na akili? Zanzibar ni sawa na Dar Es Salaam kijiografia na licha ya kuwa Dar Es Salaam ina idadi kubwa ya watu karibu mara 5 ya waliopo Zanzibar lakini Dar Es Salaam ina wabunge 8 tu wakati Zanzibar yenye watu milioni moja na kitu sawa na wakazi wa wilaya ya Ubungo pekee ina wabunge 50. Halafu mleta mada anahoji Ph.D ya Dr Nkya anadhani ni ya kupewa kama wanavyopewa wana ccm.Kilichoandikwa kwenye huu utafiti na uhalisia wa kwetu ni vitu viwili tofauti, kumbuka Tanzania ndani ya Halmashauri/Wilaya kuna DC/DAS/DED/Mbunge na Mwenyekiti wa council, je hawa wote kazini yao ni nini?
Kuna nchi duniani bunge la budget linakaa siku 100 kujadili budget ya kutumika siku 360 pekee? wenzetu mbunge anaenda bungeni siku akiwa na swali huku wanakuwepo wote kupokea posho hata kama hana swali, je huoni kama ni matumizi mabaya ya fedha za umma?
Ukiwa CCM akili zinaishaCcm wanakuwaje na akili? Zanzibar ni sawa na Dar Es Salaam kijiografia na licha ya kuwa Dar Es Salaam ina idadi kubwa ya watu karibu mara 5 ya waliopo Zanzibar laki Dar Es Salaam ina wabunge 8 tu wakati Zanzibar yenye watu milioni moja na kitu sawa na wakazi wa wilaya ya Ubungo pekee ina wabunge 50. Halafu mleta mada anahoji Ph.D ya Dr Nkya anadhani ni ya kupewa kama wanavyopewa wana ccm.
Nina mashaka makubwa sana na uelewa wako na elimu yako.Nina mashaka makubwa sana na uelewa wa Dr. Ananelia Nkya kuhusu serikali- muundo na jinsi inavyofanya kazi. Sijui alipataje PhD.
Anajenga hoja kuhusu ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri. Anachosema hakiiendani na tafiti na mapitioya tafiti za anazuoni mbalimbali.
Wanazuoni na tafiti zao wanathibitisha kuwa ukubwa wa bunge na baraza la mawaziri huamriwa na kiwango cha maendeleo cha nchi husika i.e walioendelea zaidi wanakuwa na bunge na serikali ndongo wakati ambao hawajaendela wanakuwa na bunge na baraza kubwa.
The size of cabinets varies, although most contain around ten to twenty ministers. Researchers have found an inverse correlation between a country's level of development and cabinet size: on average, the more developed a country is, the smaller is its cabinet.
Kwa ufahamu wako unadhani sina PhD?
Achana na hayo; leta hapa utafiti wa huyo Nkya (PhD)