Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Imani yangu niliwekeza kwenye matokeo ya ushindi sio dharula
Sasa mbona mie nikisema mfano kuwa nina uhakika mechi ya leo Yanga itamfunga Madeama mnakuja kusema inaweza kutokea ajali au mabomu na mechi isiishe?
 
Sasa mbona mie nikisema mfano kuwa nina uhakika mechi ya leo Yanga itamfunga Madeama mnakuja kusema inaweza kutokea ajali au mabomu na mechi isiishe?
Umetumia uhakika badala ya imani.

Uhakika sio neno linalostahili kwenye jambo ambalo bado halijatimilika.
 
Back
Top Bottom