Mkuu, kuamini ktk deities hakujaanza jana wala juzi ni karne nyingi zimepita kabla hata ya ujio wa dini.Ndio maana watu waliotengeneza dhana hiyo ya imani waliweka na vitisho kwa sababu walijuq ipo siku watu watahoji kwa kasi mno
Mkuu, imani zetu zote zinasadiki uwepo wa mungu mmoja, hivo tofauti ya muundo wala isikupe shida.Kitabu cha Mwanzo katika Bible ndio msingi wa mambo matatu duniani! Intelijensia, Sayansi na Uchawi
[emoji1][emoji1][emoji123][emoji123][emoji120][emoji120][emoji109] @bazaziMoja ya sababu kwa nini ni mfuasi wako ktk mada chonganishi na fikirishi. Majibu Kuntu toka kwa swali la mtu mjinga asiye na weledi. Mtu anayedhani dini yake ndio ya Mungu na zingine ni za kubumba. Hajiulizi ikiwa ni ya...www.jamiiforums.com
Mkuu ulichoandika kinapinga atom kuhusika kuunda maada au ulitaka kumaanisha nini?Get more confused by this :
An electron has no internal configuration that we know of and is considered as one of the fundamental particles. Protons and neutrons, on the other hand are made up of smaller fundamental particles called quarks. There are 6 different types or"flavours" of quarks: up, down, charm, strange, bottom and top. Neutrons and protons are made up of only up and down quarks. Unlike neutrons, protons and electrons quarks may have fraction charge.The principle of quantization of charge is still followed because quarks are the only particles which have fractional charges and they always occur in combination. A neutron is made up of 1 up quark(charge = +2/3) and 2 down quarks(charge = -1/3). Similarly, a proton is made up of 2 up and 1 down quark.
Sasa hebu integrate mambo ya Mungu hapo., kama hujaanza kuongea kikwenu.
Na wewe unalazimisha kutetea imani zako uchwara ulizo pumbazwa na kuaminishwa na viongozi wako dini.mtoto kua atheist. nadhani unalazimisha kutetea, ulichoaminishwa na nadharia yako ya atheism ilorasmishwa na yule mhuni wa kifaransa, bila yule jamaa sidhani kama tungedebate hapa.
Deities experience uliitoa wapi?hatuamini uwepo wa mungu ajili ya kuaminishwa na wazazi bt tunaamini ajili ya deities experience.
Kuamini, watu waliamini hata mawe, miti, majabali na milima.Kuamini ktk deities kumeanza karne nyingi ktk jamii tofauti tofauti duniani kabla ya dini na jamii za watu kuchangamana, je ushawahi jiuliza aliezipelekea idea ya kuamini deities jamii zisofahamiana ni nani?
Hapana mkuu.Samahani mkuu, unataka kusema Mungu ni atom?
Siku hizi si lazima uvute bangi ndio uwe ume wehukaSalaam wakuu,
Science inasema, kila kitu kimeundwa na atom, bt maandiko yanasema, kila kitu kimeundwa Mungu.
Science inasema atom imeundwa na sehem 3(proton, neuron & electron bt maandiko yanasema Mungu anaundwa na sehem 3(Mungu baba, mwana & roho mtakatifu).
Kwa mtiririko huo, nahitimisha kwa kusema, science inasupport uwepo wa Mungu kwa 100%.
Naheshimu maoni yako.Siku hizi si lazima uvute bangi ndio uwe ume wehuka
Mr voiceMkuu, tayari maelezo yanajitosheleza.
Nimeingia ndani zaidi.Mkuu ulichoandika kinapinga atom kuhusika kuunda maada au ulitaka kumaanisha nini?
Mkuu deities experience inapatikana kuanzia ngazi ya familia, mitaani, mashuleni na nk... Huko utashuhudia watu walio na mapepo, mizimu, uchawi na nk.Deities experience uliitoa wapi?
Au ulizaliwa ukiwa na hiyo
"Deities experience" bila kuambiwa na mtu yeyote yule?
Kuamini, watu waliamini hata mawe, miti, majabali na milima.
Kuamini unaweza kuamini hata uongo, Lakini ukianza kudai kwamba hicho unacho kiamini ni ukweli lazima uthibitishe hilo.
Mpaka sasa hujathibitisha uwepo wa hao "Deities" unaruka ruka tu.
Title ya thread inasema "jinsi scince inasupport uwepo wa mungu" inajieleza vyema, nadhani ungeielewa wala usingekuja na maoni yale.Nimeingia ndani zaidi.
Hapo naonesha kuwa hizo 3 subatomic particles zinazounda atom nazo zimetokana na vitu vingine. Kwa hiyo suala la kuhusisha utatu wa sub-atomic particles na Uungu, si sahihi. Maana hizo sub atomic particles na zenyewe zinatokana sub-subparticles ambazo zipo zaidi ya tatu.
Sasa ulikuwa unakataa nini kwamba imani ya "Deities" umeaminishwa kutoka kwa familia yako kupitia wazazi/walezi wako, Mitaani na mashuleni kupitia watu wa imani/kidini pamoja na viongozi wa dini?Mkuu deities experience inapatikana kuanzia ngazi ya familia, mitaani, mashuleni na nk... Huko utashuhudia watu walio na mapepo, mizimu, uchawi na nk.
Wewe huelewi hata unavyo viandika.Asubuhi nilikueleza mtu asie na deities experience nadhani hayupo sawa upstair coz haya ni matatizo ya kila siku ktk jamii tunazoishi.
Title ya thread inasema "jinsi science inasupport uwepo wa mungu"Kwahiyo hapa Mungu unamfananisha na Atom kweli?
Umesoma hadi kitabu gani kwenye maandiko na je huku kwenye sayansi umesoma hadi la ngapi. Si kwa ubaya lakini
Deities experience wala sio jambo la kuaminishwa na mtu, ni mambo yanayotokea daily ktk jamii zetu.Sasa ulikuwa unakataa nini kwamba imani ya "Deities" umeaminishwa kutoka kwa familia yako kupitia wazazi/walezi wako, Mitaani na mashuleni kupitia watu wa imani/kidini pamoja na viongozi wa dini?
Nilikueleza hivi tangu mwanzoni Kwamba hukuzaliwa na imani ya aina yeyote ile, mpaka pale ulipo aminishwa na watangulizi wako. Ila ukawa unabisha bisha tu.
Hongera mkuu, upo ktk right direction ktk utafutaji wa maarifa.Wengine wanaita Mungu, Wengine Chanzo, Binafsi napenda kutumia "Muumba" ...
Binafsi siziamini dini ila naamini kuna supernatural power , hyo power ndiyo inasababisha Mtoto anaundwa mwilini, Miti inakua, Dunia inaelea, Masaa hayapishani usiku na mchana, Jua kuwaka bila kuchoka, Mechanism ya Mvua...
Muumba yupo lakini hakuna anaeweza kujibu maswali yanayomhusu wala hakuna Limitation zozote alizotuwekea kwakua hakuna mtu alikuwepo wakati ana Create...
Kuhusu maombi - ni kitu chochote ambacho unajiambia.. ukiwa unajiambia mara nyingi Mimi ni Tajiri, Nina afya, ninajiamini and other positive things - unapata matokeo hayohayo
Mfano kina 2pac na Biggie walikua wanaimba kwamba wao ni wababe, wanapenda ngono, wanavuta bangi hata vifo vyao vilihusiana na matukio
Uliwezaje kujua kuna "Deity" bila kuambiwa na kuaminishwa hivyo?Deities experience wala sio jambo la kuaminishwa na mtu, ni mambo yanayotokea daily ktk jamii zetu.
Huyo Mungu anacho taka aaminiwe ni nini?Nadhani nyinyi hampo sawa upstair ndo maana hamna deities experience inayowafanya watu waamini uwepo wa mungu.
Weka ushandi solid kuhusu hiki ulichokiandika. Iweje Mungu aruhusu yaandikwe kimakosa yale yanayomuhusu? Mungu anakubali watu wake wapotee kwa kusoma maandiko yasiyo sahihi?Makosa yaliyopo ktk maandiko yanatokana na waandishi na si Mungu.
Ipo tofauti ya Kuamini miungu/ mungu na kutoamini kabisa.Mkuu, kuamini ktk deities hakujaanza jana wala juzi ni karne nyingi zimepita kabla hata ya ujio wa dini.
Je, ushawahi jiuliza imani ya deities aliisambaza nani dunia nzima ktk jamii zisofahamiana wala kuchangamana?
Soma hapa....Title ya thread inasema "jinsi science inasupport uwepo wa mungu"
Ni wapi mungu amefananishwa na atom?